TWAHA MWAIPAYA ACHA NIKUSAIDIE KIDOGO.
Na.
Peter Dafi.
Bukene, Nzega, Tabora.
Ulipokuwa Wilaya ya Igunga Mkoa wa Tabora Ulisema Pesa za Kufa na Kuzikana za Jeshi la Polisi Zimeliwa na CCM.
Huo ni Uwongo na Acha Nikujuze kuwa Hakuna Mkono wa CCM au Mwana CCM umeshika Pesa za Jeshi la Police...