Nimekuzwa nikimfatilia baba mtakatifu DRC mpaka South Sudan sijaona au kusikia mahala popote aliposema waache kupigana Bali kuwaombea amani tu.
Sasa sijui amani kama inaweza kupatikana kweli bila kuacha kupigana.
Haya ma observation yangu msinitukane.
Katika hali iliyoonekana kama vile kuzidiwa na uzee au matatizo ya kusahau sahau Rais wa Cameron, mheshimiwa Paul Biya alijikuta akigeuka kichekesho wakati wa mkutano wa kimataifa wa US Africa Leadership Summit in Washington DC.
Rais huyo mzee kuliko wote alijikuta akisahau mahali alipo punde...
Habari JF,
Nimeona niwakumbushe Watanzania wenzangu maana asilimia kubwa tumezoea kushabikia vitu visivyo vya msingi. Triloni 360 ni pesa nyingi sana zinaweza kututoa tulipo kuwa donor country.
Hivyo tusiishie kushare video na kucheka bali ni vizuri tufuatilie kwa umakini tuone muenendo wake...
Kwa mara ya kwanza almanusura KMC ichukue point zote 3 mbele ya timu ambayo mashabiki wake wanajinasibu wanayo timu bora.
Unaokota point 1 mbele ya timu ambayo ni ya kawaida tena kwenye uwanja ambao unaweza kupanga mbinu zako na zikakubali.
KMC aijawai kuchukua point kwa simba zaidi ya kipigo...
Ni dhahiri shahiri Waaafrika wengi hatuwazi ujenzi wa Mataifa yetu bali tunawaza ujenzi wa familia zetu .
Tubadilike, kila mmoja abadilike kwa nafasi yake.
Asanteni
Unaambiwa huyu jamaa kila mara anakuwa upande wa timu pinzani.
CR7 anataka top four,maguirre hataki.
De Gea anamuogopa huyu beki zaidi ya washambuliaji wa timu pinzani.
Katika hii picha hapa chini ameamua kuapply kile anachokifanya kwenye mazoezi.
Pogba alikula kiatu cha uso.
Si jambo la kulikalia kimya. Lazima niseme ukweli juu ya jambo hili. Ukweli wa heri na si wa shari. Ingawa ni jambo linaloruhusiwa kikatiba na kisheria kuwepo kwa uwezekano wa mtu binafsi kumshtaki mwingine kijinai, masuala yote ya kijinai yapo chini ya Ofisi ya Mashtaka ya Taifa iliyo chini ya...
Wakuu,
Mtiririko hua uko hivi:
Mhe. Spika anasema anayefuatia kuchangia ni Mheshimiwa kipele uchungu, mheshimiwa mbunge kipele uchungu anaanza:
1. Kwanza Namshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma
2. Pili nakushukuru wewe mheshimiwa spika kwa jinsi unavoongoza vizuri bunge letu
3. Tatu...
Tuesday , 10th May , 2016
Mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kati ya wenyeji Ndanda FC na Yanga uliokuwa ufanyike Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara sasa utafanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Jumamosi.
Afisa habari wa Shirikisho la Soka nchini (TFF) Alfred...
Ushawahi kujitekenya mwenyewe mbele ya umati?
Yaani sijawahi kuona futuhi na comedy nzito kama hii walahi.
Simba Super Cup: BINGWA (Simba)
Mchezaji Bora wa Mashindano: Rally Bwalya (Simba)
Golikipa Bora: Beno Kakolanya (Simba)
Mfungaji Bora: Bernard Morrison (Simba)
Mchezaji bora mechi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.