Hodi hodi jukwaani ,, bila ya kupotezeana muda ,, moja kwa moja ningependa kudumbikia kwenye hoja ..
Najua fika ,, katiba ya nchii inamtaka mgombea wa kiti cha uraisi ,, awe na sifa zifuatazo ..
1) Awe raia halali wa nchi ya Tanzania...
2) Awe na akili timamu ..
3) Awe na umri usiopungua...