kondomu

  1. Rorscharch

    Kuna umuhimu body spray na perfume zisambazwe bure kama kondomu maana kwenye madaladala humu tutakufa

    Saa 12 asubuhi, mtu kashuka kitandani, hajafikiria maji wala sabuni, lakini tayari yuko kwenye daladala. Jamani, unajua ananuka kama amegaragara na mwanamke halafu akaamua kwenda moja kwa moja kazini? Hakuna hata sekunde ya kufikiria kuwa wenzako pia wanapumua? Najua wanaume hatupaswi...
  2. Se Busca

    Unadhani Kwanini Asilimia Kubwa Ya Wanawake Hawapendi Mtumie Kondomu

    Unadhani Kwanini Asilimia Kubwa Ya Wanawake Hawapendi Mtumie Kondomu
  3. Tlaatlaah

    Unadhani ni kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia kinga?

    Utaskia hua inaniwasha, mara ooh huwa inanisababishia fangas, ooh nina aleji na harufu yake ntapata mafua sasahivi n.k, nini kifanyike ili jamiii hii ya wanawake na wanaume pia wapende kutumia kondomu wakati wa kufanya mapenzi? huenda leo hii asubuh, kuna mtu kaamka na maambukizi ya vvu...
  4. Braza Kede

    Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni kufokewa kweli?🤔

    Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni wa kufokewa kweli? Unarudi home mtu kaiona tu basi imeshakuwa nongwa anabwata siku nzima hadi majirani wanasikia. Hivi wakuu huyu mume si wa kupongezwa huyu, maana anamaanisha anaijali familia yake hataki kuiletea...
  5. Nyani Ngabu

    Kenya kuna uhaba wa kondomu kisa USAID kusitisha misaada!

    Waafrika tuna ujuha wa ajabu sana. Yaani kumbe hata hiyo mipira tunasaidiwa.
  6. K

    Kuoa mwanamke aliemaliza chuo kikuu ni sawa na kutumia kondomu iilitumika na mtu mwingine

    Wanachuo wanatumika zaidi ya madada poa ni wajuaji, wabishi na wajeuri now days wanajiita feminist ni uchafu mtupu. Ona Binti wa kidato Cha nne au aliemaliza darasa la Saba inatosha. Utapata mke wa kulea watoto wako na kupata malezi Bora Wanachuo wa kike ni takataka
  7. and 300

    DOKEZO Uhaba wa Kondom Arusha

    Assalam Aleikum, Nimekuja Festival toka ijumaa jioni sasa leo kwenye moja-mbili nimeopoa binti Afisa Burudani II nikajiburudishe ila Kondom adimu pharmacy hata maduka madogo ya mitaani (kuanzia stendi kuu, Kijenge hadi Njiro). Wanadai mzigo ndio umepakiwa Dar unakuja na mabasi ya usiku...
  8. Tlaatlaah

    Unadhani kwanini matumizi ya kondomu na matangazo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii yamepungua mno?

    Unaweza kuingia sehemu za kupumzikia wageni mathalani hotelini, guest house au lodge usikute box au pakiti ya kondomu mezani, hata sabuni siku hizi mpaka uombe kwa muhudumu tofauti na kipindi cha nyuma vyote unavikuta chumbani. Na wakati huo mtu anaweza kuwa na mchepuko mmoja tu Lakini anatumia...
  9. Damaso

    KWELI Mtu anaweza kupata mzio kutokana na matumizi ya kondomu

    Nimepata kukutana na marafiki zangu kadhaa na wamekuwa wakidai kuwa, wao hawapendi kabsa kutumia kondomu wakiwa kwenye faragha zao, huku wakidai kuwa mafuta au vilainishi vilivyomo ndani ya Kondomu zinawafanya wapate upele pamoja na miwasho. Naomba kuuliza, Je ni kweli matumizi ya Kondomu...
  10. C

    SoC04 Kama kondomu ni BURE!! kwanini isiwe kwa pedi?(taulo za kike)?

    Nchini Tanzania, serikali inatoa kondomu bure ili kuhamasisha ngono salama na kupambana na kuenea kwa virusi vya UKIMWI. Hata hivyo, hedhi, ambayo ni hali ya kibiolojia isiyoepukika kwa wanawake na wasichana, mara nyingi haipati msaada sawa. Hii imekuwa ikiniacha nikijiuliza, ikiwa kondomu...
  11. Truth Bot AI

    DOKEZO/KERO: Tumechoshwa na Biashara ya Ngono Inayofanyika Katika Eneo la Shule maana Mabaki ya Kondomu Yanazagaa Uwanja Mzima Kirumba mwanza

    Mwanza. Ni jambo ambalo halikutarajiwa na wengi na isivyo bahati, uwe mgeni ama mwenyeji hapa mjini Mwanza ukipita pembezoni mwa mazingira ya shule za msingi Kitangiri A na C zilizopo pembezoni mwa uwanja wa CCM Kirumba kuanzia majira ya saa moja jioni utakutana na makundi ya wanawake wanaofanya...
  12. ngara23

    Kondomu za siku hizi ni ndogo hazitoshi kwenye uume

    Condoms za siku hizi zimekuwa ndogo, zinabana na zinatoa harufu mbaya Yaani nikivaa kondom siku hizi inaweza funika tu nusu ya uume nusu ikaingia ukeni bila kufunika uume wote Sijui kuna agenda ya kutuua kimya kimya, kwa kututengezea kondomu zinazovutia na kumtosha kila mwanaume na zisizo na...
  13. BARD AI

    Mbunge aishauri Serikali jinsi ya kudhibiti Watoto wanaochezea Kondomu Mwanza

    Mbunge wa Ilemela (CCM), Dk Angelina Mabula ameitaka Serikali kujenga uzio katika Shule ya Msingi Kitangili iliyopo mkoani Mwanza ili kuokoa maisha ya watoto wanaochezea kondomu katika uwanja wa mpira. Akiuliza swali la nyongeza bungeni leo Jumanne Aprili 23, 2024, Dk Mabula amesema eneo hilo...
  14. Mjanja M1

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI yashauri kuongeza nguvu ya kupambana na UKIMWI kwa kutoa elimu katika maeneo mbalimbali nchini

    Hii vita dhidi ya maambukizi ya Virus vya ukimwi inaenda kuwa next level sasa! Unahisi ni jambo sahihi sehemu za kazi kuwekewa Mipira ya Kondomu? === Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeshauri serikali kuongeza nguvu ya mapambano dhidi ya virusi vya UKIMWI katika...
  15. Rayvanny wa jamiiForums

    Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo

    Yani Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo.
  16. Mjanja M1

    Watanzania wanakataa Mchele lakini wanakubali Kondomu, Chanjo na Dawa za Mmarekani

    Hili nalo ni moja ya Ajabu la Dunia kutoka Tanzania.
  17. Mjanja M1

    Kumbe kutembea na Kondomu ndio kuwa kijana wa kisasa?

    Hii post ya East Africa Radio imenishangaza sana, UZINZI UNAENEZWA KWA KILA NJIA SIKU HIZI.
  18. Miss Zomboko

    Siku ya Kondomu Duniani - Februari 13

    Siku ya Kondomu Duniani, au World Condom Day kwa lugha ya Kiingereza, huadhimishwa kila mwaka tarehe 13 Februari. Siku hii ilianzishwa na Shirika la Kimataifa la Uzazi wa Mpango (International Planned Parenthood Federation) na mashirika mengine ya afya ya kimataifa ili kuongeza ufahamu kuhusu...
  19. K

    Wizara ya Afya angalieni namna ya kuboresha kondomu zenye nembo ya (ZANA)

    Nisiwe muongeaji sana. Wizara ya afya angalieni namna ya kuboresha kondomu mlizoingia nazo ubia na makampuni ya uzalishaji wa kifaa tiba hiki muhimu hasa kwa sisi vijana. Kuna kondomu aina ya ZANA zinazosambazwa na serikali kupitia wizara ya afya kiukweli zile ndomu hazina ubora wowote kiufupi...
  20. F

    Naomba ufafanuzi wa hili baada ya Kondomu kupasuka

    Wakuu nimepata shida nilikuwa na manzi fulani tuna sex ghafla kondomu ikapasuka na kichwa chote kikatoka nje yule manzi akanishtua nikapoteza stimu hapo hapo na hali yake ya kiafya siifahamu maana tumekutana tu kitaani. Sasa nipo na mawazo chungu nzima hata kwenda kupima naogopa...naombeni...
Back
Top Bottom