Ni kiwanja namba 696 kina ukubwa wa sqm 12570. Matumizi ni Housing Estate. Kipo Mtaa wa Vikonje Kata ya Mtumba Dodoma Jiji. Bei ni 6,000/ kwa sqm moja. Kinafaa kwa shule, ofisi, apartments, hotel nk. Kimepimwa na hati iko kwenye process.
Mazungumzo yapo.
Umbali kutoka mji wa kiserikali ni km 4...
Habari za mda huu natafuta Kiwanja Dar maeneo mazuri yaliyotulia kwa ambae anacho naomba tuwasiliane bajeti yangu 10M hili jambo lipo serious na tunaweza kufanya biashara
Hata leo hii nawakaribisha maoni yenu ni wapi pazuri kujenga Kwa Dar es Salaam hata kwa Kibaha itakuwa poa naomba mnitajie...
Nimewahi kuziona Baa kadhaa ambazo sikuwahi kudhania kabisa zitakuja kupoteza wateja, Wateja walihama kwa style za kimafia sana, yani vuuup!! ghafla bar inaanza kuwa tupu !! sio kwamba bar imefirisika, sio kwamba warembo wamepungua, sio kwamba hakuna service nzuri, n.k. yaani ndio hivyo, Vuup...
Kiwanja kina ukubwa wa 20 kwa 20 (400 sqm) kuna vyumba viwili ambavyo vimekamilika na mwenyewe anaishi hapo . Unapanda bajaji za kwenda kwa madawa (kituo cha kushukia ni kwa madawa) sio mbali kutoka hapo na kiwanja kilipo.
Bei ya kiwanja ni shilingi milioni 13 .
Mawasiliano 0716694624/0685084315
RAIS DKT SAMIA ARIDHISHWA NA UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE SONGEA
Kukamilika kwa uboreshaji wa Kiwanja cha Ndege cha Songea kumefanya Mkoa wa Ruvuma kuwa kitovu muhimu cha biashara kwani idadi ya abiria imeongeza kutoka abiria 3,000 hadi kufikia 19,000 wanaoshuka Mkoani Ruvuma kwa kuwa hivi sasa...
RAIS SAMIA AKAGUA UKARABATI NA UPANUZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA SONGEA, BILIONI 40.87 ZATUMIKA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekagua na kupokea taarifa ya ukarabati na upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Songea ambao umekamilika kwa asilimia 100%...
Nyumba yenye kiwanja kikubwa inauzwa Tegeta kama ifuatavyo;
1. Nyumba in vyumba vitano
Vitatu vipo juu, kimoja ni master na viwili vipo chini na public toilet, sitting, kitchen and dining. Ipo mita 100 toka barabara ya Bagamoyo.
2. Kiwanja ni 4303 sq meter
3. Ina hati miliki.
4. Bei 900m...
Nina swali dogo wataalamu! Kuna plot moja nilinunua miaka kadhaa iliyopita na nikabadilisha title. Ila kila mwaka nikilipia land rent jina bado linaonekana na mmiliki wa zamani, mara nyingi huwa nalipia kwenye website hii ya ardhi "land rent". Nimepigwa nini? Mmiliki wa zamani kaka yangu 🤣
Habari za wakati huu...
Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa...
Kiwanja kipo upande wa kulia kutokea Madale mwisho....
Kilomita mbili mpaka madale mwisho...
Kilomita mbili mpaka Goba njia nne....
Kiwanja kipo ndani ya mita 200 kutokea barabara kuu la Lami ya Madale....
Kiwanja kipo eneo zuri sana la...
Kiwanja kinauzwa kiluvya kwa Komba
Umbali wake ni mwendo wa kutembea kwa mguu kutoka morogoro road
Bei milioni 7 na nusu tu
Ukubwa MITA 22 kwa 23
Kiwanja kina matofali,umeme na maji ya dawasco yapo
0675 065906
Wakuu humu kuna watu wa aina mbalimbali ambao wana ujuzi wa mambo tofauti tofauti. Una yapi ya kumwambia kijana ambae anataka kununua kiwanja? Mambo gani azingatie ili asije akajuta huko mbeleni?
Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui
Dakika 3 tuu kutoka kwa bedui center
Dakika 7 tuu mpaka goba centre
Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho
Kiwanja kina sqm 700
Ni corner plot
Kina njia kubwa pande mbili
Eneo limejengeka vizuri sana
Kiwanja kinauzwa milioni 40 tuu....
☎️ +255 699...
Kiwanja kinauzwa Makongo CCM
Kilomita moja kutoka Makongo Road
Kiwanja kina njia pande mbili/Conner Plot
Kiwanja kipo juu tambarare
Kiwanja kina SQM 1500+
Kiwanja kinauzwa Milioni 210 tu(maongezi yapo)
Kiwanja kimezungukwa na nyumba za kisasa
Dakika 10 upo Mlimani city
☎️+255 699 255 530
Beach...
Kiwanja kinauzwa kipo Madale njia ya kuelekea Mbopo umbali wa 1km kutoka lami.
Kinaukubwa wa 1000 square meters
Bei ni 40M
Mazungumzo yapo
Tucheki kupitia 0674630975 ama
+255 714 796 778
"
Ni fursa adimu kuwa mmiliki wa kiwanja cha bei poa huko Mikocheni A. Kiwanja hiki kina ukubwa wa 1500sqm na kina hati miliki, kwa hiyo unaweza kuwa na uhakika wa umiliki wako. Kiwanja hiki ni muhimu sana kwa ajili ya ujenzi wa apartments, office block, au hata ukumbi wa starehe. Bei yake ni ya...
Kiwanja caha biashara kipo opposite na New kibo complex Tegeta kina ukubwa wa 1260 square meters
Kinafaa kwa matumizi ya biashara kama petro station, apartment, Maduka n.k
Kianuzwa 850M
Mazungumzo yapo.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza piga namba 0674630975
Ama 0714 796 778
Karibuni sana
KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA MBEZI MWISHO MAKUTI
BEI NI MILION 13 TU
■■UKUBWA WA KIWANJA MITA 20 KWA 20
■■UMEME NA MAJI YAPO SITE
■■VIMEPIMWA NA KURASIMISHWA KWA MAKAZI BORA
0675 065906
Apartments for Sale
Nzuri sana ya kisasa, iko Mikocheni Karibu na palm village, barabarani kabisa.
Fully furnished, 3 master bedroom, kuna gym na swimming pool.
Inauzwa $220,000 ( Dola laki mbili na ishirini)
Ina mteja analipa kodi $1500 per month, Kama mtu anataka kuhamia mteja atapewa notice...
apartments
bahari
beach
beach plot
chang'ombe
dar
dar es salaam
duce
eneo
eneo linauzwa
for sale
houses
karibu
kinauzwa
kinondoni
kiwanjakiwanja kinauzwa
linauzwa
masaki
mbagala
mlandizi
morocco
msasani
new
plot
plot for sale
plots
sale
temeke
with
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.