The Sukuma are a Bantu ethnic group inhabiting the southeastern African Great Lakes region. They are the largest ethnic group in Tanzania, with an estimated 8.9 million members or 16 percent of the country's total population. Sukuma means "north" and refers to "people of the north." The Sukuma refer to themselves as Basukuma (plural) and Nsukuma (singular). They speak Sukuma, which belongs to the Bantu branch of the Niger-Congo family.
The Sukuma live in northwestern Tanzania on or near the southern shores of Lake Victoria, and various areas of the administrative districts of the Mwanza, southwestern tip of Mara Region, Simiyu Region and Shinyanga Region. The northern area of their residence is in the famous Serengeti Plain. Sukuma families have migrated southward, into the Rukwa Region and Katavi Region, encroaching on the territory of the Pimbwe. These Sukuma have settled outside Pimbwe villages.
The Sukumaland is mostly a flat scrubless savannah plain between 910 and 1,220 metres (3,000 and 4,000 ft) elevation. Twenty to forty inches (51 to 102 cm) of rain fall from November to March. High temperatures range from 26 to 32 °C (79 to 90 °F) while lows at night seldom drop below 15 °C (59 °F). Population is very spread out among small farm plots and sparse vegetation.
Wakuu habari.
Kwa elimu yangu hii nimesomea A. Level na chuo maeneo ya kasikazini ila katika uzoefu niliojionea uko uchagani sio siri wanaume wa kisukuma wanapendwa sana yaana ukimwambia kabila tu kuwa mimi ni msukuma hapohapo kashakupenda sijui kwanini.
Swali langu kwa nyie wachaga mbona...
Inasikitisha na kuhuzunisha kura za Magufuli zinaombwa kwa ukabila na eneo analotoka.
Leo yuko Geita cha ajabu kikabila kinatumika kuomba kura tena kwa vijembe kwa kusema inakuwaje mnataka kumchagua asiye wa nyumbani kwenu usukumani na kasema kwa kuwa tunafahamiana kwenye mikutano yao wakija...
Hii ni aibu aisee, yaani inatia kinyaa sana niko namsikiliza anapiga kampeni Magu kila baada ya maneno matatu ni full kisukuma.
Haileti picha nzuri kabisa, kwa sababu kampeni inarushwa Tanzania nzima, sasa kusema kwamba kama anamwaga sera, mtu wa kule Tanga anamuelewa vip?
Huu ni udhaifu...
Nimemsikia mgombea urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli, kwenye kampeni zake zinazoendelea huku kanda ya ziwa, amekua akitumia kisukuma mara kwa mara.
Hatukuwahi kusikia Rais yoyote waliotangulia wajifanya kama anavyofanya magu.
Najiuliza tu, wagombea wengine wa vyama CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF...
Jamani wakati tunakua tulikuwa tuna ganilwa nahau na methali mbalimbali za kisukuma na
bibi na babu zetu, hata sisi wenyewe wakati tunachunga tulikuwa na mchezo wa kugani methali na mwingine anatoa jibu. Naona kulingana na mabadiliko mbalimbali watoto wetu na uhakika kwa asilimia zote hawazijui...
Bhanamhala mhu le mhola hene?
Uzi huu mahususi wa kushare ama kushirikishana nyimbo zozote za kisukuma ili kudumisha mila na tamaduni zetu.
Kwa sababu wasukuma tunasifika kwa kuwa wapole na wakarimu. basi uzi huu unaruhusu pia makabila mengine kuweka nyimbo zilizoimbwa kwa lugha zao ili tuweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.