kitambulisho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Don Billionea

    Serikali mmeweka kipaumbele sana kwa wananchi kupata kadi ya mpiga kura kuliko kadi ya uraia

    Serikali mmeweka kipaumbele sana kwa wananchi kupata kadi ya mpiga kura kuliko kadi ya uraia. Mtaani kwetu vibanda vya kujiandikisha vipo ad leo na hakuna watu, watu wanasubiriwa adi wanatangaziwa mitaani mkajiandikishe, ila lilipokuja suala la NIDA walifanya chapchap wanafika saanne asubuh...
  2. chizcom

    Hivi kwa nini kitambulisho cha taifa Tanazania kwa USA ni sawa na leseni ya udereva wakati leseni ya kwao imebeba mambo mengi kuliko sisi

    Leseni ya USA ni kitambulisho cha hapa Tanzania kwa jina ID card kuwa wewe ni Mtanzania. Upande wa wenzetu waliona nini kwao ili.Wajuzi tuelewesheni
  3. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Kigaila: Hakuna mpiga kura amenyimwa kitambulisho

    Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bara. Benson Kigaila akitoa ufafanuzi wa taarifa za baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama hicho unaotarajiwa kufanyika kesho, kunyimwa vitambulisho. Soma Pia: Wajumbe wanaomuunga mkono Lissu wanyimwa vitambulisho ili kesho...
  4. Cassnzoba

    Kitambulisho Cha taifa kikipotea

    Habari wakuu Naomba kuuliza kama kitambulisho Cha taifa kimepotea,Kuna utaratibu Gani wa kukipata upya?? Sina mengi ya kusema, nawasilisha mada. Wenu mtiifu katika jamiiforum Cassnzoba
  5. RIGHT MARKER

    Kitambulisho cha NIDA ni muhimu sana, nenda kachukue kitambulisho chako

    📖Mhadhara (72)✍️ Ni siku nyingi sana sikutembelea ofisi ya NHIF. Lakini jana nilikwenda kwenye ofisi ya NHIF kuchukua kadi ya Bima ya afya ya mtegemezi, nikaambiwa kuwa sasahivi mambo yamebadilika. Kwa sasa mtu mzima hapewi kadi ya Bima ya afya bali atatumia NIDA (NAMBA YA NIDA) kutibiwa...
  6. S

    Nakala ya kitambulisho cha Taifa (NIDA)

    Habari zenu ndugu wana JF, nilikua naomba msaada wa yeyote anaeweza kunisaidia kupata nakala ya kitambulisho cha taifa
  7. Trainee

    Upi ni upande sahihi wa kukaa picha kwenye kitambulisho?

    Kulia au kushoto? Au inategemea na aina ya kitambulisho? Kwa mfano vyangu mimi; Cha kazi, cha NIDA na cha... picha ipo upande wa kulia ukiwa unavitazama Cha bima ya afya na vya shule vyote picha ipo kushoto ukiwa unavitazama
  8. Mzee Saliboko

    Kitambulisho cha Taifa kinafutika. Suluhisho ni nini?

    Nadhani kuna watu watakubaliana na mimi kuwa vitambulisho vya taifa vya sasa vinafutika. Naomba kujua sululisho!
  9. Melki Wamatukio

    Hivi kitambulisho cha mpiga kura naweza kukifanyia nini cha ziada ukiachana na kupiga kura?

    Habari wanajamvi, Ukiachia mbali kupigia kura 😆🤤 Hivi kitambulisho cha kupigia kura kinaweza kuwa na matumizi mengine ya ziada? Au niache kujisumbua kwenda kupanga foleni bure!
  10. profesawaaganojipya

    Nimepoteza Kitambulisho cha Taifa (NIDA)

    Wakuu nimepoteza NIDA,na nina police loss report,nauliza namna ya kutuma maombi kwa njia ya mtandao ili kuomba kadi. nyingine inakuwaje,maana kwenye website ya NIDA,sijaona fomu ya maombi kwa waliopoteza vitambulisho. Msaada kwa anaejua. Shukrani
  11. Brojust

    Je, Rais ana Kitambulisho au Business card kinacho onyesha nafasi yake katika serikali?

    Habari za muda huu. Inawezakana litakuwa ni swali la kijinga kwa baadhi ya watu ila kwangu mimi naomba mnitoe ushamba kidogo nami nijifunze. Kama tunavyojua Rais wa nchi yoyote ni Taasisi inayotembea. Popote anakapo kuwepo duniani. Je, Raisi ana kitambulisho kinacho onyesha nafasi yake katika...
  12. Mshana Jr

    Hackers wametapakaa mitaani: Makinika na simu zako na kitambulisho chako cha NIDA

    Hali ni mbaya sana mtaani .. ma IT wameshamaliza kozi zao.. Ajira hakuna .. Sasa wamegeukia utapeli na wizi kwa njia ya mitandao Makinika na vitambulisho vyako mbalimbali hasa NIDA Kadi za bank Passwords nk Makinika na wasajili laini mitaani na ikiwezekana TCRA wazifunge hizi freelance za...
  13. Yoda

    Kipi kikubwa au kikuu kati ya kitambulisho cha Taifa(NIDA) na passport?

    Wakati mtu unaomba passport katika idara ya uhamiaji unahitajika kuwa na kitambulisho cha taifa(NIDA) lakini pia unapaswa tena kufuata mchakato ule ule uliotumia kupata kitambulisho cha NIDA, sasa nini maana kuwa na kitambulisho cha Taifa! Kipi ni kikubwa, kikuu au cha muhimu zaidi kati ya...
  14. Bususwa

    KERO Matumizi ya vitambulisho vingi, kwanini kisitumike kitambulisho cha NIDA pekee?

    Husika na mada tajwa hapo juu. Tanzania ni Nchi ya ajabu sana kuwahi kutokea hapa Duniani, Tanzania ni Nchi ambayo bado iko nyuma sana na mambo ya teknolojia. Tanzania tuna Kitambulisho cha Taifa, maarufu kwa jina la NIDA, Kwa mawazo yangu nilifikiri kwamba kitambulisho hiko kitabeba kila aina...
  15. ZagaZagarino

    Ukipoteza kitambulisho cha NIDA ukalipia, unakaa muda gani mpaka kupata kingine

    Habari , Kwa aliyepoteza Kitambulisho cha NIDA akifanya malipo ya 20,000 anakaa siku ngapi mpaka akipate , Niko Dodoma MREJESHO Nimefika NIDA , Dodoma nikapewa Form yaani nianze kujaza Upya , mfano naanza kujisajili pia naambiwa nipite Migration , Why all the process ikiwa kwenye mfumo...
  16. Down To Earth

    Je, umeshapata kitambulisho cha Taifa?

    Ni muhimu sana kuwa na kitambulisho cha Taifa, na ukishakipata kitunze vizuri kisifike katika mazingira yenye uharibifu. Je, umepata kitambulisho cha Taifa?
  17. Masalu Jacob

    RITA: Tupeni vitambulisho vya kuzaliwa kwa watoto (Birth Card) na sio karatasi kama mfanyavyo sasa

    Habari Tanzania ! Habari Jamii salama ! Ninaombi au wazo kwa taasisi inayohusika na utoaji kadi za kliniki na cheti cha kuzaliwa. Wazo langu ni kuwa wazazi wanapokuwa wajawazito wapewe hayo makaratasi (kadi ya kliniki) ila wanapo bahatika kujifungua wapewe kadi maalumu (Birth Card) ifanane...
  18. Roving Journalist

    Vitu 3 muhimu vya kuwa navyo unapoomba Kitambulisho cha Taifa (NIDA)

    JamiiForums, imezungumza na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Geofrey Tengeneza kufahamu iwapo wameongeza nyaraka za kukabidhi ili kupata Kitambulisho cha Taifa (NIDA) ambaye ameeleza kuwa taarifa hiyo haina ukweli na siyo sahihi. "Hiyo siyo kweli na siyo sahihi...
  19. Tman900

    Tunza kitambulisho chako cha Utaifa (Kitambulisho cha NIDA) hata mtandaoni ili kuepuka usumbufu

    Huduma Nyingi, kupata Tanzania ni Kama Unakwenda Kujikomba. Yaani unaweza kua una Namba ya NIDA, na Kuna Baadhi ya Campuni Binafsi huwa awatambui hizo namba mpaka uwapeleke Copy ya Kitambulisho, Ulienda NIDA Kuomba Copy ya Kitambulisho utapewa Sounds au Wanakwambia haiwezekani. Kitambulisho...
  20. eliakim xavery

    SoC04 Suluhisho la changamoto ya upatikanaji wa kitambulisho cha taifa

    Kitambulisho cha taifa(Nida) Ni moja ya kipande kinachomtambulisha mtanzania au raia wa taifa lolote. Hapa tanzania kumekuwa na changamoto kwenye upatikanaji wake, serikali katika hili ilichelewa kwani kuna watu wazima ambao wana wajukuu wengine wamezeeka hadi kufariki pasipokukipata hata...
Back
Top Bottom