Pauline Matthews (born 6 March 1947), better known by her stage name Kiki Dee, is an English singer. Known for her blue-eyed soul vocals, she was the first female singer from the UK to sign with Motown's Tamla Records.Dee is best known for her 1974 hit "I've Got the Music in Me" and "Don't Go Breaking My Heart", her 1976 duet with Elton John, which went to number 1 on both the UK Singles Chart and the US Billboard Hot 100 chart. In 1993, she performed another duet with John for his Duets album, a cover version of Cole Porter's "True Love", which reached number 2 in the UK. During her career, she has released 40 singles, three EPs and 12 albums.
Ndio stage tuliyofikia WaTz, haya makelele ya Spika ndugai na Raisi Samia ni ya kutafuta kiki na kutaka kupindisha kule wananchi wanakotaka kwenda ,kwenye Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya.
Wameondoka kwenye makelele wametuacha kwenye Mawaziri wepya, wandugu hayo ni yao CCM ,
Nyimbo ya...
Salaam Wakuu,
Leo rais Samia amemtembea Waziri Mstaafu Jaji Warioba na Mawaziri Wastaafu wengine.
Kwasababu Jaji Warioba anapigania Katiba Mpya, Je, rais kasikia kilio cha Watanzania? Jaji Warioba ataua ndege Wawili kwa Jiwe moja?
Mawaziri Wakuu wasitaafu wamekuwa Msitari wa Mbele kupambania...
Inavyoonekana siasa ni mchezo mgumu sana kuusoma na kuucheza, vitu vingi kwenye siasa vinategemea probability.
Kipindi cha hayati wapinzani walitumia ukandamizaji uliokuwepo kuomba sympathe ya dunia na kusema kweli dunia nzima ilisimama pamoja nao.
Kipindi cha huyu mama wapinzani wameachiwa...
Ndugu zangu,
Maajabu hayaishi,miaka michache iliyopita Mbowe alinifaika na ongezeko kubwa la ruzuku kila aliposhauriwa ajenge ofisi yeye na wasaidizi wake walitoa maneno makali eti "chama cha siasa sio jengo au nyumba bali ni imani".
Makamanda badala ya kuhoji walishangilia kwa furaha...
Akielekea kuachia album yake mpya msanii wa kitambo Ali Saleh Gentamilan au Ali Kiba, amemdiss Mfalme wa Afro Pop duniani Diamond Platnumz.
Lakini wadau wameusisha diss yake na promotion ya album yake mpya.
Hivi hawa wasanii wetu hasa hizi lebo mbili kubwa Tanzania nini kina wakumba awawezi kufanya kazi bila kuwa na kiki?
Ukiangalia mziki watanzania ulikuwa una kua kwa kasi kubwa sana, lakini hii miaka ya karibuni umeanza kushuka na hii ina sababishwa na wasanii wetu baadala ya ku focus na ngoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.