Chaga, also Kichaga or Kichagga, is a Bantu dialect continuum spoken by the Chaga people of northern Tanzania, south of Mount Kilimanjaro.
They also speak 9 different dialects which are Kivunjo, Kimarangu, Kirombo, Kimachame, Kisiha, Kikibosho, Kiuru, Kioldimoshi and Kingassa.
The Chaga languages are:
West Kilimanjaro (West Chaga), including Meru and Machame
Central Kilimanjaro (Central Chaga), including Mochi (Old Moshi) and Wunjo
Rombo
Rusha (Arusha-Chini)
Kahe
Gweno
Ni wazi Tamasha la Utamaduni Kilimanjro limeandaliwa na viongozi wa CCM, khanga zilizotumika hazioneshi hata chembe utamaduni wa Kilimanjaro zaidi ya kumuonesha Rais Samia!
Kwa kifupi khanga hizo zingeweza kutumika mkoa wowote nchini, pia tamasha limetawaliwa na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi...
Leo tujionee hili jina maarufu sana kwa watoto wa kike wa kichaga.
Manka ni jina la asili la kichaga analomiliki mtoto wa pili wa kike kuzaliwa.
Hata kama hatolitumia lakini huwa linajulikana tu baada ya kuzaliwa wa pili kwa watoto wa kike.
Jina Manka uchagani(kote kwanzia Rombo hadi...
Hizi ni tunda zinaitwa Ngoda,miiti yake ni mikubwa kama miparachichi tu. Kwa mwaka zinatoka mara 1 tu misimu ya miezi ya 12 mpka mwezi wa kwanza mwanzoni.
Ladha yake ni chachu kwa umbali kama embe dodo ambalo halijaiva vizuri yani ina ugwadu kwa mbali. Ukila nyingi sana hutaweza kutafuna kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.