kikristo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Kwanini madhehebu ya Mashahidi wa Jehova na Wasabato wanachukiwa sana na madhehebu mengine ya Kikristo na Uislamu?

    Yaani Wasabato na Mashahidi wa Jehova wanachukiwa sana hapa duniani. Mashahidi wa Jehova wanasali siku ya Jumanne na Wasabato wanasali siku ya Jumamosi. Mashahidi wa Jehova wako tayari kufa lakini usiwaongezee damu, kwao damu ni Big issue
  2. G

    Japokua wanandoa wamebanwa lakini nikiri wazi watoto wa kwenye ndoa za kikristo wanafaidi mno malezi kuliko ndoa za kiislam

    Bila shaka ndoa za kiislam wanandoa huwa wanafaidi sana linapokuja suala la kuongeza mke, kuoa ama kuolewa upya kwa urahisi, talaka, n.k. na haya mambo ndio penye udhaifu wa ndoa za kikristo, hata talaka tu inaweza chukua miaka, wanandoa wengi hubanana humo humo. Ila linapokuja suala la watoto...
  3. J

    Hata angekuwa hai alikuwa na kinga ya kutoshtakiwa, tumuache apumzike. Ndoa ya Kikristo ikishafungwa haina zuio tena

    Kwa mujibu wa Katiba ya JMT Rais ana kinga ya kutoshtakiwa. Ndio sababu tuna Bunge ambalo linaweza kumshughulikia pindi anaposhindwa kutekeleza Majukumu yake ipasavyo. Sasa kama Bunge lilishindwa kushughulika na hayati Magufuli akiwa madarakani hilo ni tatizo la Wabunge siyo JPM. Kwenye Ndoa...
Back
Top Bottom