KDE Image Plugin Interface (usually abbreviated to Kipi or KIPI) is an API that allows creation of application-independent image processing plugins in the KDE project.
Hivi Boka ukiachana na miguu yake mirefu , kunyoa ndevu zake kama Sadart yule muimba bolingo wa bendi ya Fmacademia na mbio zake zisizo na plani kama yule nguruwe pori maarufu kwa sasa kama kasongoye, ana kipi hasa cha ziada kumzidi Romalisa mtambala?
Yaani jamaa anaweza akapanda na mpira kwa...
Kiasili kila mwanamke anahitaji vitu 4 kwa wakati mmoja. Akikosa kimojawapo , atakitafuta nje.
Sababu moja wapo kati ya hizi, inamfanya mwanamke kuchepuka:-
1. Financial support (Mpe Pesa na matunzo)
2. Good sex (alidhike kitandani)
3. Attention (simu za mara kwa mara kumjulia hari, msifie...
Je ni Muda ndio huleta nafasi au nafasi ndio huleta muda
Mwanzo 1:1
[1]Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
Wataalamu wa haya mambo naomba mtupe maarifa kwenye huu mjadala.
Asee wanaJF people's Power na kazi iendelee kuna mkanganyiko hapa
Bora kuoa mwanamke yupi Kati ya hawa
1.Mwanamke mwenye mtoto(karibu la mume wake umeliona🤣)
2.Mwanamke aliyekuzidi umri
3.Mwanamke aliyekuzidi elimu
4. Mwanamke aliyekuzidi pesa
NB. Ni mwenye sifa moja(sio kwamba anasifa zote...
Haya mambo yanachanganya sana. Mtu anakufanyia ubaya halafu bado anakutaka radhi. Muda mwingine kosa lenyewe sio kosa linalotokea Kwa hatua Moja, unakuta Hadi kosa linalotokea limepita hatua kama tatu.
Sawa, unaamua kusamehe na kusema naachilia yapite , kosa linakuja linajirudia Tena ukipiga...
Elimu na Afya ni huduma muhimu sana katika jamii,ila nina uhakika kwamba moja wapo ni muhimu zaidi hivyo inapaswa kutolewa bure.
Nakusanya data kwa kazi maalumu ya kiutafiti,naomba nisaidie kufanya voting kulingana na mtazamo wako.
Baada ya polling hii nitakuja na muendelezo ili utimiza adhma...
Salaam, Shalom!!
Nimekaa hapa natafakari, kipi Hasa ni Rahisi,
1. Umma wa Watanzania unadai viongozi waliopo IGP, Waziri wa mambo ya ndani ndugu Masauni wajiuzulu au wafukuzwe nafasi zao Kisha wateuliwe wengine watakaokuja na Mpango mkakati wa kushughulikia mauaji ya raia na utekaji.
2...
Wakati mtu unaomba passport katika idara ya uhamiaji unahitajika kuwa na kitambulisho cha taifa(NIDA) lakini pia unapaswa tena kufuata mchakato ule ule uliotumia kupata kitambulisho cha NIDA, sasa nini maana kuwa na kitambulisho cha Taifa!
Kipi ni kikubwa, kikuu au cha muhimu zaidi kati ya...
Unapokuwa na wasiwasi wa kutekwa, kuuliwa, kukamatwa na watu wasiojulikana unapaswa kufanya nini?
1. Kuripoti polisi. Swali ni unaripoti kwa muktadha upi ukiulizwa kipi kinakufanya uwe na mashaka ya kutokewa na kitu kibaya utawaambia Nini kama ushahidi? je nikiwaambia hisia zangu zinaniambia...
Madame wa biology aliingia class akakuta board ni chafu. Akaniambia kwa kuwa nimeshindwa ku-sort mtu afute, basi nikafute mimi. Nimeenda kufuta ubao, nikatafuta duster cleaner, nikaikosa. Naangalia kwenye ki-box cha chalk, nikakuta kitambaa fulani cheupe. Nikakichukua nikasafishia ubao.
Madame...
Je, kati ya MUST (Mbeya University of science and technology) na Arusha Technical ni kipi chuo bora ambacho unamshauri mdogo wako asome kwa masomo ya Computer?
Kwenye maisha ni kipi kinauma zaidi hasa kweny mazingira tunayo ishi ya kila siku??
1.kufiwa na mzazi au wazazi
2.kufiwa na mpenzi au mke
3.kufumania au kufumaniwa na mke au mume wa mtu
4.kuacha au kiachika na mchumba au mpenz au mke
5.kutengwa na marafiki ndugu au wazazi...
I'll never forget such kind of moment in my life. Ile wamepika matoke wakayachanganya na maharage, plus matumbo ya ng'ombe, karanga za kusiginwa plus karanga za kutafunwa, humo humo mfuru, kha! Ile siku nilitembea kama naruka majoka vile kuelekea toy kujiharishia, tena mbele ya mama mkwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.