kiwanja

  1. Dr. Zaganza

    Kiwanja Chenye Hati na Nyumba Yake Kinauzwa Kibaha

    Nauza kiwanja changu, Namba 30 kipo jirani na hospitali ya wilaya, eneo la Lulanzi ,kata ya Picha ya ndege, Manispaa ya Kibaha. Hospitali kilometa moja kulia na shule ya pyramid English medium ,mita 800 kushoto. Kilomita 3 toka barabara ya Morogoro to Dar es Salaam.Pia kilomita 3 toka...
  2. A

    Kiwanja chenye square meters 290 kinatosha kujenga?

    Habari za wakati huu wana JF Hivi kiwanja cha 290 sq meters kinaweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu, sebule, dinning, choo na bafu?
  3. S

    Nauza kiwanja changu Zinga Bagamoyo

    HABARI, NAKIWANJA CHANGU ZINGA(BAGAMOYO ROAD)UKUBWA 2780 SQM NATAKA MTEJA WA UHAKIKA NAJAMBO LANGU BEI SASA NATAKA OFFER NZURI TU KINA HATI FIKA SITE TUZUNGUMZE JANUARY HII,FRAME 5 NA UKUTA NI NYUMA YA SOKO.MTEJA SERIOUS TUWASILIANE TAFADHALI killuminatejr@gmail.com
  4. Mathematician

    Kiwanja kinauzwa (Lingato Kigamboni Dar es Salaam)

    Ninauza kiwanja cha sqm 4400 - 5000 kiko Lingato ambayo iko wilaya ya Kigamboni Dar es Salaam mpakani na Lugwadu ambayo iko Mkuranga Pwani. Ni maeneo jirani na kwa Pinda Kigamboni. Bei maelewano nicheki 0783677210
  5. J

    Plot4Sale Nauza kiwanja

    Kiwanja kipo kigamboni mwasonga tulivu kina ukubwa wa sqm 480 kipo mpaka mmoja na shule majira wawili watatu wapo kiwanja ni changu mwenyewe hakina dalali nina shida na ndio maana nauza Bei 3.2Milioni Maongezi kidogo yapo Cantact 0687536389
  6. Elma91

    Plot4Sale Nauza kiwanja Dodoma

    Habari, nauza kiwanja Dodoma kipo eneo la michese square meter 520, hati ipo,bei mil. 15 kwa maelezo zaidi nitafute. 0692776355
  7. BOFREE

    Nahitaji Kiwanja cha kununua

    habari wakuu naitaji kiwanja cha kununua maeneo ya kiluvya, kibamba, kimara, hata gobaau madale ndani ndani huko mashart ya kiwanja 1. kiwanja kiwe kinamilikiwa na mwenye kiwanja kihalali. 2. sqmt zianzie 400 3. budget iwe haizidi milion 5 4. gari liwe linafika hadi kwenye kiwanja 5.maji umeme...
  8. P

    Kiwanja kinauzwa kwa Bedui (Tegeta A) Goba karibu na kanisa la Wasabato

    Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui Dakika 5 tukutoka kwa bedui center Dakika 7 tuu mpaka goba centre Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho Kiwanja kina sqm 722 (Upana wastani wa 19m and urefu ni mita 38) Kuna barabara unafika na gari bila tatizo Eneo limejengeka vizuri sana. Kiwanja...
  9. P

    Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
  10. M

    Kiwanja kinauzwa

    Habari.. nauza kiwanja kipo kifuru kingazi ni sqm 700 kwa ml 9.5 tu, mwanzon bei ilkuw ml 11. Ni bei ya ofa hii ni barabara ya Tabata kinyerezi ni dkk 5 Toka main road kufika kiwanja kilipo. Karibu kwa maelezo zaidi hakina dalali 0764423726
  11. M

    Kiwanja kinauzwa

    Habari waungwana... Nauza kiwanja kipo kifuru kingazi ni barabara ya Tabata kinyerezi. Ni sqm 700 kwa ml 9.5 tu bei ya mwanzon ilkuw ni ml 11. Umbali Toka main road ni dakika 5 tu.. ni offer karibun hakina dalali unaongea na mmiliki mwenyewe. 0764423726
  12. GRAMAA

    Nilijenga kwenye kiwanja cha familia ya mke wangu sasa bahati mbaya mke wangu huyo amefariki

    Wakuu ndiyo ipo hivyo Baba yangu mkwe alibahatika kuwa na uwanja mkubwa sana hivyo aliamua kuufanya uwanja huo kuwa ni uwanja wa familia yake hivyo aliamua kuwagawia kiwanja hicho watoto wake wote kila mtoto wake na kipande chake. Watoto wake wenyewe wapo sita hivyo kila mmoja akamkatia...
  13. Pfizer

    Ukifanya kazi zaidi ya miaka 10 na huna kiwanja au nyumba hayo sio maadili

    Katibu Msaidizi Sekretarieti ya Maadili Kanda ya Kusini, Bw. Filotheus Manula amewaambia Viongozi wa Umma kuwa Maadili kwa kiongozi wa Umma hayapimwi kwa kiongozi kuwa masikini au tajiri, kwani kiongozi anaweza kuwa masikini na akawa hana Maadili na kiongozi anaweza kuwa tajiri na akawa na...
  14. uberimae fidei

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kibaha

    Kiwanja kipo kibaha kwa Mathias msangani Ukubwa Mita 40 kwa 20 Milioni 5 Umeme na maji vipo
  15. Nyumba Nafuuu

    Contemporary Vyumba 3 Ndogo ya TOFALI na BATI Chache Sana & kiwanja Kidogo - Kuanzia Maisha na Kupangisha

    Kijana, kabla ya mwaka Kuisha, songa mbele hatua moja ujenzi Hii ni nyumba moja tuliyoandaa ya vyumba vitatu, compact Fulani kwa mtu anayetaka something classy - vyumba vitatu na open kitchen Ukubwa - 91sqm Urefu - 12.3m Upana - 8.5m Gharama Ujenzi Boma - Msingi, kuta, plasta, Paa = TSh...
  16. Battor

    Plot4Sale KIWANJA KIZURI SANA, KINAUZWA KISHIRI MWANZA

    WAHI UJIPATIE KIWANJA KIZURI SANA, BEI 3 Million. ENEO: BUKAGA, KISHIRI KIMEPIMWA, KUNA BIKONI KABISA. Hatua 21 kwa 17. NYARAKA: HATI YA MAUZIANO BARABARA INAPITIKA VIZURI NI KIWANJA CHA TATU TOKA BARABARA KUU YA UELEKEO WA Kona ya FELA. MIUNDOMBINU YA MAJI NA UMEME NI UHAKIKA. MAWASILIANO...
  17. D

    Nilichogundua mke kuolewa siyo bahati bali awe na sifa hana tofauti na kiwanja sehemu nzuri kununuliwa ni chapu kwa haraka kuliko magumegume

    Wanaosema kuolewa ni bahati huwa wanajifariji tu! Ukweli ni kwamba kuwa mke wa mtu ni vigezo na sifa maalum ambavyo siyo kila mwanamke anavyo! Kutokuwa malaya haina maana unasifa moja kwa moja kuwa mke wa mtu bali hii ni tabia njema ingawa siyo tiketi ya kuolewa! Mwanamke mwenye sifa ya...
  18. Shooter Again

    Natafuta kiwanja Dar

    Wakuu natafuta kiwanja Dar es Salaam cha million 4. Aisee nataka na mimi niwe na kwangu nimechoka kupanga kumfaidisha mwenye nyumba pesa. Nipo serious.
  19. The last don

    Nauza kiwanja chenye hati mbweni teta

    Habari wakuu nauza kiwanja chenye hati ( SURVEYED PLOT) MBWENI MPIJI (Block No 09,Plot 139) UKUBWA WA KIWANJA SQM 820 KUNA BANDA KUBWA LA VYUMBA VINNE LENYE WAPANGAJI BEI: 110M MAWASILIANO:0621973591 Kwa video na picha zaidi nichek Whatsap. Nb: Kiwanja hakina udalali nauza mwenyewe ila dalali...
  20. Meneja CoLtd

    Je, kiwanja cha Futi 50 Kwa 40 kinajenga vyumba vingapi? Wataalamu tujuzane

    Habari zenu wana JF! Baada ya kuwaza sana kuhusu hivi viwanja vya mikopo vinavyouzwa, vyenye ukubwa wa Futi 50 Kwa 40 kama je, vinatosha kujenga nyumba? Kwangu Mimi nimeona itatosha endapo pale mnunuzi atakua hana mambo mengi. Kama vile kujenga vyumba vinne, choo cha ndani na sebule Kwa...
Back
Top Bottom