kiwanda

Cape Kiwanda State Natural Area is a state park in Pacific City, Oregon, United States. Cape Kiwanda is on the Three Capes Scenic Route, which includes Cape Meares and Cape Lookout. Hiking to the top of Cape Kiwanda allows views of Nestucca Bay to the south and Cape Lookout to the north.
A sea stack, named Haystack Rock, is located 1⁄2 mile (0.80 km) southwest of the cape. It is one of three features along the Oregon Coast that are called "Haystack Rock," though the one in Cannon Beach is more widely known.
One of the attractions, called the Duckbill, in the park was destroyed by vandals in August 2016.

View More On Wikipedia.org
  1. Webabu

    Uturuki kumekucha: Watetezi wa Palestina wavamia kiwanda cha Marekani na kushikilia mateka

    Kiwanda kimoja cha vyakula karibu na mji wa Istanbul kinachomilikiwa na kampuni ya kimarekani,Procter & Gamble kimevamiwa na watu waliovalia sare zenye nembo za kipalestina na kushikilia mateka kadhaa. Kampuni hiyo imethibitisha kutokea kwa tukio hilo kama walivyothibitisha polisi wa nchini humo...
  2. Intelligent businessman

    Kiwanda cha sabuni vs kiwanda cha maji

    Habari Wakuu ningefurahi Kama nitapata mchanganuo was biashara hizi mbili. 👉Kuanzia Gharama za uanzishaji, utekelezaji wa viwanda hivi. Najua vyote ni Bora, ila utofauti lazima uwepo?l!!. 👉Kwa maeneo Kama mwanza au shinyanga ita faa zaidi???. 02, una mshauri mtu kipi Bora?
  3. F

    Kata moja ya Tambani Mbagala Mbande wafadhili wamejenga misikiti 36 na bado wanajenga mingine, ila hawajajenga kiwanda hata kimoja

    habari wadau. Utafiti wangu binafsi katika Kata moja inayoitwa TAMBANI iliyopo Mbagala Mbande kuna misikiti 36 ambayo imejengwa na wafadhili taasisi za kiislamu za wa Arabu na bado inaendelea kujengwa mingine. kinachonishangaza kwa nini Wafadhili hao hawajajenga shule hata moja waislamu...
  4. Mfagio

    Kiwanda cha kutengeneza rainboot (Danlop) kiko wapi?

    Msaada kwa anayejua kilipo kiwanda cha kutengeneza rain boot (wanavyotumia wakulima) kwa hapa Dar es Salaam. Natanguliza shukran.
  5. MK254

    IDF wagundua kiwanda kikubwa cha makombora Gaza

    Watu waliishi kila siku wakijiandaa kuifuta Israel, badala wajenge viwanda vya kusaidia jamii wao wanajenga vya makombora ya kuelekeza Israel, jameni hawa wana bahati sana maana wangekua na ujirani na mtu asiyejali kama Mrusi mbona wangekoma, Mrusi angewapiga carpet bombing bila kuchambua watoto...
  6. Spiracle z

    Naomba kufundishwa namna ya kutengeneza animation ya Automatic Power Factor Correction ya kiwanda kidogo(Small Factory)

    Wanajamii habari zenu ,ninaomba msaada wa kielimu kwenye suala hili la kutengeneza animation ya automated power factor correction system kwenye kiwanda kidogo . Pia na namna ya kuandika literature review ya project work ya hii kazi.
  7. Suley2019

    Mhandisi wa Kiwanda cha Tesla avamiwa na Roboti na kuachiwa jeraha

    Mhandisi wa Tesla wa kiwanda cha Giga Texas cha kampuni karibu na Austin aripotiwa kuvamiwa na Roboti na kujeruhiwa. Mashuhuda wawili walishuhudia kwa hofu wakati mwenzao aliposhambuliwa na mashine iliyoundwa kushika na kuhamisha vipande vipya vya gari vilivyotengenezwa kwa alumini. Roboti...
  8. A

    DOKEZO MSD ilikabidhiwa kiwanda cha madawa Keko lakini kinaelekea kufa…

    Ni ajabu ila ni kweli. Bohari ya Dawa (MSD) ambayo ipo chini ya Wizara ya Afya ambayo Waziri wake ni Ummy Mwalimu ilikabidhiwa uendeshaji wa Kiwanda cha Dawa cha Keko na Msajili wa Hazina mwaka 2020, ambacho kinamilikiwa kwa Asilimia 70 na Serikali huku mbia binafsi akimiliki Asilimia 30...
  9. JanguKamaJangu

    Majambazi waliovamia Kampuni kuiba Petrol na Dizeli wajeruhiwa kwa risasi

  10. B

    Mwenyekiti wa Wazazi Taifa atembelea eneo litakalojengwa Mradi wa Kiwanda cha Wazazi

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi- Taifa Ndugu Fadhili Maganya (mwenye suti nyeusi) wiki hii Jumanne Novemba 14, 2023 akiongozana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Tanga Ndugu Mbezi pamoja na baadhi ya viongozi wa Chama na Jumuiya wamekagua eneo panapotarajiwa kujengwa kiwanda cha...
  11. Roving Journalist

    Kamati ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama yatembelea Kiwanda cha Maji Mgulani kuona mitambo mipya

    Mwenyekiti Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Victor Kawawa amesema wameridhishwa na jinsi SUMA JKT walivyotekeleza maelekezo yao kwa kukifanya kiwanda cha maji ya Uhuru kuongeza kasi ya uzalishaji. Ameyasema hayo kwa niaba ya wajumbe wa Kamati hiyo wakati wa ziara kwenye kiwanda hicho...
  12. Pfizer

    Kiwanda cha biskuti za bangi chagunduliwa Kawe

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata kilogramu 423.54 za bangi iliyosindikwa maarufu kama skanka katika operesheni maalum zilizofanyika kwenye mipaka na fukwe za Bahari ya Hindi. Kilogramu 158.54 zilikamatwa eneo la Kigamboni na Kawe jijini Dar es salaam zikiwa...
  13. robinson crusoe

    Nani mmiliki wa kiwanda kipya cha Tumbaku ndani ya eneo la wazi Morogoro?

    Tulianza na shopping mall Dodoma, sasa tena ni kiwanda cha Tumbaku. Yasemekama wahusika ni wale wale! Ukiingia mjini Morogoro, umbali kidogo kutoka mzunguko wa Msamvu kuelekea Iringa, unakutana na daraja la reli na pembeni yake unakuta shughuli za ujenzi wa kiwanda kipya cha Tumbaku. Eneo hili...
  14. Stephano Mgendanyi

    Serikali Kununua Vipuri na Vyuma Katika Kiwanda cha Kilimanjaro Machine Tools

    SERIKALI KUNUNUA VIPURI NA VYUMA KATIKA KIWANDA CHA KILIMANJARO MACHINE TOOLS Serikali kupitia Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) imekifanyia ukarabati mkubwa Kiwanda cha Kilimanjaro Machine Tools (KMTC) ikiwa ni pamoja na kujenga tanuri la kuyeyushia chuma (Foundry), ukarabati wa miundombinu...
  15. Sam Jr official

    Kiwanda cha vifungashio na mashine ya packaging

    Habari za humu wakuu. Kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyojieleza,Nimepata wazo la kuanza biashara ya kupack na kuuza chai. Awali ya yote natakiwa nifuate procedure zote za kiserikali,kuanzia TFDA Mpaka TRA, kiukweli mm sijui mlolongo wa hizi taratibu, kwa mwanajamvi anayejua naomba shule...
  16. Suley2019

    SI KWELI Kiwanda cha Goba cha mayai kimefungwa, mayai ya viini viwili yakamatwa

    Habari, Nimekutana na picha zinazodaiwa kuwa ni kiwanda cha mayai Goba ambacho kinadaiwa kimekaa karibuni. Pia kuna video inasambaa ikionesha mtu akiuza mayai yenye viini viwili. Video inayosambaa ikihusishwa na kuwapo kwa kiwanda Cha kutengeneza mayai Kuna ukweli wowote kuhusu picha...
  17. Nyanswe Nsame

    Wafanyakazi wa kiwanda cha Nondo Sayona walipukiwa na uji wa moto

    Wafanyakazi wa kiwanda cha Nondo Sayona walipukiwa na uji wa moto Wafanyakazi 18 wa kiwanda cha Nondo cha Sayona kilichopo Usagara wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza, wamejeruhiwa na mlipuko wa moto uliotokea kiwandani hapo oktoba 9, 2023, baada ya kinu cha uji wa moto kulipuka ambapo waliokuwa...
  18. Uhakika Bro

    Badala ya kuichoma bhangi yetu, tuichakatie kiwanda cha mkonge. Kuichoma tukiwa high nchi nzima?

    Nishawahi kumtania Mkurya mmoja kwamba: 'Unajua ni kwa nini nyie kwenu (huko ukuryani) mna hasira sana bro? Ni kwa sababu serikali kila mara inawavutisha bangi maana ikikamata na kuchoma mabangi ma tani kwa mahekari basi ule moshi unasambaa mkoa mzima ndo unakuta wote ni kama wavuta bhangi tu...
  19. mtwa mkulu

    Kwa watoto wa mjini tu: Tukumbushane SPM kiwanda cha karatasi Mgololo, Sawala na Site!

    Wakuu heshima kwenu! Kwa wale watoto wa mjini tuu tulio jua taa za barabarani miaka ya 90... tulio kuwa tunapiga misele kwa kupanda gari la kazini bure. Watoto wa mesi... watoto wa mason club watoto wa senior club. Mpo wapi wakazi wa BQ, Construction house, H5 watoto wa kimasikini H3 na H1...
  20. A

    DOKEZO Vibarua wa Kiwanda cha NIDA Ubungo tuna hali mbaya

    Mazingira hayako vizri yaani vibarua wanaingia saa 2 ASUBUHI na wanatoka 2 usiku Ili hali wanafnya kazi katika mazingira hatarishi. Hamna vifaa vya kujikinga na hewa chafu mule NDANI, hamna hata special boots na vifaa vitakvyomuweka salama. Mfanyakazi (vibarua) wanalipa elf 4 Hadi elf 5 kwa...
Back
Top Bottom