🔹 Eneo: Ishambya, Block D, Bukoba Mjini
🔹 Ukubwa: 1,052 sqm
🔹 Umbali: Dakika chache kutoka lami
🔹 Mandhari: Eneo limeendelea, watu tayari wamejenga
✅ Inafaa kwa matumizi yote – Makazi, biashara n.k.
✅ Miundombinu yote ipo – Maji, umeme, shule, hospitali na huduma nyingine muhimu
📞 Wasiliana...
Muda wa kusogea sogea kwenye viwanja unakaribia; vijana wa zamani wanaita muda wa kwenda kuamsha popo.
Ni muhimu kujipongeza kidogo pale panapo wezekana, na si kila siku kuwa bize kwenye utafutaji, kwa sababu maisha ni haya haya.
Bajeti yangu kwa leo ni finyu sana, kwa hiyo wale warembo...
PIC YATAKA WAKANDARASI KUMALIZA KWA WAKATI UJENZI KIWANJA CHA NDEGE MSALATO
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeuelekeza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuhakikisha wanawasimamia Wakandarasi wanaotekeleza ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha...
Kichwa cha habari kimejitosheleza kiwanja kina hati kabsaa hakina dalali me ndio muhusika...
Phone: 0712183658
Mita 200 toka barabara ya lami ya goba mtaa barabara ya mwishekhe
1. Mtangazaji nguli na mume wa Mbunge Hanjeh ameonyesha Nia ya kulitwaa Jimbo la KAWE.
2. Kinachosubiriwa kwa sasa ni vikao vya maamuzi vya chama na mafao toka mjengon
Habari wakuu.
Kwa wale maboss zangu wawekezaji nimewaleta kiwanja ambacho kipo Luguluni mkabala na nyumba ya mkuu wa wilaya ya Ubungo.
Kiwanja kina sifa sifuatizo.
(1) Hati ya wizarani matumizi ya makazi au biashara
(2) Sqm 1380
(3)Kiwanja kinatazamana na...
TANGAZO: NATAFUTA DALALI WA KIWANJA
Natafuta dalali wa kusaidia kuuza kiwanja changu kilichopo Bukoba Mjini. Kiwanja kina eneo zuri, kipo kwenye mahala pazuri kwa makazi au biashara, na kina hati halali.
Dalali anayejua soko la viwanja Bukoba na anaweza kupata mteja haraka awasiliane nami...
Habari maboss.
Hiki kiwanja kipo Mbezi Beach Tangi Bovu.
Kutoka eneo la kiwanja hadi barabara kuu ya bagamoyo Road ni umbali wa Mita 200
Kiwanja hiki kilikuwa ni kiwanda cha mkonge na bado kina hati kwajili ya matumizi ya kiwanda.
Kiwanja hiki kinafaa kwajili ya kwajili ya matumizi ya...
KIWANJA HIKI HAPA KINAFAA SANAA KWA MAKAZI NA HATA BIASHARA UJENZI WA APARTMENTS
Kiwanja kipo ushuani sanaa, Ni mbezi Beach kwa Mwamnyange
Mitaa safi, ukijenga nyumba ya kuishi au Ukijenga apartments basi zitakuletea faida kwa haraka sana Ukubwa wa kiwanja ni sqm 900
Kina Hati safi
Bei milion...
Haya maono niliyapata kitambo sana ila leo nimeamua kuyawasilisha.
Watu wengi wana mtindo wa kununua maeneo halafu wanatafuta mwenyeji wa pale wanamkabidhi awalindie. Wanamruhusu "mlinzi wao" alime na kinachopatikana achukue.
Kinachotokea yule unayemkabidhi ananogewa na fursa ya kulima na...
Habari wanandugu wa Jua na AC.
Nauza kiwanja Kwa matumizi ya sheli.
Limepimwa kwajili ya matumizi ya sheli na wizara ya Ardhi.
Kipo katika barabara kuu ya East Africa
Kiwanja kipo Tanga Korogwe.
Sqm 2000
Bei milion 105
Nipigie simu #dalaliwamjini 0754693556
Habari zenu wanandugu.
Nauza kiwanja kwajili ya sheli
Kiwanja kipo Buza
Sqm 1000
Tank tatu Za Lita 30000 kila koja na tayari tank zimewekwa.
Kiwanja kina documents zote za sheli.
Bei ni milion 350 za Kitanzania.
Nipigie simu 0754693556
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.