kichekesho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chikenpox

    Sijasikia popote Papa Francis aliposema waache kupigana, ameishia kuwaombea amani tu

    Nimekuzwa nikimfatilia baba mtakatifu DRC mpaka South Sudan sijaona au kusikia mahala popote aliposema waache kupigana Bali kuwaombea amani tu. Sasa sijui amani kama inaweza kupatikana kweli bila kuacha kupigana. Haya ma observation yangu msinitukane.
  2. K

    Rais Paul Biya ambaye ndiye mzee kuliko wote Afrika ageuka kichekesho huko Marekani

    Katika hali iliyoonekana kama vile kuzidiwa na uzee au matatizo ya kusahau sahau Rais wa Cameron, mheshimiwa Paul Biya alijikuta akigeuka kichekesho wakati wa mkutano wa kimataifa wa US Africa Leadership Summit in Washington DC. Rais huyo mzee kuliko wote alijikuta akisahau mahali alipo punde...
  3. CM 1774858

    UTEUZI: CCM yawateua wagombea Ujumbe wa Halmashauri Kuu (NEC)

    HAWA HAPA KWA UPANDE WA ZANZIBAR
  4. comte

    Kwa huu ujumbe na kichekesho- leo nayo ni siku- siku yangu imeisha

  5. R

    Wakati tunafurahia kichekesho cha TRAB na TRAT tukumbuke trilioni 360 ni pesa nyingi sana

    Habari JF, Nimeona niwakumbushe Watanzania wenzangu maana asilimia kubwa tumezoea kushabikia vitu visivyo vya msingi. Triloni 360 ni pesa nyingi sana zinaweza kututoa tulipo kuwa donor country. Hivyo tusiishie kushare video na kucheka bali ni vizuri tufuatilie kwa umakini tuone muenendo wake...
  6. M

    Kama KMC tu imekutoa jasho na bado unajinasibu unayo timu bora, ni kichekesho kingine

    Kwa mara ya kwanza almanusura KMC ichukue point zote 3 mbele ya timu ambayo mashabiki wake wanajinasibu wanayo timu bora. Unaokota point 1 mbele ya timu ambayo ni ya kawaida tena kwenye uwanja ambao unaweza kupanga mbinu zako na zikakubali. KMC aijawai kuchukua point kwa simba zaidi ya kipigo...
  7. Mwamuzi wa Tanzania

    Kichekesho hichi kifupi kimebeba ujumbe mkubwa sana juu ya Afrika.

    Ni dhahiri shahiri Waaafrika wengi hatuwazi ujenzi wa Mataifa yetu bali tunawaza ujenzi wa familia zetu . Tubadilike, kila mmoja abadilike kwa nafasi yake. Asanteni
  8. 0ozg Tz

    Kichekesho cha beki ghali duniani Maguirre

    Unaambiwa huyu jamaa kila mara anakuwa upande wa timu pinzani. CR7 anataka top four,maguirre hataki. De Gea anamuogopa huyu beki zaidi ya washambuliaji wa timu pinzani. Katika hii picha hapa chini ameamua kuapply kile anachokifanya kwenye mazoezi. Pogba alikula kiatu cha uso.
  9. VUTA-NKUVUTE

    Kesi ya Kubenea dhidi ya Makonda ni dhihaka, fedhea na 'kichekesho' kwa Ofisi ya DPP na Serikali kwa ujumla

    Si jambo la kulikalia kimya. Lazima niseme ukweli juu ya jambo hili. Ukweli wa heri na si wa shari. Ingawa ni jambo linaloruhusiwa kikatiba na kisheria kuwepo kwa uwezekano wa mtu binafsi kumshtaki mwingine kijinai, masuala yote ya kijinai yapo chini ya Ofisi ya Mashtaka ya Taifa iliyo chini ya...
  10. C

    Wabunge wa CCM wanavyoeleza kero Bungeni ni kichekesho

    Wakuu, Mtiririko hua uko hivi: Mhe. Spika anasema anayefuatia kuchangia ni Mheshimiwa kipele uchungu, mheshimiwa mbunge kipele uchungu anaanza: 1. Kwanza Namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma 2. Pili nakushukuru wewe mheshimiwa spika kwa jinsi unavoongoza vizuri bunge letu 3. Tatu...
  11. N

    Tujikumbushe kichekesho cha dunia: Yanga vs Ndanda FC 2016

    Tuesday , 10th May , 2016 Mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kati ya wenyeji Ndanda FC na Yanga uliokuwa ufanyike Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara sasa utafanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Jumamosi. Afisa habari wa Shirikisho la Soka nchini (TFF) Alfred...
  12. Babumawe

    Sijawahi kuona kichekesho kama hiki cha Simba SC

    Ushawahi kujitekenya mwenyewe mbele ya umati? Yaani sijawahi kuona futuhi na comedy nzito kama hii walahi. Simba Super Cup: BINGWA (Simba) Mchezaji Bora wa Mashindano: Rally Bwalya (Simba) Golikipa Bora: Beno Kakolanya (Simba) Mfungaji Bora: Bernard Morrison (Simba) Mchezaji bora mechi ya...
Back
Top Bottom