Nimemsikia mgombea urais kupitia CCM, Dkt. Magufuli, kwenye kampeni zake zinazoendelea huku kanda ya ziwa, amekua akitumia kisukuma mara kwa mara.
Hatukuwahi kusikia Rais yoyote waliotangulia wajifanya kama anavyofanya magu.
Najiuliza tu, wagombea wengine wa vyama CHADEMA, ACT Wazalendo, CUF...