kiteknolojia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tony254

    Sababu za makampuni makubwa ya kiteknolojia duniani yameichagua Kenya

    Ananias Edgar ambaye ni Mtanzania ambaye huwa namkubali kwa video zake nzuri anaeleza kwamba makampuni kubwa za kiteknolojia duniani kama Google, Visa na Microsoft zinakuja Kenya kwa sababu Kenya hakuna kukatika katika kwa umeme. Miundo mbinu ya umeme ni dhabiti.
  2. L

    Nchi yenye nguvu zaidi kiteknolojia duniani inawezaje kujishusha hadi kuzikandamiza kampuni za nchi nyingine?

    Katika siku ambayo Bunge la Marekani liliidhinisha uteuzi wa balozi mpya nchini China, serikali ya nchi hiyo kama kawaida yake ilitangaza kuziwekea vikwazo kampuni 34 za teknolojia za China kwa kisingizio cha “kutishia usalama wa taifa”, na kuziweka kampuni nyingine 8 za China kwenye “orodha...
  3. L

    Mfumo wa Beidou kutanua mbawa zake hadi Afrika na kulipaisha bara hilo juu zaidi kiteknolojia

    NA PILI MWINYI Kwa miongo kadhaa sasa ushirikiano kati ya China na Afrika umeshuhudiwa ukileta mabadiliko makubwa kwenye miundombinu, elimu, huduma za afya na hata teknolojia ya kisasa. Ushirikiano huu umekwea juu na hata sasa kufika kwenye matumizi ya Mfumo wa Satelaiti ya Uongozaji ya...
  4. jingalao

    Bunge litunge sheria ya aina ya misaada ya kiteknolojia

    Badala ya kusaidiwa mitumba ya nguo za ndani tusaidiwe mafunzo ya mashine za kutengeneza nguo. Badala ya kusaidiwa unga wa yanga tupewe mafunzo ya kilimo bora na teknolojia mpya ya maswala ya kilimo. Badala ya kuletewa ARVs tuletewe teknolojia ya kutengeneza dawa Badala ya kusaidiwa chanjo...
  5. Mangole Valles Michael

    Kuwa milionea katika dunia ya kiteknolojia

    Wakuu habarini za Leo. Napenda kuwapongeza wadau wote waliomo humu ndani. Mimi binafsi natambua michango yenu ktk kusaidia na kuelekezana mambo mbali mbali yahusuyo computer. Dunia ya leo inaenda kasi Sana nasi tumekua mashuhuda, asilimia kubwa ya matajiri utajiri wao umetokana na mfumo wa...
Back
Top Bottom