kondomu

  1. carnage21

    Tetesi: Wanaume wengi hatupendi kutumia kondomu

    Kwenye #SupaBreakfast ya @EastAfricaRadio Baada ya Waziri wa Afya @ummymwalimu kutaja mambo matatu yatakayo maliza ukimwi, Babu @david.gumbo.5 ametoa maoni yake yanayochangia ugonjwa huo kuenea. "Nimefanya research ndogo asilimia kubwa ya sisi wanaume hatupendi kutumia mipira (kondomu) mwanamke...
  2. Dasizo

    Hii imekaaje kuna usawa hapo?

    Mwanaume akitembea na condom kwenye wallet anajikinga, mwanamke akitembea Nazo mnamuita Malaya kwanini?
  3. BARD AI

    Ripoti: Dar yaongoza kwa watu kuwa na michepuko zaidi ya miwili

    Wakati takwimu za Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids) zikionyesha maambukizi ya ugonjwa huo yameshuka kwa asilimia 47, ripoti mpya ya Wizara ya Afya imeonyesha viashiria vya uwezekano wa kuongezeka kwa virusi kutoka kwa wasiokuwa wanandoa wala wachumba (michepuko). Ripoti hiyo ya...
  4. BARD AI

    Kondomu milioni 111.9 zilisambazwa nchini mwaka 2022

    Ikiwa ni hatua ya kuendelea kukabiliana na maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi, Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel amesema Serikali imesambaza kondomu milioni 111.934 nchini katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2022. Hayo ameyabainisha juzi Januari 13, 2023 kwenye kikao cha ndani...
  5. BARD AI

    Kipimo cha UKIMWI kinavyotumika kama mbadala wa Kondomu

    Hofu ya uwezekano wa ongezeko la maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) kwa miaka ijayo inazidi kutanda mitaani kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya vipimo vya haraka (HIV Rapid test) vya kubaini maambukizi hayo kwa kupima damu. Uchunguzi uliofanywa kwa zaidi ya wiki mbili katika maeneo...
  6. J

    Mrisho Gambo: Nasakwa sana, sili wala sinywi ovyo nisije kuwekewa sumu. Labda wanivizie getini wanipige risasi

    Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amesema wasiojulikana wanamsaka kila kona lakini hatamuweza kwa sababu yeye siyo lofa. Gambo amesema hali wala hanywi hovyo kwa sababu anaweza kuwekewa sumu, hivyo kwa sumu hawatampata labda wanivizie getini wampige risasi! Gambo amesema hata ofisini kwake...
  7. BARD AI

    Ufaransa kugawa Kondomu bure kwa Watoto na Vijana

    Rais Emmanuel Macron ametangaza hatua hiyo baada ya ripoti ya Serikali kuonesha ongezeko kubwa la Magonjwa ya Zinaa kwenye kundi la Vijana na Watoto. Huduma hiyo itaanza kupatikana nchi nzima kwenye Maduka yote ya Dawa kuanzia Januari 1, 2023 na ikumbukwe pia Ufaransa ni moja ya nchi...
  8. BARD AI

    Wafanyabiashara wadai Ushuru umechangia Kondomu kuadimika Kenya

    Wafanyabiashara wameilalamikia Serikali kwa kuweka Kodi kubwa kwenye uingizaji wa bidha hiyo hali inayosababisha uhaba mkubwa nchini kote Kenya inahitaji Kondomu Milioni 455 kila mwaka wakati Serikali ikinunua na kusambaza Kondomu Milioni 150 pekee, pia imeripotiwa kwa miaka 2 iliyopita...
  9. OKW BOBAN SUNZU

    Mtu unatoaje huduma ya gesti bila kondomu?

    Unapokea wageni mbalimbali kuwapa huduma ya gest. Wengine unapokea usiku kama huu. Halafu unaombwa kondomu huna. Si utaua watu? Hii sio sawa
  10. M

    Kondomu niliyotumia inavuja, kichwa kinawaka moto

    Habari wakubwa, Nimekuja kwenu nipate ushauri, maana kichwa kinawaka moto. Mimi ni mtumiaji wa kondomu miaka 6 sasa sijapiga dry. Jana nilikuwa nasex na bidada nikiwa na kondomu zangu 3 mpyaa (DUME). Mwanzo mpaka mwisho kondomu ilikuwa uumeni mpaka nakojoa, (nilitumia kondomu 3 ya mwisho...
  11. Diversity

    SI KWELI Kondomu za BULL zinapasuka sana

    Kumekuwa na malalamiko ya watu kadhaa kwamba Kondomu za Kampuni ya Bull Zinapasuka sana. Baadhi ya wadau wanaona Kondomu hizo si salama ni laini sana kiasi kwamba hupasuka kirahisi wakati wa tendo la kujamiiana. Ukweli upoje?
  12. Tulimumu

    Kondomu za bure kwenye ofisi za umma zinachochea ngono

    Ukitembelea ofisi nyingi za umma ukaingia vyooni utakuta box la kondom za bure limewekwa ukutani kwaajili ya wanaohitaji kuzitumia kufanya ngono kama ambavyo unaweza kukuta katika mabaa na nyumba za kulala wageni. Sasa unaweza kujiuliza kwamba hivi humu maofisini watu pamoja na kazi wanafanya...
  13. Miss Zomboko

    Kenya yakabiliwa na uhaba wa Kondomu

    Vituo kadhaa vya afya vya umma, hoteli na mikahawa nchini Kenya vinakabiliwa na uhaba wa kondomu kutokana na mvutano wa ushuru kati ya wafadhili na serikali ya Kenya, Gazeti la Daily Nation linaripoti. Mpango ambao hutoa kondomu za bure, sehemu muhimu ya kampeni ya Kenya ya kukabiliana na...
  14. Frumence M Kyauke

    Diwani wa Wilaya ya Kisarawe Pwani alalamika uhaba wa kondomu

    Diwani wa Kata wa Kibuta wilayani Kisarawe mkoani Pwani Mhandisi Mohamed Kilumbi, amesema kuwa Kata ya Mbuyuni wilayani humo inakabiriwa na upungufu mkubwa wa Condom na kuiomba kamati ya kupambana na UKIMWI kuchukulia kwa uzito jambo hilo na kuhakikisha bidhaa hizo zinafika kwa haraka.
  15. Frumence M Kyauke

    Ifahamu kondomu

    Kondomu ni kifaa/ zana iliyotengenezwa mahususi kuvalisha uume au kuwekwa ukeni wakati wa kujamiiana.Nazo hubana kutokana na umbile la uume au uke. Kondomu hizi zipo za aina tofauti kutokana na muda na vipindi zilipotengenezwa, nazo ni kama ifuatavyo:- Awamu ya I – zilizotengenezwa kwa mimea...
  16. Analogia Malenga

    California, Marekani: Kuchomoa kondomu bila taarifa wakati wa tendo yatangazwa kuwa kosa kisheria

    Gavana wa jimbo la California Gavin Newsom amesaini sheria inayopiga marufuku utoaji wa mipira ya kondomu bila makubaliano iliyowasilishwakatika muswada ulioitwa "stealthing". Sheri ampya inaongeza kipengele katika ufafanuzi wa sheria ya jimbo hilo kuhusu ngono na hivyo kuifanya California kuwa...
  17. chizcom

    Je, kondomu nayo sio plastiki?

    Wizara inayoshugulikia mazingira imepiga marufuku kama mirija ya kunywa juice na vingine. Ila sasa tunajiuliza tunazuia vipi vitu ambavyo ni pato. Sawa na sigara na hatari za kiafya. Watumiaji wa kondomu ni wengi kuliko watumiaji wa bizaa za plastic. Kwa maana plastic inaweza kurudiwa...
  18. mshale21

    Iringa: Kondomu zaadimika, Baraza la Madiwani lazua mjadala

    Suala la kuadimika kwa mipira ya kiume(kondomu) limezua mjadala mkali kwenye Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, ambapo madiwani hao wamedai linakwamisha mapambano dhidi ya UKIMWI na kudai kuwa mipira hiyo haipatikani kwenye nyumba za wageni na maeneo ya starehe.
  19. robinson crusoe

    #COVID19 UKIMWI umeua Waafrika kuliko COVID-19; mbona haujalazimishwa kutumia kondomu, mbona viongozi wa dini wanapinga?

    Nahisi viongozi wetu wana usahaulifu au uelewa usiolingana na wananchi wa nchi hii. Viongozi wa dini wamepinga matumizi ya kondomu miaka yote, lakini hatujawahi sikia serikali ikiagiza wakamatwe. Dini zote kubwa hapa nchini, hawataki kuruhusu waumini wao kutumia kondomu. Kosa la Gwajima lina...
  20. and 300

    Mauzo ya Kondomu yamepungua sana

    Katika biashara yangu ya duka la dawa. Mauzo ya Kondomu yamepungua ghafla kwa miezi miwili mfululizo. Kwa wastani nilikuwa nauza kondomu 150 kwa siku. Ila kwa Sasa nauza kondomu 6 kwa wiki. Chanzo Ni COVID-19?
Back
Top Bottom