kofia

The kofia is a brimless cylindrical cap with a flat crown, worn by men in East Africa, especially in Somalia, Kenya, Uganda . Kofia is a Swahili word that means hat. The kofia is worn with a dashiki, a colorful African shirt which is called a kitenge shirt in some regions of East Africa. In Uganda, the kofia is worn with the kanzu on informal occasions.
Jomo Kenyatta, the first President of Kenya, was often photographed wearing a kofia. The kofia is popular in Comoros. The traditional kofia has tiny pin holes in the cloth that allows the air to circulate. In West Africa, this cap is called a kufi.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Dada zetu, please usi-date na mwanaume anayevaa kofia kama hii. Kila mwanasiasa maarufu "alisomaga naye Galanosi"

    Dada yangu ukikutana na mwanaume amevaa kofia kama hii, kaa naye mbali. Watu wanaovaa kofia hizi, kila mwanasiasa maarufu alisoma naye shule moja, ukimkopesa pesa ndio imeisha hiyo, kama ni baba yako ujue una ndugu zako nje lakini hauwajui, wanapenda sana wanawake wajane, wanacheza sana draft...
  2. Kidagaa kimemwozea

    Rangi za kofia za site na maana zake

  3. Mhafidhina07

    Kuvaa joho ni ishara gani na kurusha kofia kuna ashiria nini?

    Kwako Mwalimu kashasha. Binafsi nimefika chuo lakini sijawahi kuhudhuria hizi graduation toka msingi mpaka namaliza masomo yangu ya chuo. Kuna maanishwa kipi hasa au ndiyo modernization?
  4. Chibule

    Je unafahamu Aina za Dental Crowns ? ( Kofia za jino )

    Neno Crown sio geni Sana , nahisi umelisikia. Ni aina ya meno bandia ambayo hutengezezwa maabara ili kuzibia jino / mapengo kwenye meno halisi yaliyotoboka au kutoka/ kuvunjika ili imusaidie mtu kutafuna chakula, Muonekano, Matamshi. Kuna Aina zaidi ya saba za Dental Crowns 1. Metal ceramics...
  5. U

    Kuvuja kwa kofia za nyumba

    Katika nyumba; 1. Nini kinasababisha kofia za kushuka na zile za kulala kuvuja? 2. Nini suluhisho lake? Kwakweli ukipiga bodi halafu nyumba ikawa inavuja inakera sana.
  6. PAZIA 3

    Sare za mahafali elimu ya juu, kofia na gauni jeusi, kurusha juu kofia siku ya mahafali,( tossing graduation hats) asili yake ni nini?

    Habari za Leo wanaJF. Naomba mwenye kujua asili ya utamaduni wa wahitimu elimu ya juu ( degree, masters na PHD)siku ya mahafali kuvaa na kurusha juu kofia zao. Najua watu wengi hawajui, tutumie platform hii kuwajuza. Karibuni sana
  7. Chakaza

    Tatizo la Kofia Mbili, Mwenyekiti Chama na Rais wa JMT ndio Lipo Hapa.

    Mwishoe ni kuonekana Mtu anayeropoka kumbe Kichama anaongea kutafuta support na huku serikalini anaongea majibu ya kupangiwa na wataalamu. Sasa uongo uko upande upi? Nadhani hiki kitu kiachwe na vyeo hivyo vitengwe sio CCM tuu bali hata vyama vingine vikiingia madarakani
  8. Kaka yake shetani

    Mfahamu mungu dagon na kofia wanazo vaa mapadri wakatoliki

    Dagon ni jina la mungu katika hadithi za kale za Wafilisti. Anatajwa mara kadhaa katika Biblia, hasa katika kitabu cha 1 Samueli. Dagon alikuwa mungu wa kilimo na uzazi katika utamaduni wa Wafoinike na Wafilisti, na sanamu zake zilionekana kama mchanganyiko wa binadamu na samaki. Katika Biblia...
  9. BigTall

    Upigaji, utapeli, uliojifichika kwenye kofia ya Kampuni Binafsi za Ulinzi

    Ni uchunguzi wa miezi zaidi ya mitatu kwa nyakati tofauti kwenye maeneo mbalimbali Jijini Dar es Salaam na mikoa jirani, ambapo safari yangu inakutana na Walinzi wa kampuni binafsi wakitoa kauli zenye kuashiria uwepo wa mazingira ya upigaji, utapeli na usanii. Nini kinabainika? Kwa siku za hivi...
  10. LA7

    Napendekeza kofia ngumu ndani ya usafiri wa mabasi

    Naomba kuuliza je? Kuna utafiti ulishawahi kufanyika kwa ajali zilizotokea na kuua watu wengi kwenye mabasi, kuwa hao waliofariki hasa waliumia sehemu gani mwilini? Mm maranyingi nilishuhudia majeruhi wakiwa wameumia vichwani, Kama kwenye meli watu huvaa life jacket, basi na nchi kavu...
  11. Cecil J

    Riwaya: Muuaji mwenye kofia nyekundu

    ..
  12. Teko Modise

    Zijue tofauti za rangi na majukumu yake kwa kofia ngumu zivaliwazo kwenye ujenzi

  13. BAKIIF Islamic

    Usimvalishe mwanao wala usishike ile kofia nyekundu ya Krismasi, Babu yule amaeingizwa kimakosa kwenye sherehe za Krismasi

    Kofia nyekundu ya Baba Krismasi Santa Claus' Kama viumbe visivyokuwa binaadamu aliens watafika duniani katika wakati wa Krismasi, bila ya shaka wataamini Krismasi kuwa ni sherehe ya kufurahikia kuzaliwa kwa Baba Krismasi Santa. Majina ya ‘Santa Claus’, hayamo popote ndani ya Biblia. Hata...
  14. M

    Diamond alikuwa na haki kukasirika kuibiwa kofia

    Mzuka wanajamvi. Lile tukio la msanii maarufu nchini na bara la Africa Diamond la kuibiwa kofia halikuandaliwa staged. Kwa utafiti wangu ni kweli Diamond ile kofia aliporwa. Na hiki kitendo kilimkasirisha sana Diamond siyo kwasababu kofia ni ghali bali kufanyiwa matambiko na kurogwa kupitia...
  15. M

    Aliyepora Kofia aliandaliwa na Diamond Mwenyewe

    Diamond anajua kujitengenezea Matukio ili kuzidi ku trend. Hata tukio la kuporwa kofia juzi ni la kutengeneza. Ukiangalia uchukuaji wa video utagundua ni movie tu, yaani pale alikosekana tu yule anayesema " Action!!!". Na hata baada ya Diamond kuingia ndani ya gari nakuanza kuchukuliwa video...
  16. Mhafidhina07

    Watanzania nawavulia kofia

    Wanatengeneza vitu kujifurahisha ila hii ni kiboko.
  17. Nyuki Mdogo

    Kwanini hackers wanavaa Mask na Kofia wakiwa katika shughuli zao?

    Hello I.T fans.. naomba kupewa majibu mujarab. Naona wengi mnaovunja mifumo ya computer huwa mnavaa Hizo nyenzo (mask, gloves, kofia za mzula) hivi sababu ni zipi hasa? Halafu bado wengine mnakamatwa😅😅😅😂😂
  18. Webabu

    Kofia ya moto ya thamani ya mafuta yawadondokea G7

    Hapo juzi mataifa ya G7 yakiongozwa na Marekani yalipitisha azimio la kuweka ukomo wa bei ya mafuta ya kutoka Urusi. Katika mpango huo nchi hizo zimekubaliana kuwa bei ya mafuta ya Urusi isizidi dola 60 kwa pipa moja..ikizidi hapo mataifa hayo wamesema hawawataki mafuta ya Urusi. Katika...
  19. figganigga

    Kosa la Dr. Bashiru ni kusema, "Tusichague Mtu kwa Ubwabwa, kofia, Kanga wala Tshirt

    Dr. Bashiru anauliza, tabia yenu na mienendo yenu wakati wa Uchaguzi ikoje? Chama mnachokichagua mnakijua? Mnaye mchagua mnamjua? Tusichague Mtu kwasababu ametupa Ubwabwa, kofia, Kanga, pesa au Tshirt. Dhana ya Uwajibikaji: Muna nafasi gani kusimamia Serikali ili iwe upande wenu? Veo vyote...
  20. AKAN

    Natafuta hizi kofia

    Habari ya muda huu wana Jamiiforums, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza., nahitaj kufahamishwa ni maduka gani/wapi naweza pata hizi kofia kwa hapa Tanzania.
Back
Top Bottom