M 23 ipo kwa ajili ya kilio cha muda mrefu wa serikali ya Tshitsekedi; kwa ajili ya ukosefu wa huduma za jamii,ukosefu wa usalama wa raia na mali zao,rushwa katika serikali ya Kongo na uzembe na ubadhirifu wa serikali Ile.
Kwa sababu,sijui wewe una mlengo gani wa kisiasa,sijui una falsafa gani...