kisukuma

The Sukuma are a Bantu ethnic group inhabiting the southeastern African Great Lakes region. They are the largest ethnic group in Tanzania, with an estimated 8.9 million members or 16 percent of the country's total population. Sukuma means "north" and refers to "people of the north." The Sukuma refer to themselves as Basukuma (plural) and Nsukuma (singular). They speak Sukuma, which belongs to the Bantu branch of the Niger-Congo family.
The Sukuma live in northwestern Tanzania on or near the southern shores of Lake Victoria, and various areas of the administrative districts of the Mwanza, southwestern tip of Mara Region, Simiyu Region and Shinyanga Region. The northern area of their residence is in the famous Serengeti Plain. Sukuma families have migrated southward, into the Rukwa Region and Katavi Region, encroaching on the territory of the Pimbwe. These Sukuma have settled outside Pimbwe villages.
The Sukumaland is mostly a flat scrubless savannah plain between 910 and 1,220 metres (3,000 and 4,000 ft) elevation. Twenty to forty inches (51 to 102 cm) of rain fall from November to March. High temperatures range from 26 to 32 °C (79 to 90 °F) while lows at night seldom drop below 15 °C (59 °F). Population is very spread out among small farm plots and sparse vegetation.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Mganga Mkuu wa Wilaya Meatu, Mahela Godfrey Njile aamua kutoa Elimu ya kipindupindu Kwa lugha ya KISUKUMA

    Mganga Mkuu Halmashauri Ya Wilaya Meatu , Mahela Godfrey Njile akitoa Elimu ya kipindupindu Kwa lugha ya KISUKUMA katika kata ya Mbugayabang'hya. Pia soma: ~ Kihongosi: Baadhi ya Mila na Tamaduni zinachangia Kipindupindu Simiyu ~ Kipindupindu Simiyu kimeshamiri, kinaua ni hatari! Mbona...
  2. Roving Journalist

    Katibu Tawala Simiyu: Elimu ya kujikinga na Kipindupindu kutolewa kwa Lugha ya Kisukuma na Kiswahili

    Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu, Prisca Kayombo amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu kutumia lugha mbili ya Kiswahili na Kisukuma ili kuweajengea Wananchi wasijua lugha ya Kiswahili uelewa wa namna ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu. Aidha amemuagiza Mkurugenzi...
  3. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    MFAHAMU:-Manongu Mzungu anaeimba nyimbo za kisukuma

    Jf wasaalam 🙏 Sina hakika Wala kumbukumbu kama huyu msanii mzungu anayeimba nyimbo za kisukuma Kwa ufasaha alishawahi ongelewa humu. Kama Bado soma hapa. Anaitwa Manongu mzaliwa wa Sweden, amezaliwa huko na kukulia huko. Alipata nafasi ya kutembela Tanzania kama mtalii. Alipenda sana Tamaduni...
  4. Pang Fung Mi

    Taarifa toka kwa Wanawake: Mpaka sasa Wanaume wa kisukuma wanaongoza kwa kuwa na Mujumba Bujumba mukubwa

    Shalom, Wanaume wakisuma hawana maajabu ya uchangamfu they are not pepper but women have concluded wasukuma wanaongoza kwa kuwa na Mujumba Bujumba mukubwa Taarifa fupi mengine yaendelee Wadiz
  5. holoholo

    Nyimbo za kisukuma special thread

    Naamu wale wenye nyimbo za asili has a za kisukuma mkuje APA muweke nyimbo tuzidownload
  6. Allen Kilewella

    Nimetafuta Wimbo Wa Eid El fitri Wa kisukuma nimeukosa

    Kwa kuwa wasukuma ni miongoni mwa makabila makubwa nchini, bila ya shaka wasukuma kadhaa ni Waislam. Kwa mintarafu hiyo nikapata shauku ya kusikiliza Wimbo angalau mmoja ulioimbwa Kwa kisukuma kusherehesha siku kuu hii nimeukosa kabisa. Kama Kuna mtu ana wimbo ulioimbwa kwa Kisukuma maalum Kwa...
  7. Lycaon pictus

    Methali za kisukuma ni "Konki" sana.

    Kutoka kitabu hadithi za Kisukuma. Methali na Tafsiri Makono hoya babyaji ba banhu: Mikono ndiyo wazazi wa watu: fanya kazi kwa mikono yako uishi. Buka mundi tukalye sha balimi: Miguu yangu inukeni tukale vya wakulima, mvivu huishi kwa jasho la wenziwe. Mkono gumo gutatobaga buki: Mkono...
  8. GoldDhahabu

    Nimekutana na vijana wa Kisukuma wanaovaa hereni

    Kama utamaduni ni utajiri, Tanzania inao mwingi sana. Nilikuwa nafahamu kuwa ni sehemu ya utamaduni wa Kimasai wanaume kutoboa masikio. Ndiyo maana nilishangaa nilipokutana na vijana wa Kisukuma wanaovaa hereni. Hata mahali nilikokutana nao ni mshangao pia. Ni mkoa ambao unaojulikana kuwa...
  9. KING MIDAS

    Ng'wanamalundi: Shujaa wa Kisukuma aliyewatesa Wajerumani

    Historia ya Ng'wanamalundi Hebu leo mjue vizuri huyu mtu wa miujiza aitwae Ng'wanamalundi shujaa wa Kisukuma aliyewatesa Wajerumani. Kwa wale waliopata kusoma historia au kusikia hadithi za makabila, hasa ya Wasukuma na Wanyamwezi, hawakukosa kusikia habari ya Ng’wanamalundi. Mtu huyo...
  10. Uhakika Bro

    Msaada: Tafsiri ya shairi zuri kutoka katika lugha ya kisukuma kuwa kiswahili

    Ndugu zangu kuna Msukuma anakijua vizuri zaidi basi please: Umo wing'we anambeleje kutafsiri Lugano lwenulu na mambo gose du. Tusaidiane tafadhali wasukuma. Nitumie tafsiri yake kupitia 0734189022 tafadhali The DEDE legend: Sukuma tradition ""Lugano lwa DEDE, lwa kabili: Dede 1 Kimala...
  11. Uhakika Bro

    Stori (ya Kisukuma) inayoelezea kuanza kwa jua, mwezi na nyota duniani

    "LIMI BUPE ISANA: "Bhanhu bhakatongela bupe. "Bakaja lushiku lumo ku Ban'igulu n'itandala lya Lububi. Lububi lwali giti 'giligilita' yabo. "Aliyo ban'igulu bakabi na wisu: bakabis'Isana nu tusandiko twa bubhi twalekanile na twa wiza. "-Huna lulu, bhakashoka mu Si. Aho balugula ikundikikijo...
  12. Nyani Ngabu

    Adhabu kwa mzinzi katika jamii ya Kisukuma

    Sijui hii ilitokea wapi hasa. Ila jamaa wanaongea Kisukuma. Hivyo huenda ni huko Usukumani. Ni adhabu ya kipumbavu sana. Kama shida ni uzinzi, walioshiriki ni wawili [kikawaida]. Sasa iweje adhabu apate mmoja tu? Halafu huyo ‘mzinzi’ naye ni bwege tu. Ni bora kufa unapigania heshima yako...
  13. sky soldier

    Weka hapa msanii alieweza kupata umaarufu nchini akiwa bado yupo mkoani

    Wasanii wengi wanaofanya kazi zao mikoani huwa wanaishia kutamba hukohuko mikoani lakini wapo wachache ambao walivuka boda na kupata umaarufu nchi nzima. Uzi huu tuwataje wasanii waliofanya kazi zao mikoani lakini zikahit na kuwatambulisha nchini. Marlaw - Iringa Marlaw baada ya kumaliza...
  14. M

    Chato: Msanii wa nyimbo za asili aliyemtumkana Rais Samia ahukumiwa miaka 6 jela

    Msanii wa Nyimbo za asili ya Kisukuma, Dawa Juma mkazi wa Kijiji cha Makurugusi wilayani Chato mkoani Geita, amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela au kulipa faini ya Tsh. Milioni 10 baada ya kupatikana na hatia ya kumtukana rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan...
  15. NetMaster

    Ni kweli kwamba ukienda kumtolea posa binti wa kisukuma kwao usukumani unapimwa uwezo wa kula chakula kingi?

    Habari zenu wakuu Nina rafiki yangu kapata binti wa kisukuma wa huko shinyanga. Katika story za hapa na pale nimewahi sikia kwamba unapoenda huko kwao wana utamaduni wa kumpa msosi heavy mwanaume anaemuoa binti yao, Je, hii ni kweli? huo msosi heavy ni nini unapewa kwa sahani ngapi ?
  16. To yeye

    Mwanaume wa kisukuma ni bora zaidi…

    Kubali ukatae,haijalishi walikufanyia nn kibaya.....lakini wanaume wa kisukuma ni wanaume Bora,Wana utu.....kitu ambacho hawajajaaliwa kabisa ni dharau na kitu walichojaaliwa kabisa ni upendo wa kweli.Hivyo kwako mwanamke mwenzangu ukimpata mwanaume wa kisukuma ana pesa nenepa,mpende na...
  17. Phobia

    Nataka nioe mwanamke wa Kisukuma, Wanyantuzu je wapoje?

    Naombeni mnipe experience kidogo kwa hawa wanawake wa kinyantuzu jamii ya wasukuma kwa sababu nimempata binti mmoja wa huku Simiyu wilaya ya Bariadi nimempata kabinti ama hakika anavutia na ni mweupeeee. Nipeni experience kidogo je wanawake wa Kinyantuzu wakoje? Kitabia na mengine kama hayo.
  18. Shy land

    Ngoma za kisukuma special thread

    Nyimbo za kisukuma zimekuwa zikipigwa sana maeneo mbalimbali na kona zote za nchi, na kwenye maharusi, kumbi za starehe na kwenye ndoa za watu wote nchini. Huu uzi utakuletea majina ya wasanii na ngoma zote nzuri zinazopedwa mda Wote. wasanii kama GUDEGUDE, LIMBU LUCHANGULA, BHUNDAGALA, BAHATI...
  19. Suzy Elias

    Napendekeza Kisukuma iwe lugha ya pili ya Taifa la Tanzania

    Mhola sana waungwana! Kiasili,kabila la Wasukuma ni wenyeji wa huko Kanda ya Ziwa namaanisha Shinyanga,Mwanza,Geita,Simiyu na Tabora. Lakini, kwa sasa Wasukuma wameenea hata Mikoa mingine ya Tanzania hasa Mkoa wa Morogoro, Mara,Kagera,Kigoma,Lindi,Singida,Dodoma,Mbeya na Pwani. Baadhi ya...
  20. KENZY

    Mabinti wa kisukuma shida nini..?

    Niliamua nijirushe kwenye sherehe ya harusi huko kijijini usukumani,baada ya purukushani za sherehe namengine kadharika ukafika ule muda wa usiku mmbovu, dj akaamua aliamshe dude!. Disko vumbi likalipuka baada ya dj kuanza kulindimsha spika kwa uhakika,wadada wa kisukuma nao wakachangamka huku...
Back
Top Bottom