kijiji

Kijiji.ca ( kee-JEE-jee; Swahili pronunciation: [kiˈʄiʄi], village) is a Canadian online classified advertising website that operates as a centralized network of online communities, organized by city and urban region, for posting local advertisements. Kijiji was launched in February 2005 as an eBay subsidiary and become part of the eBay Classifieds Group in 2007. The Kijiji brand is used in more than 100 cities in Canada and with kijiji.it in Italy, while eBay Classifieds websites are available under different brands in other countries (Gumtree in the UK and Marktplaats.nl for the Netherlands). The Canadian and Italian websites are managed by Dutch company Marktplaats BV, which is part of eBay Classifieds Group. Kijiji was made available to selected cities in the United States on June 29, 2007, however the brand was changed to eBay Classifieds in 2010.Kijiji is the most popular online classifieds service in Canada and draws more traffic compared to competitor Craigslist in that country. The New York Times referred to Kijiji's Canadian site as representing "one of the few online brands that fizzled in the United States but found success elsewhere."Kijiji offers similar services and is seen as a competitor to Craigslist, with the biggest differences being that Kijiji has an extensive pets section, as well as a more modern interface.

View More On Wikipedia.org
  1. Sky Eclat

    Polisi watelekeza mwili wa mwananchi aliyeshambuliwa na Wanyama wakali shambani. Vipaumbele vya Jeshi la Polisi vinafikirisha sana

    Kijijini Mjesani, Muheza. Mzee mmoja alipotea juzi Jumatatu, wanakijiij wakaanza kumsaka. Leo mchana mwili wake umekutwa shambani, umeharibika sana na umeng'atwa na wanyama. Wanakijiii wametoa taarifa kwa Polisi wilayani, askari wamejibu watakwenda kesho. Mwili bado upo shambani.
  2. FRANCIS DA DON

    Napendekeza vijiji vyote kila wilaya wahamie kwenye kijiji kimoja teule, vijiji vingine vibaki mashamba tu

    Ukipeleka mnara mmoja wa simu unahudumia vijiji 20 kwa mpigo. Ni hayo tu, labda kama kuna mengine ya kuongezea
  3. Sky Eclat

    Kijiji kilichojengwa enzi za Dola ya Roma kipo nchini Italia

  4. Mohamed Said

    Wazulu wa Imhambane, Kwalikunyu - Msumbiji katika kupigania Uhuru wa Tanganyika

    WAZULU WA IMHAMBANE, MOZAMBIQUE KATIKA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Kisa hiki nimekitoa hapa hapa barzani nikizungumza na ndugu yangu Abdulkarim. "Abdulkarim, jina hasa ni Saudtz Thomas Plantan. Baba yake ni Thomas Saudtz Plantan na alikuwa Mwalimu Mkuu wa Mchikichini Primary School na...
  5. Sky Eclat

    Hii nyumba ilijengwa mwaka 1509 katika kijiji cha Argentan, Ufaransa

  6. J

    Nzega, Tabora: Bashe akabidhi zahanati, Gari ya wagonjwa na Pikipiki

    BASHE AKABIDHI ZAHANATI, GARI YA KISASA YA WAGONJWA NA PIKIPIKI KATIKA KIJIJI CHA IDUDUMO Nzega Mjini, TABORA. Mbunge wa jimbo la Nzega Mjini na Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe amefanikiwa kukabidhi zahanati, Gari ya kisasa ya wagonjwa (ambulance) pamoja na usafiri aina ya pikipiki...
  7. Analogia Malenga

    Simiyu: Ofisi ya mtendaji wa kijiji yachomwa moto, mtu mmoja akamatwa kwa upelelezi

    Ofisi ya mtendaji wa kijiji cha Mwabagalu kata ya Nyabubinza wilayani Maswa Mkoa wa Simiyu imechomwa moto alfajiri ya leo Oktoba 17, 2021 na watu wasiojulikana. Ofisi hiyo ambayo ilikuwa ikitumiwa na mtendaji wa kijiji na sehemu nyingine ikitumika kama darasa la wanafunzi wa awali imeteketea...
  8. Niker

    SoC01 Fikra zangu juu ya wachora ramani wa kijiji chetu

    Mimi ni mwanakijiji kutoka kijiji kile kilicho staarabika, naam ndio ustaarabu huu ambao vijiji vingi kama si vyote juu ya ardhi hii ya ulimwengu huutumia, nakiri kwamba kijiji nitokacho husifiwa kuwa na watu wakarimu na wachukiao shari, kwao vita na malumbano ni jambo la kihistoria, lilitokea...
  9. chiembe

    Kalemani huu sio ufisadi kwa kujenga ofisi ya TANESCO ya mabilioni katika Kijiji cha Chato, kubwa kuliko ofisi yoyote Kanda ya Ziwa na Kati?

    Hii ni Ofisi ya Tanesco iliyojengwa kwenye kijiji (wao wanaita wilaya) ya Chato, ni kubwa kuliko ofisi yoyote katika mikoa ya kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati,Kaskazini na Nyanda za Juu Kusini. Tanesco ni Taasisi iliyo chini ya Wizara ya Dk. Kalemani, wateja wa umeme Chato wakifika elfu tano ni...
  10. A

    Kijiji cha Hangaya Suluhu ni kijiji shubiri

    Kijiji cha malkia HANGAYA SULUHU Hupewa mfano wa kijiji kilichotawaliwa na wageni ambacho kilikuwa na amani na utulivu Watu wake hupata chakula chao kutoka katika rasilimali zilizopo ndani yake Wanaishi na kuendesha kijiji chao kwa rasilimali hizo. Yakapita majira na miaka baadae watawala wa...
  11. J

    SoC01 Pwani: Wakazi Kijiji cha Mdimni hatarini kupoteza makazi kwa athari za mabadiliko ya tabianchi

    Nyumba iliyo karibu kusombwa na Bahari, kijiji cha Mdimni wilayani Mkuranga. Na Mwandishi Wetu Maisha ya wakazi wa Kijiji cha Mdimni kilichopo wilayani Mkuranga katika Mkoa wa Pwani, yapo shakani kufuatia sehemu kubwa ya ardhi yake kughubikwa na athari zilizokithiri za mabadiliko ya...
  12. MSAGA SUMU

    Wiki ijayo tunasafiri kuelekea Llanfairpwllgwyngyllgogerychwyrndrobwllllantysiliogogogoch

    Wiki ijay Viwawa wa parokia yetu tutakuwa tunasafiri kuelekea Wales kwa mualiko wa Viwawa wa parokia ya Llanfairpwllgwyngyllgogerychwyrndrobwllllantysiliogogogoch. Safari hii itakuwa ni ya mara ya 3, nyingine zilikuwa mwaka 2000, 2016. Pamoja na mambo mengine nitakuwa naangalia na fursa za...
  13. kavulata

    Spika Ndugai 2025 sio mbali, ni kweli kuongeza tozo za miamala kutapeleka zahanati, maji, madawati, madarasa na barabara kila kijiji kabla ya 2025?

    Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, hivi ni kweli sababu ya Bunge lako kuongeza tozo kwenye miamala ya simu ni kumalizia upatikaji wa barabara, maji, madawati, madarasa, na zahanati katika kila kijiji kabla ya 2025? Naungana na wewe 100% kuwa hakuna mfadhili atakuja kutujengea nchi yetu, hivyo ni...
  14. gimmy's

    Mwigulu amenilazimu niweke mafuta ya elfu 10,000 kwenye pikipiki ili nipeleke Tsh 2,000,000 Kijiji jirani

    Nawasalimu wanajamvi wote hapa javini, Kwanza naomba nianze kwa kunukuu maneno ya waziri wa fedha Mr Mwigulu alietuambia watanzania kwamba,"kama mtu anataka kuhamia Burundi kwasababu ya tozo kwenye miamala na ahame". Ndugu zangu leo nimelazimika kupoteza muda wangu ili mradi tu nikwepe kulipa...
  15. Sam Gidori

    #COVID19 Japan: Wachezaji wawili wa Afrika Kusini wapatikana na maambukizi ndani ya Kijiji cha Olimpiki

    Wachezaji wawili wa Afrika Kusini ambao wapo nchini Japan kushiriki mashindano ya Olimpiki wamethibitishwa kuwa na maambukizi ya virusi vya corona siku ya Jumamosi, wakitajwa kuwa washiriki wa kwanza wa mashindano hayo kupata maambukizi ya virusi vya corona wakiwa ndani ya Kijiji cha Olimpiki...
  16. Sky Eclat

    SoC01 Kuboresha kijiji kimoja nchini kuwa na Makazi bora na mfano wa Tanzania ya siku zijazo

    Ninaamini nyumba bora huboresha afya ya mwili na akili. Mahitaji ya msingi ya binadamu ni hewa safi na kuishi sehemu isiyosababisha maradhi mfano baridi na unyevu unyevu. Nyumba bora huleta fahari kwa mwenye nyumba hata kukaribisha wageni na humjengea heshima katika jamii. Watanzania wengi...
  17. M

    Wananchi watozwa faini na kijiji kwa kosa la kushindwa kulima mazao ya biashara

    Wananchi watozwa faini na kijiji kwa kosa la kushindwaazao ya biashara Na Amiri Kilagalila,Njombe Wananchi wa kijiji cha Usililo kata ya Luwumbu wilayani Makete mkoani Njombe,wameilalamikia serikali ya kijiji hicho kwa kuwatoza shilingi elfu 3 mpaka elfu 5 kutokana na kushindwa kulima mazao ya...
  18. L

    Lavender yavutia watalii na kuwatajirisha wakazi wa kijiji cha Sigong mkoani Xinjiang

    Lavender ni mmea ambao una matumizi makubwa sana na unaosaidia duniani. Harufu ya mmea huu ambao ni rahisi sana kuota inajulikana kwa kutuliza akili, na ndio maana imekuwa rahisi kutumika kwenye mishumaa au hata mafuta. Maua ya Lavender ni mazuri na yamekuwa yakisifiwa sana, sifa hizi...
  19. beth

    TAMISEMI: Serikali kuifanyia mapitio Sera ya Zahanati kila Kijiji na Kituo cha Afya kila Kata

    Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange amesema Serikali imeamua kuifanyia mapitio Sera ya Zahanati katika Vijiji na Vituo vya Afya katika Kata. Ameeleza, "Tumeamua hivyo ili tuwe na ujenzi wa Zahanati na Vituo vya Afya kimkakati zaidi...
Back
Top Bottom