kitu

Kitu (Persian: كيتو‎, also Romanized as Kītū, Kaītū, and Keytū; also known as Geytow and Gīto) is a village in Gol Tappeh Rural District, Gol Tappeh District, Kabudarahang County, Hamadan Province, Iran. At the 2006 census, its population was 313, in 79 families.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    Umeme ni kitu muhimu katika taifa lolote

    Umeme ni ajira umeme ni uchumi umeme ni maisha. Kwa sasa mitaji inakatika, tunaomba viongizi wa serikali wapate uchungu na sisi tunaoupata kutokana Ili tatizo la kukatika Kwa umeme.
  2. data

    Hakuna kitu kizuri Kama kumfikisha mwanamke wako kileleni

    Kilele kinashinda yote Katika ma penzi. Je, umewahi kukutana na experience hii when a woman is on top. Kukubana Sana mbavu zakoo kwa magoti yake. Kukuchomeka vidole vyake masikioni Hadi unavitoa coz anakuumiza kumbe yeye ndo kafika. Kukudondoshea udenda...Yale matemate ya utamuu..kifuani...
  3. Dr Matola PhD

    Nimepita Instagram account ya Fiston Mayele kuna kitu sikielewi naomba nielimishwe

    Kwanza niweke wazi Mimi hiyo Instagram huwa natumia zaidi Kwa ajili ya kusoma magazeti Kwa Millard Ayo. Ila baada ya Mayele kutrend na "majini" yake nimejaribu kupitiapitia account yake na nimeshangazwa na kitu kimoja. Fiston Mayele NI Mcongoman na Kwa sasa ni mchezaji wa Pyramid ya Masri...
  4. TODAYS

    Tupo Oslo, Norway Hiki alichovaa huyu jamaa anayempa mkono Madam President ni kitu gani?

    Pamoja na baridi kali hapa ila tunavumilia tu sababu ni kesho tu tunarudi zetu Dodoma kwenye hali yetu tuliyozoea. Amasema alitaka kumuuliza ila kwa sababu za protocol akashindwa, ni kitu gani hicho?.
  5. Shining Light

    Kitu gani kinawagopesha wanawake katika mahusiano

    Hivi wa dada, Katika mahusiano ukiwa unaanza nini kikubwa ndio kitu ambacho unawasiwasi nacho? Unaogopa kuwa utapotezewa muda, au ni kwamba jamaa ameshakula na amekuacha tu kama mchezo mchezo? Je ni kweli, wanawake wanaamini kwamba mapenzi huwa addictive, kwamba ukifanyanae mapenzi nae, lazima...
  6. KikulachoChako

    Je, ulishawahi kuokota mali au kitu cha mtu ukamrudishia mwenyewe?

    Habari za muda huu ndugu zanguni. Mwaka fulani mida ya asubuhi wakati nikiwa kwenye harakati za kuusaka ugali nilidondosha pochi yangu. Pochi yangu wakati inadondoka ilikuwa na pesa kiasi kama 90,000/= na vitambulisho na kadi zangu za benki na wakati naangusha nilikuwa naelekea benki ya NBC...
  7. Chizi Maarifa

    Hiki ni kitu muhimu ambacho nimejifunza toka kwa Edward Lowassa

    He was a real man ambaye alipitia Jando la miaka yetu ile. Alikuwa na kifua kipana. Alikuwa na moyo imara. Alikuwa mstaarabu sana. Lowasa alitendwa vibaya na mtu ambaye yeye ndiye aliyemjenga pale madarakani. Lowasa alikuwa na mengi moyoni kuhusiana na mambo mengi ambayo yalifanywa na kikwete...
  8. Lycaon pictus

    Siasa ni kitu gani?

    Wakuu sana, Hiki kitu tunaita siasa. Mtu anafanya siasa. Huyu ni mwanasiasa, ni kitu gani? Siasa ni kitu gani?
  9. G

    Ni kitu gani kimewahi kukutesa kwa muda mrefu ukiachana na mahusiano ama kumpoteza mtu?

    Kwenye maisha kuna kipindi unakuta unapitia machungu kama vile Kufirisika / kufulia Uraibu uliokurudisha sana nyuma kiuchumi mfano kubeti, ulevi, n.k. Matatizo na vyombo vya sheria mfano kesi za mahakamani, Mapolisi kukusumbua, n.k. Kurogwa - Hatupaswi kuuamini ila haya mambo yapo hata kwenye...
  10. Mwanadiplomasia Mahiri

    Mike Tyson na Evander Holyfield katika picha ya pamoja, nguvu ni kitu cha kuisha

    Hawa ni wababe ambao mwishoni mwa miaka ya 90 waliitikisa dunia katika ndondi. Moja ya pambano la kukumbukwa ni mmoja wao kung’atwa sikio. Kwasasa wamezeeka ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
  11. imhotep

    Je umeshawahi kupigwa kitu kizito mpaka ukasahau mbinu zako za kuiba UCHAGUZI?

    https://youtube.com/shorts/Q-lZqr4sOQM?si=tYeBkv32gKrQKx0- CCM haya ndiyo yanayokuja acheni kuliteka Taifa letu kwa MASLAHI yenu wachache. CHADEMA PEOPLE'S POWEER!!!✌️✌️✌️🤞
  12. Kijana LOGICS

    Muda mwingine madalali wanaharibu kila kitu yaan wanafanya mambo kuwa magumu

    Madalali hawa jamaa Kuna muda wanataka kuvuna wasikopanda. Ni aibu Kua n'a utitiri WA madalali wAnaume wanaosubiri hela ya mahasla mtaani. Kila MTU apigike kupata pesa dunia ya Leo hakuna Cha mngema . Léo ukitafuta fremu ya biashara hupati kwa sababu zmezuiliwa na madalali uchwara. Dalali...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Hakuna kitu kinaleta Stress kama kuota Mvi au upara halafu bado hujajipata

    Kwema Wakuu! Ni Stress hapa! Ni sonona hapa! Kihoro kinakaba kama pumu huku. Yaani hapa mambo sio mambo. Kuna Watu wanakuambia umri ni number tuu lakini huko ni kufarijiana tuu! Hakuna kitu kinauma na kuleta mfadhaiko na mtagusano kulinafsi kama kuona jua lile linazama halafu wewe mambo...
  14. The Burning Spear

    Kitu gani kimepelekea vijana wa kileo kuota Mvi Mapema?

    GreatThinkers Zamani mvi ilkuwa ni uzee na alama ya kula chumvi nyingi. Laki kuna vizee vilikuwa vinapiga age bila mvi. Hali ya sasa ianatisha vijana wadogo below 40 years mvi kila mahali shida ni nini?
  15. ward41

    Tuweke ushabiki pembeni, kuna kitu cha kujifunza kutoka Hamas

    Mimi ni pro Israel kweli kweli. Ila ni mtu mwenye msimamo wa kujifunza kutoka kwa mtu yeyote hata kama ni adui Yangu Ukweli ni kwamba safari hii Israel amekutana na kisiki. Vita hii ni ngumu sana kwa Israel. Haijawahi kutokea tangu kuundwa kwa taifa la Israel. Vita zote za nyuma Israel alikuwa...
  16. dem boy

    Ukitaka kujua kina cha maji tia mguu kwanza Israel walikutana na kitu kizito haswa

    The majority of the hundreds of kilometres of tunnels dug under #Gaza by Hamas remain untouched and difficult to access for the #Israeli military.⁠ .⁠ As the war on Gaza nears the end of its fourth month, the Israeli military has managed to damage or render inoperable an estimated 20-40 percent...
  17. Teslarati

    Leo nitaeleza kwa nini uvivu ndio chanzo cha ongezeko tabia za hovyo kwa vijana wa kiume

    Kijana ukiwa mvivu utaanza kuwa na wivu. Yaan ukikuta watu wanaongelea au wanaonesha mafanikio yao wewe utaona kero, na wivu ukizidi sasa huko kwenye ubongo inafanyika reaction moja unaanza kuwa na nyege nyege tu kila muda. Hizo nyege ndo zinakufanya uendelee kujichua kila kukicha. Ukizidisha...
  18. Mjanja M1

    Pre GE2025 Makonda: Tutawapa kila kitu CHADEMA lakini kura hawatopata

    "Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walitegemea tutawaletea Polisi na tutawapiga mabomu, nimwambie kaka yangu Freeman Mbowe awamu hii imebadilika, tutawapa kila kitu lakini kura hamtapata. Wako bararani wanatembea, wanazurura wanaona raha na kwa kuwa wengine ni wagonjwa tumewapelekea...
  19. Mjanja M1

    Unamshauri kitu gani huyu kijana mbishi?

    Kila siku Mjanja M1 nawaambia Single Mothers wana changamoto lakini hamtaki kunielewa. Unamshauri nini huyu kijana anaetaka ubaba usio wa kwake?
  20. R

    Rais Samia nakuomba uisikilize clip hii ya Ngurumo, kuna kitu cha msingi utakigundua

    Listen please Ujumbe: mnalikaribisha JESHI kuwa na hisia za kuutaka urais, kuitaka siasa, kuutaka UKUU/UTUKUFU and the like...ndio ujumbe mkuu wa ndiko/clip hiyo. Utamaduni /tabia /matamanio yanajengwa! Jiepushe na hilo " Mkiwaingiza kwenye siasa,hamtawachomoa ila watawachomoa nyinyi"...
Back
Top Bottom