kofia

The kofia is a brimless cylindrical cap with a flat crown, worn by men in East Africa, especially in Somalia, Kenya, Uganda . Kofia is a Swahili word that means hat. The kofia is worn with a dashiki, a colorful African shirt which is called a kitenge shirt in some regions of East Africa. In Uganda, the kofia is worn with the kanzu on informal occasions.
Jomo Kenyatta, the first President of Kenya, was often photographed wearing a kofia. The kofia is popular in Comoros. The traditional kofia has tiny pin holes in the cloth that allows the air to circulate. In West Africa, this cap is called a kufi.

View More On Wikipedia.org
  1. Teko Modise

    Unajua nini kuhusu watu wanaovaa kofia hizi?

    Haya tiririkeni hapa...
  2. Mastamind

    Wanachama wa TALGWU mwaka huu tunapigwa, no tisheti wala kofia

    Kuna Dalili ya Kuingia Sherehe za May Mosi Bila Kuwa na Jezi za TALGWU. Mpaka leo April 29 hakuna mzigo wa kofia wala tisheti ulioingia na kugawiwa, viongoz dako kimya. Inaonekana Wako Kuvutana Aina ya Tsheti. Kweli Mwaka Mzima Hamjaamua ni zipi zakununua, Me naona kuna kajambo wanataka...
  3. S

    Kofia na Valley kwenye Nyumba

    Poleni na majukumu wana JF ni imani yangu Mungu anaendelea kutupigania. Naomba kujua umuhimu wa Valley kwenye Nyumba, pia nitashukuru kama naweza kupata picha ya Nyumba yenye Valley. Nawatakia weekend njema.
  4. P

    Natafuta mabati Transparent, kofia na gata zake

    Wakuu habari, Niko Morogoro natafuta mabati ambayo ni transparent pamoja na kofia na gata zake. Mwenye kujua Morogoro yanapatikana wapi au Dar anijuze.
  5. Mkulungwa01

    Unaweza kumsamehe mpenzi wako kwa kukuminya kende au kukupiga kofi kwenye kende?

    Ndio kama kichwa kinavyojieleza, Unaweza kumsamehe mpenzi wako kwa kukuminya kende au kukupiga kofi kwenye kende? Hivi unaweza kuendelea na mahusiano na msichana kama huyo? Be honesty and tell honestly
  6. Sky Eclat

    1910 suti ya vipande vitatu na kofia ilikua ndiyo vazi la heshima kwa wanaume

    Ukitoka nje ya nyumba yako unakubalika katika jamii ukiwa na vazi hili. Kuvaa jeans na t-shirt ilionekana si ustaarabu.
  7. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Wakati wa uchaguzi pombe, tisheti na kofia hutuchagulia Viongozi

    Kila ifikapo wakati wa uchaguzi, watanzania husahau shida zote walizopitia. Ni ajabu sana! Kwa zawadi ya pombe, tisheti na kofia. Ndugu zangu wakulima, poleni sana kwa yanayowasibu. Mliamini katika kile kibwagizo cha, “Kama mnataka mali mtaipata shambani” Pengine mateso hayo mnayoyapata ni...
  8. J

    #COVID19 Chanjo ni kama kofia ngumu (Helmet)

    Wataalamu wa #Afya wameifananisha Chanjo dhidi ya Magonjwa mbalimbali ni kama #Helmet anayovaa Dereva na Abiria wa Pikipiki. Ufafanisho huo umemaanisha chanjo kama ya #COVID19 umetokana na ukweli kwamba inasaidia kukukinga dhidi ya maambukizi ya #CoronaVirus. === A vaccine is an additional...
  9. Meneja Wa Makampuni

    Watakaogombea Ubunge 2025 waje na job opportunities kwaajili ya vijana wetu badala ya kofia na mashati

    Watakao gombea ubunge 2025 waje na job opportunities kwaajili ya vijana wetu badala ya kofia na mashati. Huko kwenye majimbo vijana wanahitaji ajira, kama mbunge hawezi kutengeneza ajira asichaguliwe ubunge. Maana huyo hana uwezo. Huyu mgombea ubunge alikua anapeleka mchele kwa wananchi ili...
  10. MSAGA SUMU

    Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na kufanya mazunguzmo na Tony Blair

    Samia Suluhu akutana na Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair. Taarifa zaidi
  11. DustBin

    Kwa hili CCM nimewavuli kofia

    Hapa mtaani ninapoishi kuna shule ya sekondari jirani, tena ni o-level. Sasa tangu wiki iliyopita kuna shamra shamra nazisikia, kumbe wanafanya kampeni za uchaguzi wa serikali ya wanafunzi. Jana ndio nimepewa ubuyu kwamba wagombea wote wanaoshiriki wameandaliwa na CCM na wamelazimishwa kugombea...
  12. Nigrastratatract nerve

    Marais Wastaafu, Mawaziri Wakuu wastaafu watembelea Bwawa la Nyerere la mto Rufiji

    Kwa kutambua umuhimu wa mradi wa kufua umeme wa Mto rufiji Marais wastaafu na mawaziri wakuu wastaafu wametembelea bwawa la kuzalisha umeme la NYERERE Hii ni hatua kubwa za kuenzi legacy ya JPM Ndio maana tunasema JPM rest in power === Viongozi wakuu wastaafu Rais Ali Hassan Mwinyi na Jakaya...
  13. The only

    Anguko kuu la CCM litatokana na kutenganisha kofia ya uenyekiti na Urais

    Wakuu nachofanya mimi ni uchambuzi wangu huru ,TUTAFAKARI! Ni wazi mabadiliko ya mkuu wa nchi ni hatari na neema kwa makundi mbalimbali maslahi kimaslahi ,Mfano leo wapinzani kwa mara ya kwanza wanapata wasaa wa kutoa dudku duku zao mbazo wasingepata fursa hiyo kwa muongo mzima wa JPM hapo...
  14. D

    Rais Samia abaki na Urais, Uenyekiti wa chama apewe mwingine ili kuondoa mkanganyiko

    Pamoja na kwamba ukiona mwana CCM yoyote anashupalia jambo basi ujue anamaslahi yake binafsi! Lakini kwa hili la kutenganisha Mamlaka ya kichama na Urais! Niseme wazi kabisa pamoja na maslahi yao kichama, pia kama taifa tutasonga pamoja! Ifahamike kwamba Ili mwana CCM apitishwe kugombea...
  15. Ileje

    Kutenganisha kofia ya Urais wa nchi na Uenyekiti kutaisambaratisha CCM

    Uimara na kuendelea kudumu kwa CCM kunatokana na nguvu za dola, nje ya hapo CCM ni chama dhaifu sana. Ndani ya CCM kuna wanachama waganga njaa wengi sana ambao maisha yao nje ya chama hayawezekani. Hivyo ili wanachama hawa waishi maisha ya heshima watafanya kila hila ili mwenyekiti wao awe Rais...
  16. Dr hyperkid

    Je, ni sahihi kuingia maliwatoni na kapero (kofia au barakashe)?

    Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri wakuu, Nisipoteze muda kuna hili swala limetokea pahali kidogo limenishangaza bada ya mzee mmoja kuchachama kwa ukali juu ya tabia ambayo binafsi sijaona kama ni tatizo japo si mumini wa hiyo tabia hapana. Mzee alikuwa mbogo na kudai kijana hayaheshimu maliwato...
Back
Top Bottom