Kwa mara ya kwanza nimeona Marehemu anatukanwa kwenye awamu ya Sita,sijui kama utamaduni wa Mtanzania?
Sukari kilo 5,500
Nyama kilo 10,000
Mchele kilo 4,000
Unga kilo 2,800
Petroli lita 3,300
Umeme Giza kama enzi za Richmond,
Viongozi wananunua nyumba Palm Jumeirah Dubai na South Afrika...