Yanga SC ikiwa inafanya vyema
Wazungumzaji Wakuu ni
1. Injinia Hersi Said
2. Haji Manara
3. Mshindo Msolla
Yanga SC ikiwa inafanya vibaya
Wazungumzaji Wakuu ni
1. Haji Mfikirwa
2. Hassan Bumbuli
3. Haji Mfikirwa
Nitashukuru mkinijibu ili nijifunze zaidi.
Habari wana JF
Nina changamoto moja katika via vyangu vya uzazi, uume wangu ni mdogo sana unakua ka wa mtoto hasa kukiwa na baridi au nkitoka kuoga ila ukisimama unakuwa vizuri tu nilishaga wahi kuupima siku 1 nikapata inchi 6.2 urefu.
Changamoto inakuja pale napokua na bibie halafu aombe...
Nimedownload hilo jedwali (INCOME TAX TABLES 2122) kwa link hii Tanzania Revenue Authority - Tax Tables na nimegundua lina mapungufu kadhaa, Kuna mahali ukiweka mshahara kodi inakuja hasi (negative).
Na hii imesababishwa na mtengeneza jedwali kutotumia formula inayojumuisha kila tax bracket...
Bila shaka mpo salama wanajukwaa.
Hivi karibuni katibu wa Chama cha Walimu wilayani kwetu amezunguka kwenye shule za hapa wilayani.amekuwa akipinga uanzishwaji wa bodi ya walimu, nijuavyo mimi CWT ndio inaongoza kumnyonya mwalimu.
Kuna lipi la muhimu kwa mwalimu hadi cwt ijifanye inamtetea...
Kitaalamu chakula unachokula leo ndio kinaamua hali ya afya yako kwa siku za usoni. Na ni muhimu sana kuzingatia ulaji bora wa chakula na si kula ilimradi umekula. Wataalamu wa lishe wanatuambia kuwa ulaji unaofaa hutokana na kula chakula mchanganyiko kulingana na wakati.
Lakini hata ulaji huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.