kina

KINA (910 AM) is a radio station broadcasting a news/talk format. Licensed to Salina, Kansas, United States, the station serves Salina and communities to the northwest. The station is currently owned by Eagle Communications.KINA originally went on the air in April 1964 as KLSI. Missouri disk jockey Sam Bradley fought with Kansas broadcaster Sherwood Parks over the original construction permit (CP) for almost 6 years beginning around 1958 until the two agreed to put the station on the air jointly in 1964 with Grover Cobb and Cobb's mother Ruth as stockholders. The call letters would change to KINA in September 1970. Parks would buy out his partners in February 1979 and then sold KINA late the same year to a group of Topeka businessmen, dba Smoky Hill Broadcasting. In 1995 Hays-based Eagle Communications, the current owner, acquired KINA.
The broadcast studios were located at 108 E. Walnut in downtown Salina and programmed Top-40 music to a teen audience and the servicemen at Schilling Air Base, which was still operational in 1964. By the late 1970s KINA was broadcasting country music.
KINA's dial position at 910 kHz would prove troublesome, as it was exactly on the second harmonic of radios with a 455 kHz IF (intermediate frequency). This resulted in an annoying tone or whistle in the background of the station's programming on home radios. This problem has since been overcome with modern digital radios.
Under the current news and talk format, KINA currently airs such syndicated talk shows as The Laura Ingraham Show, The Savage Nation, The Alex Jones Show, The Mark Levin Show, as well as two local talk shows and Fox Sports Radio overnights and weekends. KINA is also a radio affiliate of the Kansas City Chiefs.

View More On Wikipedia.org
  1. CAPO DELGADO

    Ni kweli kesho kuna mchezo wa ligi kuu kati ya simba na yanga?

    Habari wakuuu. Nimeomba niulize hili swali kwenu wadau. Nilikuwa na ndugu watatu TFF akiwemo katibu mkuu mstaafu. Wawili wametoka amesalia Kuwepo ofisini. Niende Moja kwa Moja kwenye swali, JE ni kweli kesho kutakuwa na mchezo kati ya Simba na Yanga??? Hizi timu TFF. Bodi ya ligi. Hata...
  2. Nyamwage

    Hiki ni nini na kina faida kani

    Simu yangu nimeiseti kila ikifika saa nane usiku muda ambao siitumii simu basi ijizime na kujiwasha yenyewe ili iwe na performance nzuri kila siku sasa leo nakuta ina hicho kialama cha VoLTE ni nini hicho
  3. NetMaster

    Lawama yote nawapa viongozi wetu wa kanisa katoliki Kwa kukosa msimamo kwenye kusimamia sheria za kanisa, mnakubali vipi watu waje na viti vyao ?

    Hata mgeni akija kwako ni lazima umuelekeze sheria zako, huwezi kumlaumu akifanya kitu alichoomba akifanye na ukamruhusu. Rais wetu ni muislamu kwake hajui vitu vingi vya wakatoliki, achilia mbali hata ukristo kwa ujumla. Tuelewane jamani, Rais kaenda Kanisani kakalia kiti chake Kwa sababu ya...
  4. Mama pretty

    Kialama hiki kina maana gani?

    Wakuu, naomba mnisaidie kwa wenye ujuzi na hizi simu .. Hicho kialama hapo juu pembeni ya kialama cha alarm kina maanisha nini?
  5. A

    Kifurushi chako cha DSTV kina channel za michezo! Fursa hii hapa

    Kifurushi Cha ofisi
  6. Suley2019

    Kesi ya wabunge 19 wa viti maalum waliofukuzwa CHADEMA, Wakili Kibatala aanza kuwahoji mahakamani

    Dar es Salaam. Kesi ya wabunge wa viti maalumu waliofukuzwa uanachama katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya chama chao hicho cha zamani imeanza kuunguruma mahakamani, baada ya kukwama mara tatu. Mdee ambaye alikuwa mwenyekiti wa Baraza la...
  7. Checnoris

    Nimeacha kwenda kumsalimia nyumbani mdogo wangu kisa mambo haya ya kina katibu

    Haya mambo yasikieni tu. Mwanamke ni nyoka ambayo inafanyakazi wakati wote. Wanawake wakiwa na changamoto iwe ya uzazi atasingizia mumewe. Nyumba ikiwa haina pesa kosa la mwanaume, mwanaume usipotoa show safi kosa. Nimeacha kutembelea nyumbani kwa ndugu kisa hawa wanawake, nashukuru sana ikiwa...
  8. Roving Journalist

    Rais Samia akiwaapisha Mawaziri wateule Ikulu, Dar es salam leo Oktoba 3, 2022

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Mawaziri wateule Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 03 Oktoba, 2022 Nawapongeza kwa walio hapa. Mhe. Angela siyo mgeni kwenye kazi hii, umejifunza mengi ukiwa nje. Nimeona uje unisaidie. TAMISEMI ni ileile uliyoiacha...
  9. P

    Ikiwa bara la Afrika na Tanzania hatutaki kuongozwa na watu kama Magufuli, hatutaendelea kamwe!

    Itakuwa Niko kaburini ambako hakuna fahamu za kuelewa chochote kinachoendelea duniani, na ndio itakuwa mwisho wangu wa kushindwa kuelewa mwelekeo wa kimapinduzi makubwa ya kiuchumi ambayo hayati JPM alikuwa akiyaona huko tukiendako kama Taifa. Ni mjinga pekee ambaye anaweza kupinga mwelekeo...
  10. mirindimo

    Upigaji Uyui: Waziri Mkuu ashangazwa kibanda cha Mlinzi VETA kujengwa kwa Tsh. milioni 11, aagiza waliyosimamia ujenzi kukamatwa

    Tozo ilivyojenga ofisi ya 11,000,000, unaambiwa ni ofisi ya kisasa zaidi. - Waziri Mkuu Majaliwa akiwa ziarani Wilayani Uyui, Tabora amekagua ujenzi wa Chuo kipya cha VETA na ameonesha kutoridhishwa na gharama za ujenzi wa kibanda cha Mlinzi ambacho ujenzi wake ni Tsh. Milioni 11 “TAKUKURU...
  11. Allen Kilewella

    Kesi ya Uchaguzi Kenya siku 14, ya kina Mdee siku zaidi ya 400!

    Ukiangalia ukubwa wa uchaguzi wa Kenya na hoja zilizowasilishwa kwenye Mahakama ya Kenya. Bila ya shaka utagundua kwamba mahakama ya Kenya ina utendaji kazi uliotukuka kuliko mahakama yetu Tanzania. Kwenye mahakama ya Tanzania kuna kesi ya kina Halima Mdee na wenzake, ambayo kwa zaidi ya mwaka...
  12. Beah

    Plot4Sale Nunua kiwanja chenye pagale Madale Flamingo sasa kwa bei ya milioni 40

    NUNUA KIWANJA CHENYE PAGALE MADALE FLAMINGO SASA KWA BEI YA MILIONI 40 MAZUNGUMZO YAPO KIWANJA KIMEPIMWA NA KINA HATI. WAHI KABLA HAKIJAWAHIWA ●Kiwanja pamoja na nyumba kimepimwa ukubwa Sqm 800 ●Huduma za kijamii zote zipo karibu SIFA ZA PAGALE ●Vyumba 3 viwili ni self kimoja normal ●Jiko...
  13. JanguKamaJangu

    Simba yafungwa 1-0 na AS Arta Solar (timu ya kina Alex Song, Kalou)

    Simba imepoteza mchezo wa kirafiki dhidi ya AS Arta Solar kwa kufungwa goli 1-0 kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, leo Septemba 3, 2022. Licha ya kutawala mchezo huo kwa muda mwingi Simba iliruhusu goli hilo katika dakika ya 88. Mchezo huo ulikuwa ni maalum kwa #Simba kujiandaa na Ligi ya...
  14. B

    Kina Mwigulu watamfanya Mama kuharibikiwa

    Mama Samia alianza vyema. Kama ilivyo ada stahiki zake tukampa. Sasa kazungukwa na genge la walamba asali wenye kujali maslahi yao. Wako tayari kuchakachua hata kura za maoni eti kuonekana kuwa tulio wengi tunaridhika kiroho safi na kulipa tozo. Maajabu ya Mussa! Uhalali wa tozo hizi au hata...
  15. B

    Tusilaumiane: Wako wapi kina Nyerere, Maalim Seif, Mtikila, Julius Malema au kina Tutu

    Majina mazito mazito haya ni kielelezo kamili cha wapigania haki wenye kutukuka. Nini kisimame mbele ya watu kama hao kuzuia haki kutamalaki? Nini thamani ya maisha ya awaye yote kama ukosefu wa haki ndiyo unaozidi kuota mizizi? Nini kimetupata watanzania sisi leo kutokuwa na kizazi cha...
  16. MakinikiA

    Ujerumani wanazama kwenye kina kirefu kwa kumfurahisha USA

    German economy forecast to shrink The energy crisis and the conflict in Ukraine are expected to take a toll on the country’s GDP The German economy is expected to lose more than €260 billion ($265 billion) in added value by 2030 due to the conflict in Ukraine and high energy prices, Reuters...
Back
Top Bottom