Habari zenu wakuu,
Katika uzi huu, nitaleta maandiko ya kitabu cha Adam na Hawa (The book of Adam and Eve) cha kwanza na cha pili ambacho kwa sababu wanazozifahamu wahusika wamekiondoa kwenye vitabu vya Biblia.
Kitabu hiki nitakituma humu kwa Kiswahili kupitia Google translate kwa hiyo baadhi...