kitaalamu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Huu mgawanyo wa Kimajukumu wa hawa Viongozi Waandamizi wa Yanga SC Kitaalamu unaitwaje?

    Yanga SC ikiwa inafanya vyema Wazungumzaji Wakuu ni 1. Injinia Hersi Said 2. Haji Manara 3. Mshindo Msolla Yanga SC ikiwa inafanya vibaya Wazungumzaji Wakuu ni 1. Haji Mfikirwa 2. Hassan Bumbuli 3. Haji Mfikirwa Nitashukuru mkinijibu ili nijifunze zaidi.
  2. R

    Je, kitaalamu imekaaje?

    Habari wana JF Nina changamoto moja katika via vyangu vya uzazi, uume wangu ni mdogo sana unakua ka wa mtoto hasa kukiwa na baridi au nkitoka kuoga ila ukisimama unakuwa vizuri tu nilishaga wahi kuupima siku 1 nikapata inchi 6.2 urefu. Changamoto inakuja pale napokua na bibie halafu aombe...
  3. Kamakabuzi

    Jedwali la kodi za PAYE 2022 si la kitaalam

    Nimedownload hilo jedwali (INCOME TAX TABLES 2122) kwa link hii Tanzania Revenue Authority - Tax Tables na nimegundua lina mapungufu kadhaa, Kuna mahali ukiweka mshahara kodi inakuja hasi (negative). Na hii imesababishwa na mtengeneza jedwali kutotumia formula inayojumuisha kila tax bracket...
  4. Amaizing Mimi

    CWT kupinga uanzishwaji wa bodi ya kitaalamu ya walimu.

    Bila shaka mpo salama wanajukwaa. Hivi karibuni katibu wa Chama cha Walimu wilayani kwetu amezunguka kwenye shule za hapa wilayani.amekuwa akipinga uanzishwaji wa bodi ya walimu, nijuavyo mimi CWT ndio inaongoza kumnyonya mwalimu. Kuna lipi la muhimu kwa mwalimu hadi cwt ijifanye inamtetea...
  5. Bwana Fulani

    Hii tunaiitaje kitaalamu?

    Karibuni
  6. K

    Yajue maajabu ya tende mwezi mtukufu wa Ramadhan

    Kitaalamu chakula unachokula leo ndio kinaamua hali ya afya yako kwa siku za usoni. Na ni muhimu sana kuzingatia ulaji bora wa chakula na si kula ilimradi umekula. Wataalamu wa lishe wanatuambia kuwa ulaji unaofaa hutokana na kula chakula mchanganyiko kulingana na wakati. Lakini hata ulaji huo...
Back
Top Bottom