SERIKALI ISIKUBALI MTAFARUKU WA BANDARI KUCHUKUA MKONDO WA KIDINI, NI NGUMU KUIDHIBITI.
Anaandika, Robert Heriel.
Mtibeli.
Haya mambo yanayoendelea ndani ya nchi Kwa kweli hayavutii na kuna Wakati yanatia wasiwasi. Serikali inahitaji kutiiwa lakini nayo inaowajibu wa kusikiliza kile...
Siyo kweli kwamba uwekezaji hauna faida au hasara Kwa mstakabali wa Taifa. Lakini hoja ya bandari imefunua mioyo ya wengi na kuonesha hatari iliyoko katika nchi yetu.
Tanzania hatutakuja kupigana vita ya wenyewe eti Kwa sababu ya kisiasa. Ccm Ina nguvu sana kuweza kutawala hata miaka hamsini...
Yameona mwanga na kuamua hayapo tayari kuwahishwa kwenda kule kwa mautamu ya akhera. Japo natoa wito yasiaminiwe sana kihivyo, inaweza ikawa zuga ya kupata fursa ya kuachiwa yajilipue sehemu yenye watu wengi.
=========
The joint forces of the Uganda Peoples' Defence Forces (UPDF) and the Armed...
Naibu Imamu ameuawa baada ya kundi la Wahindu wenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia kuteketeza na kufyatua risasi msikiti mmoja katika kitongoji cha mji mkuu wa India, New Delhi, saa chache baada ya ghasia mbaya za kijamii katika wilaya jirani.
Polisi wamemtaja mwathiriwa kuwa ni Maulana...
Rais wetu, ifike mahala watu wa aina hii wakamatwe na kushikishwa adabu haraka
Napinga sana ubaguzi wa aina yoyote, udini na ukabila.
Mwenyezi Mungu akuongoze mama yetu, na Watanzania wote kwa ujumla...wale wenye chuki dhidi ya waarabu/waislamu mtambue kuwa mnachokifanya sio sahihi, na...
Kwenye maisha ukilazimisha fani ambayo sio yako lazima upate tabu sana. Ni wachache sana waliowahi kulazimisha na wakatoboa. Kwa mfano kuna mtindo wa kijana akiwa kazaliwa mrefu basi inaaminika anafaa kuwa basketballer kumbe labda kijana kipaji chake ni kingine.
Mara nyingi wanamichezo...
Hivi naotaa ama ni ukweli dhahiri?
Kwamba: badala ya hoja zetu kujikita kwenye utatuzi wa vipengele tata vya mkataba wa Dp world na hatimaye tufikie hatima njema kama taifa na kutuacha kwenye umoja wetu.
Sasa watu maarufu kabisa, wasomi na viongozi wakuu wa dini na serikali wanaacha kwa...
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya...
Walikuta hao vijana wakichanja kuni na kuwaua.....
Suspected Boko Haram insurgents on Thursday killed youths across four contiguous communities in Mafa and Jere Local Government Areas of Borno State.
Four of the youths who were reportedly in the bush fetching firewood, were in Tamsu-Ngamdu...
Haya maisha yana mengi, eti niwe jambazi kama Gabi wa UMUGHAKA, Niue watu, niwatapeli watu kwa kuwapa hela feki. Niwe mchawi, nizini na wake wa watu na watoto wao niwape mimba, kisha mizikatae hizo mimba.
Niibe mali ya umma, pesa ya kununua madawa ya watu masikini nikaifiche Switzerland 🇨🇭...
Wizara ya Mambo ya Ndani imesitisha usajili wa Jumuiya ya kidini iitwayo Spirit Word Ministry iliyopo eneo la Stakishari Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam baada ya kubainika kutoa mahubiri na mafundisho yenye mwelekeo wa kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia moja.
Waziri wa Mambo ya...
Hizi hazimo kwenye Biblia.
1: Sikukuu za Krismass na Easter.
2: Kunena kwa Lugha ambazo mnenaji na wasikilizaji wote hawaelewani.
3: Maombezi kwa maiti ili isamehewe dhambi alizofanya akiwa hai.
4: Sabato ya Jumapili.
5: Mchungaji au askofu wa kike. Katika biblia mchungaji ni Mume wa mke...
Wamewahishwa kuleeee.
=========
The Somali National Army (SNA) says it has killed dozens of Al-Shabaab fighters in a morale boost against the militant group.
Haradhere District Commissioner Mohamed Yusuf Kulmiye said that the SNA had received information about the movement of Al-Shabaab...
Huu ndio ushauri wangu kwasababu dini zote zinatambua na kuhuburi msamaha kwa wakosaji.
Kwa msingi huo, kiongozi mwenye imani ya kidini, atakuwa sahihi zaidu kutoa msamaha kwa wafungwa katika sikukuu za kidini.
Na jatika hili, sidhani kama kuna sheria inatamka kuwa misamaha hiyo itolewe...
Sherehe yeyote ya kidini ambayo inatambulika kwamba ni sikukuu na serikali inaitambua basi inapaswa tarehe yake tuifahamu.
Hii itasaidia serikali kupanga ratiba zake ku-accomodate shughuli husika kwa siku husika. Hii uncertainity inasababisha bughudha kubwa sana hata kwa wasio husika, vipi na...
Hawakusubiriwa wamalize mfungo wa ramadhani kabla kuwahishwa mbele za haki...
In an operation that saw the joint forces make a surprise attack on an ADF camp in the thick forests South West of River Lusulubi Near River Semuliki -Rwenzori Sector, 20 rebels were put out of action whereas one UPDF...
Huku serikali ikiendelea kuwanyonga raia wake ili imlinde 'mungu' wa dini yao, ila wananchi wamedhamiria lazima wafike mwisho wake.....hata wauawe mamilioni....wameandamana miji kadhaa kwa mpigo.
Mayatollah wanalo.....
=====================
Protesters in Iran have marched through the streets of...
Ni ajabu sikujua ipo siku hawa watu watakuja kuanza kubadilika na kuacha uzombi wa kidini....
China and Iran have urged mutual neighbor Afghanistan to end restrictions on women's work and education.
The call came in a joint statement Thursday issued at the close of a visit to Beijing by...
Ama hakika nakerekwa na Azam tv kitendo Chao cha kujaza Channel nyingi za akina kuhani Gregory ama hakika inanikera yaani kama azam wasiponitelekezea hili nitauza king'amuzi cha Azam tv
Sijui kwanini Azam mna udini kiasi hiki mna upendeleo mkubwa kwa hii dini ya makuhani! Acheni hizo
Wananchi wema walitonya uongozi kuhusu magaidi wa Al Shabaab yaliyokua yanajiandaa kwenda kulipukia watu, ghafla yakashushiwa mabomu na kuwahishwa mbele za haki.
=====================
A suspected US airstrike destroyed a would-be suicide car bomb in central Somalia on Friday, an official said...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.