kizuri

Kizuri-Kamikita Station (衣摺加美北駅, Kizuri-Kamikita-eki) is a railway station on the Osaka Higashi Line in Higashiōsaka, Osaka Prefecture, Japan, operated by West Japan Railway Company (JR West). The station was opened on March 17, 2018.

View More On Wikipedia.org
  1. frenderPH

    Chuo gani ni kizuri katika kufundisha kozi ya Sheria?

    Wadau inakuaje? Ninapenda kujua chuo gani ni kizuri kinachotoa elimu nzuri ya Sheria 'coz mdogo angu anataka ajue mapema vyuo atakavyo-apply. Kaniomba nimsaidie alafu mimi sijasoma kozi kama yake; kwhiyo inaniwia ngumu kutambua. Lakini wadau wa JF hamtashindwa kunisaidia naombeni vyuo vitano...
  2. H

    Nahitaji ushauri maeneo yapi mkoa wa Dar es Salaam naweza pata chumba kizuri masters kwa bei poa?

    Naombeni mnisaidie ni maeneo yepi ktk mkoa wa Dar naweza pata chumba kizuri cha masters kwa bei nzuri ya kizalendo or n maeneo yepi dsm unaweza mshauri mtu akapange chumba na kuanza maisha.
  3. Infantry Soldier

    Watoto ni chanzo kizuri sana cha taarifa. Unapokuwa kazini wao wanazurura mitaani

    Good afternoon jamiiforums Hivi unafahamu ya kwamba watoto wadogo hao unaowaona kama bado hawaijui dunia vema wanaweza kuwa wanajua mambo mengi sana yanayoendelea mitaani kuliko watu wazima? Wakati wewe upo kazini, watoto hawa wanazurura mitaani hivyo wanakutana na mambo mengi sana. Ukiwa...
  4. L

    Kizuri share na mwenzako. Chukua hii...

    Wale wapenzi wa ngoma za Dini kuna hii ngoma inaitwa EKUEME, Ekueme ni neno la ki-Igbo huko Nigeria likimaanisha Mungu anayeahidi, anayesema na kutenda ni spirit song nzuri sana ukipata na video itapendeza zaidi ina. Connection na mambo ya rohoni direct na kama ni mwepesi wa machozi kama Mimi...
  5. Dalali Alpha

    Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Goba Centre

    Kiwanja kizuri sana, Kipo karibu na barabara Kubwa ya lami. Ukubwa wa Kiwanja - Mita za Mraba 400 (Unajenga na Nyumba ya Vyumba 3 na eneo linabaki kwa matumizi mengine i.e parking) Bei - Tshs Milioni 15 [ Maongezi yapo] Uhalali wa Umiliki wa kiwanja; Leseni ya maudhiano ya serikali ya mtaa...
Back
Top Bottom