Rafiki yangu mpendwa,
Ukitoa hewa ambayo tunapumua bure, kila kitu kwenye maisha yetu tunakipata kwa kutumia fedha. Na hata pale unapopata changamoto ya magonjwa, hiyo hewa ya bure nayo inakuwa gharama kubwa.
Licha ya fedha kuwa muhimu sana kwenye maisha ya kila mtu, bado watu wengi sana...