kiwanja

  1. Kingdom78

    Ujenzi kwenye kiwanja cha 20 x20 or sqm 400

    Naomba kujua kama kiwanja iko kinaweza jenga nyumba ya kisasa na ukapata na parking ya gari mbili(02)? Ukubwa wa vyumba utakuwaje
  2. T

    NAUZA KIWANJA

    Ni kiwanja namba 696 kina ukubwa wa sqm 12570. Matumizi ni Housing Estate. Kipo Mtaa wa Vikonje Kata ya Mtumba Dodoma Jiji. Bei ni 6,000/ kwa sqm moja. Kinafaa kwa shule, ofisi, apartments, hotel nk. Kimepimwa na hati iko kwenye process. Mazungumzo yapo. Umbali kutoka mji wa kiserikali ni km 4...
  3. Shooter Again

    Wapi naweza kupata eneo zuri la kujenga jijini Dar Es Salaam?

    Habari za mda huu natafuta Kiwanja Dar maeneo mazuri yaliyotulia kwa ambae anacho naomba tuwasiliane bajeti yangu 10M hili jambo lipo serious na tunaweza kufanya biashara Hata leo hii nawakaribisha maoni yenu ni wapi pazuri kujenga Kwa Dar es Salaam hata kwa Kibaha itakuwa poa naomba mnitajie...
  4. G

    Biashara ya Baa sio ya kuiwekea matumaini sana ikianza kujaza wateja, wateja wana tabia ya kukizoea kiwanja ila ghafla huhama kwa pamoja

    Nimewahi kuziona Baa kadhaa ambazo sikuwahi kudhania kabisa zitakuja kupoteza wateja, Wateja walihama kwa style za kimafia sana, yani vuuup!! ghafla bar inaanza kuwa tupu !! sio kwamba bar imefirisika, sio kwamba warembo wamepungua, sio kwamba hakuna service nzuri, n.k. yaani ndio hivyo, Vuup...
  5. C

    Kiwanja kinauzwa Tegeta A

    Kiwanja kina ukubwa wa 20 kwa 20 (400 sqm) kuna vyumba viwili ambavyo vimekamilika na mwenyewe anaishi hapo . Unapanda bajaji za kwenda kwa madawa (kituo cha kushukia ni kwa madawa) sio mbali kutoka hapo na kiwanja kilipo. Bei ya kiwanja ni shilingi milioni 13 . Mawasiliano 0716694624/0685084315
  6. Stephano Mgendanyi

    Rais Samia Aridhishwa na Ujenzi wa Kiwanja cha Ndege Songea

    RAIS DKT SAMIA ARIDHISHWA NA UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE SONGEA Kukamilika kwa uboreshaji wa Kiwanja cha Ndege cha Songea kumefanya Mkoa wa Ruvuma kuwa kitovu muhimu cha biashara kwani idadi ya abiria imeongeza kutoka abiria 3,000 hadi kufikia 19,000 wanaoshuka Mkoani Ruvuma kwa kuwa hivi sasa...
  7. Stephano Mgendanyi

    Rais Samia Akagua Ukarabati na Upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Songea, Bilioni 40.87 Zatumika

    RAIS SAMIA AKAGUA UKARABATI NA UPANUZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA SONGEA, BILIONI 40.87 ZATUMIKA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekagua na kupokea taarifa ya ukarabati na upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Songea ambao umekamilika kwa asilimia 100%...
  8. M

    Plot4Sale Nyumba yenye kiwanja kikubwa inauzwa Tegeta

    Nyumba yenye kiwanja kikubwa inauzwa Tegeta kama ifuatavyo; 1. Nyumba in vyumba vitano Vitatu vipo juu, kimoja ni master na viwili vipo chini na public toilet, sitting, kitchen and dining. Ipo mita 100 toka barabara ya Bagamoyo. 2. Kiwanja ni 4303 sq meter 3. Ina hati miliki. 4. Bei 900m...
  9. Mpogoro

    Title ya kiwanja

    Nina swali dogo wataalamu! Kuna plot moja nilinunua miaka kadhaa iliyopita na nikabadilisha title. Ila kila mwaka nikilipia land rent jina bado linaonekana na mmiliki wa zamani, mara nyingi huwa nalipia kwenye website hii ya ardhi "land rent". Nimepigwa nini? Mmiliki wa zamani kaka yangu 🤣
  10. Ochoa Real Estate

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa/karibu na Madale/karibu na njia nne

    Habari za wakati huu... Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa... Kiwanja kipo upande wa kulia kutokea Madale mwisho.... Kilomita mbili mpaka madale mwisho... Kilomita mbili mpaka Goba njia nne.... Kiwanja kipo ndani ya mita 200 kutokea barabara kuu la Lami ya Madale.... Kiwanja kipo eneo zuri sana la...
  11. E

    KIWANJA KINAUZWA KILUVYA KWA KOMBA

    Kiwanja kinauzwa kiluvya kwa Komba Umbali wake ni mwendo wa kutembea kwa mguu kutoka morogoro road Bei milioni 7 na nusu tu Ukubwa MITA 22 kwa 23 Kiwanja kina matofali,umeme na maji ya dawasco yapo 0675 065906
  12. N

    Mambo ya kuzingatia wakati wa kununua kiwanja

    Wakuu humu kuna watu wa aina mbalimbali ambao wana ujuzi wa mambo tofauti tofauti. Una yapi ya kumwambia kijana ambae anataka kununua kiwanja? Mambo gani azingatie ili asije akajuta huko mbeleni?
  13. Ochoa Real Estate

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Goba Tegeta "A" Kwa Bedui

    Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui Dakika 3 tuu kutoka kwa bedui center Dakika 7 tuu mpaka goba centre Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho Kiwanja kina sqm 700 Ni corner plot Kina njia kubwa pande mbili Eneo limejengeka vizuri sana Kiwanja kinauzwa milioni 40 tuu.... ☎️ +255 699...
  14. Ochoa Real Estate

    KIWANJA KINAUZWA MAKONGO/DAKIKA 10 TUU MPAKA MLIMANI CITY/KIPO TAMBARARE NA JUU

    Kiwanja kinauzwa Makongo CCM Kilomita moja kutoka Makongo Road Kiwanja kina njia pande mbili/Conner Plot Kiwanja kipo juu tambarare Kiwanja kina SQM 1500+ Kiwanja kinauzwa Milioni 210 tu(maongezi yapo) Kiwanja kimezungukwa na nyumba za kisasa Dakika 10 upo Mlimani city ☎️+255 699 255 530 Beach...
  15. A

    Kiwanja Madale njia yakuelekea Mbopo

    Kiwanja kinauzwa kipo Madale njia ya kuelekea Mbopo umbali wa 1km kutoka lami. Kinaukubwa wa 1000 square meters Bei ni 40M Mazungumzo yapo Tucheki kupitia 0674630975 ama +255 714 796 778
  16. Kitomai

    Fursa adimu ya kuwa mmiliki wa kiwanja cha bei poa Mikocheni A, Pata taarifa zaidi"

    " Ni fursa adimu kuwa mmiliki wa kiwanja cha bei poa huko Mikocheni A. Kiwanja hiki kina ukubwa wa 1500sqm na kina hati miliki, kwa hiyo unaweza kuwa na uhakika wa umiliki wako. Kiwanja hiki ni muhimu sana kwa ajili ya ujenzi wa apartments, office block, au hata ukumbi wa starehe. Bei yake ni ya...
  17. R

    Nauza kiwanja Mwanza, Shibula, 20x41, miloni 2 laki 3

    Kiwanja kimefanyiwa survey mnunuzi utaenda kuandikisha hati kwa jina lako. Whatsapp 0656388678
  18. A

    Plot4Sale Kiwanja cha biashara Tegeta kibo compex

    Kiwanja caha biashara kipo opposite na New kibo complex Tegeta kina ukubwa wa 1260 square meters Kinafaa kwa matumizi ya biashara kama petro station, apartment, Maduka n.k Kianuzwa 850M Mazungumzo yapo. Kwa mawasiliano zaidi unaweza piga namba 0674630975 Ama 0714 796 778 Karibuni sana
  19. E

    KIWANJA KINAUZWA MBEZI MWISHO MAKUTI

    KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA MBEZI MWISHO MAKUTI BEI NI MILION 13 TU ■■UKUBWA WA KIWANJA MITA 20 KWA 20 ■■UMEME NA MAJI YAPO SITE ■■VIMEPIMWA NA KURASIMISHWA KWA MAKAZI BORA 0675 065906
  20. R

    Plots, Apartments for Sale

    Apartments for Sale Nzuri sana ya kisasa, iko Mikocheni Karibu na palm village, barabarani kabisa. Fully furnished, 3 master bedroom, kuna gym na swimming pool. Inauzwa $220,000 ( Dola laki mbili na ishirini) Ina mteja analipa kodi $1500 per month, Kama mtu anataka kuhamia mteja atapewa notice...
Back
Top Bottom