E bwana embu tuchangiane mawazo huyu kiumbe shetani ni kiumbe mwenye nguvu sana ,kiukweli anatisha ,ni hivi
Ameweza kumiliki jeshi la mbinguni
Ameharibu mipango mingi ya Muumbaji,
Licha ya kumjua Mungu bado anamtunishia kifua
Ametawala sehemu kubwa ya ulimwengu wa Nuru na ulimwengu wa Giza...