Rais wetu, ifike mahala watu wa aina hii wakamatwe na kushikishwa adabu haraka
Napinga sana ubaguzi wa aina yoyote, udini na ukabila.
Mwenyezi Mungu akuongoze mama yetu, na Watanzania wote kwa ujumla...wale wenye chuki dhidi ya waarabu/waislamu mtambue kuwa mnachokifanya sio sahihi, na...