Naumia sana na hii nchi yangu japo na mimi nipo hapa nikisubiri mabadiliko.ila najiuliza kwa nini kile kiwanja cha chato ambacho kinaweza kutua ndege za kila aina kikatelekezwa tu.
Kwa nini serikali isitafute wabia toka nje kuja kukifanya kiwe shule ya urubani ili kuendeleza uchumi.mbona...
Nauza kiwanja changu maeneo ya Mvuti (kina msingi mkubwa wa nyumba ya vyumba vinne; viwili master, dining pamoja na jiko).
Kama unatoka Chamazi kipo mkono wa kushoto, ukiwa unatoka Chanika Kipo mkono wa kulia na kina ukubwa wa miguu 23 urefu kwa miguu 18 upana, ni kiwanja kwa ajili ya makazi...
Kiwanja kinauzwa,kipo Mlandizi Msufini sheli, Block J, kama unatoka Mbezi kipo mkono wa kushoto, kina ukubwa wa SQM 753 (39.56 urefu kwa 19.01 upana) ni kiwanja kwa ajili ya makazi.
Kiwanja kipo karibu na barabara ya Dsm-Morogoro maarufu morogoro road. Kutoka kituo cha magari Msufini mpaka...
Wakuu habari za mchana.
Naomba kufahamu iwapo naweza kuongeza ukubwa wa kiwanja changu ambacho nimeongeza kwa kufanya land reclamation na kubadili hati kuwa na ukubwa zaidi. Naomba kushauri wakuu
SOLD OUT....!
KIWANJA KINAUZWA MAENEO YA KIVULE KARIBU NA SHULE YA SEKONDARI KEREZANGE
SIZE : 40 METERS X 40 METERS
PRICE : 25 MILLIONS
CONTACT : 0712 36 33 58.
ALL SERVICES AVAILABLE
HAKUNA DALALI
Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside
Kutoka Riverside-Mandela Road ni 1.5 km
Ukubwa ni 1,400 square metre
Bei ni 90m
Piga 0625617565
Kinafaa kwa makazi na kuwekeza apartments sababu kiko mjini na ni kikubwa.
Habari wadau.
Natafuta kiwanja maeneo ya Kitunda Kivule mpaka maeneo ya Msongola.
Bajeti yangu ni milioni 5.
Ukubwa wa Kiwanja kisipungue sqm 300. Kama kikiwa kikubwa zaidi nitashukuru.
Kama unauza kiwanja maeneo hayo karibu unipe sifa zake.
Pesa ipo mfuko wa shati
Habari wandugu,
kiwanja cha makazi kinauzwa kipo mjini Dodoma, ntyuka mtaa wa chimala. Kimepimwa Kina ukubwa wa Square meter 408, kipo Karibu na barabara pia nguzo ya umeme ipo pembeni ya kiwanja na Bomba la maji limepita pembezoni mwa kiwanja.
KIWANJA kinachomilikiwa na chama cha NCCR MAGEUZI, kilichopo eneo la Mbopo, kata ya mabwepande, wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam kimeuzwa na matapeli wiki chache zilizopita.
Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Mbopo wamesema kuwa kiwanja hicho kimenunuliwa wiki chache zilizopita na mmiliki...
Kiwanja kipo kigamboni kisarawe 2
Km 1 kutoka barabara kuu.
ukubwa ni 20 kwa 20
Kipo eneo zuri linaloanza kuendelea
Bei ni milioni 5 (mazungumzo yapo)
Hakuna dalali ni changu mwenyewe.
Ukihitaji maelezo zaidi mawasiliano haya hapa ya mmiliki
+255659252713
Asalaam ndugu zangu,
Hakika natumaini ya kuwa wote nyie ni wazima wa Afya baada ya mihangaiko ya week nzima. Anyways, niende moja kwa moja kwenye mada, Jumapili ya leo tarehe 21/4/2024 una enjoy ukiwa kiwanja gani..?
Mimi binafsi nipo uwanja wa nyumbani FUEGO LOUNGE. Kwa ambae yupo hapa...
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkono kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.
Kina ukubwa wa Square meter 1080
BEI million 12
kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
NAUZA KIWANJA CHANGU
📍Site located at Amani Mapinga Near EPLAS RECREATION
🧵Umbali:
👉 5 km kutoka Bunju
👉1.8 km kutoka Bagamoyo Road
👉2 km kutoka Baharini.(PLOT NEAR BEACH)
• Kiwanja kinagusa barabara kubwa ya mtaa
• Kiwanja kina nyumba ndogo ndani yake yenye vyumba viwili na sebule
• Pia...
Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside
Kutoka Riverside-Mandela Road ni 1.5 km
Ukubwa ni 1,400 square metre
Bei ni 90m
Piga 0625617565
Kinafaa kwa makazi na kuwekeza apartments sababu kiko mjini na ni kikubwa.
Milili Kiwanja chako sasa kwaajili ya Makazi, kupitia mradi wetu wa viwanja uliopo VIKINDU VIANZI OBEY.
KUMBUKA:
Ukubwa wa viwanja ni 40 × 50
Kuna huduma za kijamii
Vuwanja vina hati halali toka serikali ya mtaa.
Utapata hati ya makazi Bure.
Bei ni 1300000 Tu.
WASILIANA NASI SASA KWA 0686338261
Kiwanja Chenye nyumba kinauzwa kipo bahari beach jijini dar es salaam wilaya ya kinondoni kiwanja kina ukubwa wa sqm 800 Eneo limepimwa Ila Bado hati nyumba ni ya kuvunja Kisha unaweza jenga apartment Za biashara ama Nyumba ya kuishi kiwanja kipo meter 400 kutoka barabara ya lami KINAUZWA kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.