Kutokana na Tundu Lissu kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama Taifa, CCM wamejawa na hofu kuu. Hofu yao ni kwamba, Je, Tundu Lissu akichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, hali ya kisiasa Nchini itakuwaje?
Wanamwogopa Lissu kutokana na misimamo yake kwamba hawezi...