kisa

The Kisa, also known as Abakisa or Abashisa, are one of the sixteen tribes of the Luhya nation of Kenya. They occupy Kisa location in Khwisero division of Butere-Mumias district. The Kisa are sandwiched between the Marama of Butere, the Idakho of Kakamega and the Nyore of Vihiga district. The people of Kisa speak Olushisa. A few basic words in the Kisa Language include :

Kuka = Grandfather
Kukhu = Grandmother
Papa = Father
Mama = Mother

View More On Wikipedia.org
  1. julfox

    Sativa: Kisa cha kutekwa na kuteswa

    Scene 1: Mji wa Dar es Salaam, Usiku Maelezo ya eneo: Usiku wa Dar es Salaam, mitaa yenye mwangaza mkali kutoka kwa biashara za usiku na vilabu vya michezo ya kamari. Sativa ni kijana maarufu anayejulikana kwa kupenda michezo ya kamari. Usiku mmoja, huku akicheka na marafiki zake na akifurahia...
  2. J

    Achezea bakora kisa kuwafungia watoto ndani na kwenda kulewa

    Mwanamke mmoja alipata adhabu ya viboko baada ya kuacha watoto peke yao nyumbani na kwenda kulewa. Kitendo chake kilizua hasira kwa jamii, kwani alionyesha uzembe kwa kuwatelekeza watoto, hali ambayo ingeweza kusababisha hatari kubwa.
  3. realMamy

    Ni Kisa/ kituko gani uliwahi kufanyiwa na Dada wa kazi?

    Kila Kona nchini watu wamekuwa wakilalamikia Visa vinavyofanywa na Dada wa Kazi. Visa hivyo hufanyiwa Watoto, na hata Ma Boss wenyewe waliowaajiri. Wengine hufikia hatua ya kueleza kuwa pengine malezi yanasababisha visa hivyo kutokea. Mfano wa Kisa kimoja huu hapa chini
  4. PLAN B VERYFIED

    Aliyejioa mwenyewe ajipa talaka kisa upweke

    Mshawishi wa Kibrazili #SuellenCarey, ambaye aligonga vichwa vya habari mwaka jana kwa kujioa kama kitendo cha ujasiri cha kujipenda, sasa amewasilisha kesi ya talaka kutoka kwake mwenyewe huku akisema amekuwa mpweke. . Baada ya kukaa vikao kumi na Mwanasaikolojia aligundua kuwa kujitoa kwenye...
  5. LIKUD

    Kisa cha Mama Esta Mlokole na Vodabima

    VODABIMA: Habari yako Mama Esta , hapa ni Vodacom, tunakukaribisha kujiunga na bima yetu. Ukifa leo watoto wako watasomeshwa, ukipata ajali ukapata ulemavu utatunzwa hadi kufa kwako. Ukiugua magonjwa mazito utatibiwa. Mama Esta mlokole: Mshindwe na mlegee kwa jina la Yesu. Sintokufa bali...
  6. A

    KERO Askari wanatukamata Wafanyakazi wa SGR kisa tumesema Mkandarasi hajaingiza malipo yetu ya NSSF

    Sisi Wafanyakazi wa Ujenzi wa SGR kwa hapa Lot 1 ambayo inahusisha Dar – Moro baada ya kulalamika kuhusu Mkandarasi Mkuu, Yapi Merkezi kuwaondoa watu kazini kwa gia ya likizo huku wakiwa hawatulipi stahiki zetu ikiwemo, malipo ya NSSF, kumeibuka baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi wanatukamata...
  7. Roving Journalist

    DC Mboni Mhita: Mkandarasi aliyeng'oa milango kisa deni aliirudisha na shughuli zinaendelea kama kawaida

    Imeelezwa kuwa milango ambayo iling’olewa na Mkandarasi katika Kituo cha Afya cha Bulige, Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, ilirejeshwa na shughuli zinaendelea kama kawaida. Awali Mkandarasi aling’oa milango kwa madai ya kuwa hajalipwa gharama za kazi yake kutoka kwa Ofisi ya Mkurugenzi, Mkuu...
  8. Mshana Jr

    KUTEKWA KWA DEUSDEDITH SOKA NA KISA CHA BEN SAANANE

    Ben Saanane alikuwa mmoja wa wanaharakati wa kisiasa wenye sauti kali ndani ya CHADEMA, hususan akifahamika kwa msimamo wake wa kukosoa serikali ya wakati huo. Kabla ya kupotea, Ben alikuwa ameandika makala kadhaa na kutoa matamko ambayo yaliibua mjadala mkubwa, na baadhi ya kauli zake zilikuwa...
  9. Mshana Jr

    KUTEKWA KWA DEUSDEDITH SOKA NA KISA CHA BEN SAANANE

    Ben Saanane alikuwa mmoja wa wanaharakati wa kisiasa wenye sauti kali ndani ya CHADEMA, hususan akifahamika kwa msimamo wake wa kukosoa serikali ya wakati huo. Kabla ya kupotea, Ben alikuwa ameandika makala kadhaa na kutoa matamko ambayo yaliibua mjadala mkubwa, na baadhi ya kauli zake zilikuwa...
  10. Hypersonic WMD

    “Ndoa ilivunjika kisa mwanamke aliolewa na Down low”

    Katika kupita pita ofisini nimekutana na story ya lecturer mmoja alikuwa anafundisha na ndoa yake ilivunjika miezi mitatu iliyopita. Sasa ile naingia ofisini nikakuta mateacher wanaongea kuwa ndoa ilivunjika kwasababu mumewe alikuwa ni down low….. Mwanamke yakamshinda SASA sijaelewa hili neno...
  11. Nyaka-One

    Je, ni kisa gani cha kweli lakini cha kuogopesha na kusisimua ulichowahi kusimuliwa na mwanamke? Ulijifunza nini kutokana na kisa hicho?

    Binafsi nimebahatika kuwa na mahusiano ya kawaida na akina dada/mama na katika simulizi za kweli za baadhi yao hapa ningependa ku-share nanyi baadhi ya visa hivyo kama ifuatavyo: Wa kwanza: Huyu dada aliwahi kuwa girlfriend wa nabii mmoja maarufu nchini mwenye kanisa lake njia ya kuelekea...
  12. Gemini AI

    Kenya yaripoti Kisa cha pili cha Mgonjwa wa MPOX

    Wizara ya Afya imethibitisha kisa cha pili cha Mpox katika kituo cha mpakani cha Malaba katika Kaunti ya Busia. Katika taarifa yake siku ya Ijumaa, Katibu wa Baraza la Mawaziri la Afya Dkt. Deborah Barasa alitangaza kwamba mtu husika, dereva wa lori mwanamume mwenye historia ya kusafiri hadi...
  13. G

    Kisa kilichonitokea kutibiwa na mwanafunzi wa udaktari, Siwezi kuja kukubali tena kuwa mwili wa kujifunzia matibabu kwa wanafunzi wa field

    Kuna kipindi nilikuwa ninahisi maumivu kwenye jino la mwisho, nikaenda hospitalini kupiga xray ikaonekana nina jino chini ya fizi, inabidi litolewe. Nikaweka appointment ili niende kesho yake kulitoa. Asubuhi na mapema nikawahi hospitalini, Daktari nilekutana nae ni kijana mdogo mwenye rika la...
  14. figganigga

    Pre GE2025 Nimemdharau Tundu Lissu kwa kukataa hela/Mabilioni ya CCM kisa CHADEMA

    Salaam Lissu nilikuwa nakuheshimu sana. Umepigwa risasi sababu ya CHADEMA, umefungwa sababu ya CHADEMA, huishi kwa amani sababu ya CHADEMA. Leo unakataa ngawila sababu ya CHADEMA. Umelogwa au? Dunia Mungu akupe nini? CHADEMA Mbowe alishaiuza kwa Lowassa, sasa kaipiga mnada kwa Samia. Hadi...
  15. M

    Mwanamke kazima simu kisa mpango tulikuwa nayo mwezi huu

    Kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano kuna mpango tumepanga kila siku nikiongea nae namkumbusha. Sasa jana nime mkumbusha , akanikasirikia kabisa anasema ",nimeshaona kuwa siaminiki wewe mtu kila siku tunaongea mambo hayohayo lakini bado unanisisitizia kiasi ambacho naona kabisa huniamini kwa...
  16. T

    Pre GE2025 Tutegemee muda si mrefu mzee wa victoria akahama chama kisa vipande vya thumni

    Save this post!!!!!! Mzee wa victoria ambaye ni kiongozi wa ile eneo muda si mrefu atahama chama na kwenda kwa wale wenzzetu wa kijani baada ya kununuliwa kwa vipande vya thumni. Save the post!!!! Kinachosubiliwa ni muda tu ufike mheshimiwa tu save the date!!!
  17. Tajiri wa kusini

    Nimenyimwa mtoto kisa eti sijamaliza mahari

    Wakuu kuna makabila yana mambo ya ajabu sana hasa hasa ya kanda ya ziwa hususuani wale weupe ti wanaopatikana kanda ya ziwa wale akina macho ya makengeza yaani kwao mtoto wa kike ni source of income yaani Nimeambiwa ili niweze kumchukua mtoto lazima nimalize mahari aisee daa mimi niwadindia...
  18. Faana

    Foleni ndefu Mlandizi hadi Visiga kisa lorry moja bovu

    Kuna lorry limeharibika nje tu ya kituo cha polisi Mlandizi na kusababisha foleni hadi Visiga, mnaoelekea usawa huo jiandaeni kisaikolojia
  19. BigBro

    Kisa cha mapenzi cha Gavi na mtoto wa Mfalme Hispania

    Leonor, Princess of Asturias ni binti wa kwanza wa Mfalme wa Hispania, Felipe VI na Malkia Letizia. Alizaliwa Oktoba 31 mwaka 2005 kwa sasa ana umri wa miaka 18. Amehitimu chuo na mafunzo kijeshi hivi karibuni na ndie malkia anayefuatia kwa utaratibu wa Ufalme wa Hispania. Sasa huyu binti...
  20. L

    Ushauri wangu kwa wanajamiiforums mnaotukana na kudhalilisha wenzenu bila sababu kisa Footbal

    Every body is entitled to freedom of expression, this is a constitutional rights.Ipo kwenye Bill of Rights. Kutoa maoni ni haki ambayo nobody huwezi kuichukua, ndio maana Rais anavumilia watu wakimkosoa na wengine wakimkejeli. Mtu anapotoa mawazo yake sio lazima ww uyakubali au uyapende...
Back
Top Bottom