Kiti Karaka Riwai (12 September 1870 – 21 January 1927) (also known as Kiti Karaka, Catherine Clark, Kate Clark, Kitty Clark, Kiti Karaka Te Ao Ahitana, or Kiti Ashton) was a New Zealand tribal leader. She was born in Ruapuke Island, Southland, New Zealand in 1870, to parents Arapetere Karaka (Albert Clark) and Mary (née Owen).Of Māori and Moriori descent, she identified with the Kāti Māmoe iwi. Her first husband was Riwai Te Ropiha, a Moriori of the Chatham Islands, with whom she had nine children before divorcing in the early 1900s. Her second husband was Te Ao Ahitana Matenga (Joseph Ashton) of Ngāti Kahungunu, with whom she had one child, Joey Ashton.She helped build the meeting house in Wairua in the 1890s. She died in Greytown in 1927.
Nawasalimu wana JF
Watu wote duniani, wasio soma na waliosoma; watafiti na wasio watafiti hatujui kabla na baada ya kufa kitu gani kitatokea. Wengine wanakuja na theories za Time travel lengo lake ni kujifariji.
Nilikuwa katika ROHO siku ya Bwana, hakika siku hiyo ilikuwa siku kuu kwangu...
Kocha Pablo amepiga teke kiti wakati mechi ikiwa inaendelea. Hebu tukumbushane maana sikumbuki aina ya adhabu aliyopewa na TFF, bodi ya ligi au serikali kwa kitendo kile alichokifanya siku Ile. Kiti ni Mali iliyokusudiwa kuharibiwa kwa sababu zisizofahamika.
Haifahamiki hasa kwanini alikipiga...
Hoja ya Naibu spika Dr. Tulia inasimama kwenye maneno mafupi anayoyachagua bila kumaliza yote katika Ibara ya 84(2) ya katiba. Maneno aliyoyachagua katika Ibara hiyo haijatoa katazo la moja kwa moja kwa Naibu spika kugombea Uspika. Waliokatazwa kwakutaja moja kwa moja ni Waziri au Naibu waziri...
Mjadala umeibuka nchini baada ya Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la JMT iliyoachwa wazi baada ya Ndugai kujiuzulu. Hoja bishaniwa imekuwa ni iwapo Dk. Tulia ana sifa au la za kugombea nafasi hiyo.
Kwa mujibu wa Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka...
Kati ya watu nawaaminia ni mh Jobu, aliwahi charaza mtu peupe pe,
Na aina ya watu hawa usiwachezee kabisa kwa Kila wanachokiamini tena hasa ukianzisha vagi nao!
Jobu, anasimamia mhimili unaojitegemea, na moja ya sifa za mhimili huo ni kuishauri na kuikosoa serikali,
Kwa hali yoyote na kwa...
Huyu Mzee mwaka 1550 alijiona anachoka sana, Aliangalia chakula anachokula na kukipunguza kufikia 350g na 414 mls za wine kwa siku.
Kwa hesabu za haraka haraka alikula yai moja asubuhi kama kifungua kinywa.
Kipande cha nyama, kuku au samaki saa kumi jioni kikiwa na kiazi na mboga. Ukubwa wa...
Wapendwa kama kichwa cha habari kinavyo sema kiti hicho kina panda na kushuka vizuri kabisa kina uzwa.
BEI 80000 MAONGEZI YAPO.
KITI KIPO DAR KIJICHI 0694185384
Leo China inaadhimisha miaka 50 tangu irejeshewe kiti chake halali kwenye Umoja wa Mataifa. China inaadhimisha siku hii wakati ikikumbuka safari yake hadi kurudishiwa kiti chake, na mchango iliotoa kwa Umoja huo na uwajibikaji iliounesha.
Ikumbukukwe kuwa Umoja wa Mataifa ulianzishwa kwa lengo...
Tanzania baada ya nusu mwongo hatimaye Rais personal wa JMT anatua Umoja wa Mataifa
Kwamiaka mitano mfululizo iliyopita aliyekuwa rais wa JMT Hayati Dk John Pombe Joseph Magufuli yeye alituma wawakilishi marazote.
Nikwamara ya kwanza Rais wa JMT anafika mwenyewe Baraza Kuu la Umoja wa...
Nyie kila jambo baya dhidi ya taifa letu mnaona ni zuri na mnafurahia na kukenua meno. Hii ni kasumba mbaya sana na kukosa utu na uzalendo.
Taifa stars ikifungwa mnakenua meno, majanga ya kila namna yakitokea mnakenua meno.
Yametokea hapo K' nondoni mnafurahia na kopost furaha zenu kana kwamba...
Kama kuna Mtu ambaye nilidhani ni Mjanja tena wa Kukwepa Mitego ya Kimafia kutoka Jengo Tai Tanzania (JTT) basi alikuwa ni Askofu Gwajima ila baada ya Kutegwa Kitaalamu hatimaye kaingia mwenyewe Mtegoni.
Askofu Gwajima ni Mpuuzi gani alikudanganya na ukamuamini kuwa kama Watu wa Jengo Tai...
Baada ya kuingia kwenye kamati ya Haki Maadili Na Madaraka ya Bunge Gwajima amegoma kukaa kwenye kiti alichoandaliwa na kukisogeza pembeni.
Alipoulizwa na mwenyekiti Emanuel Mwakasaka kwanini hataki kukukaa alisema leo atasimama kwakuwa amezoea kusimama mara nyingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.