kongo

The Kingdom of Kongo (Kongo: Kongo dya Ntotila or Wene wa Kongo; Portuguese: Reino do Congo) was a kingdom located in west central Africa in present-day northern Angola, the western portion of the Democratic Republic of the Congo, the Republic of the Congo as well as the southernmost part of Gabon. At its greatest extent it reached from the Atlantic Ocean in the west to the Kwango River in the east, and from the Congo River in the north to the Kwanza River in the south. The kingdom consisted of several core provinces ruled by the Manikongo, the Portuguese version of the Kongo title Mwene Kongo, meaning "lord or ruler of the Kongo kingdom", but its sphere of influence extended to neighbouring kingdoms, such as Ngoyo, Kakongo, Loango, Ndongo and Matamba, the last two located in what is Angola today.From c. 1390 to 1857 it was mostly an independent state. From 1857 to 1914 it functioned as a vassal state of the Kingdom of Portugal. In 1914, following the Portuguese suppression of a Kongo revolt, Portugal abolished the titular monarchy. The remaining territories of the kingdom were assimilated into the colony of Angola and the Protectorate of Cabinda respectively. The modern-day Bundu dia Kongo sect favors reviving the kingdom through secession from Angola, the Republic of the Congo, the Democratic Republic of the Congo, and Gabon.

View More On Wikipedia.org
  1. Wildlifer

    Historia ya Muziki wa Rumba nchini Kongo (Rumba Congolais)

    Salam wanaJF. Katika uzi huu nitaelezea Historia ya Muziki wa Rumba la Kikongo. Hii itagusa Congo zote mbili yaani Kongo Brazzaville na Kongo Kinshasa. Huu ni mkusanyiko kutoka vyanza mbalimbali, na hasa imehamasishwa na Mtafiti wa Chimbuko na asili ya Muziki (Ethnomusicologists), Masoud...
  2. Chizi Maarifa

    Kilichokuwa Nyuma ya Story yangu ya kusaka Utajiri Kongo DRC

    Naona wengi mnanichukia na kuniita majina yote mabaya.Fisadi, Tajiri Mjeuri, Handsome Boy, Billionea Chizi n.k Ile story nlilazimika kuisitisha baada ya wahusika kunifuata na kutaka niisitishe na walitoa sababu zao. Mbaya zaidi mmoja ana connection kubwa sababu ya biznez zake za Madawa. Nami...
  3. YEHODAYA

    Watanzania twendeni Congo tukawekeze Sekta ya Usafiri wa majini na mafuta

    Kila msaka fursa angalia hii clip uone mwenyewe fursa zilipo za biashara ya usafiri wa majini na mafuta Congo. Hizo baadhi tu lakini ukitizama hii Clip waweza gundua nyingi zaidi.
  4. Chizi Maarifa

    Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

    PART I Katika harakati za kutafuta maisha kuna mengi sana ambayo wanaume tunapitia. Leo ntawaelezea visa na mikasa ambayo nlipitia toka nimemaliza kidato cha nne mwaka 1995. Mambo haya yametokea nikiyaona na pia nikihusika. Mimi ni mtoto wa kwanza katika familia ya watoto 7. Nikiwa na dada...
  5. Fuqin

    Kwa wale waliofanya mazoezi ya Kegel na wakapona naombeni ushauri

    Mambo vipi ndugu? Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nimeanza mazoezi ya kegel kutokana na tatizo langu la kuwahi kufika kileleni.Kwa sasa hivi nina mwezi tangu nianze na nimeonai dalili Kwa mbali kuwa ninaanza kupona ila nikisex nawahi kufika kileleni. Nina imani na zoezi hili...
  6. Roving Journalist

    Tafakuri Jadidi: Fukuto la Kongo, Kabila (Baba) alimwandaa Mwanaye Joseph tangu Kunduchi Mtongani, Tanzania

    Kwanini Kongo- Kinshasa Kunafukuta? - Ubia wa Kabila na Tchisekedi u-mashakani - Kuilewa Kongo- Kinshasa Lazima Uumize Kichwa - Kabila ( Baba) alimwandaa Mwanawe Joseph tangu Kunduchi Mtongani, Tanzania. Ndugu zangu, Mwezi Januari mwaka jana niliandaa mfululizo wa makala kuhusu Kongo-...
  7. roselina john

    Ladies tunaopenda Muziki wa Kongo tuonane kwa hii thread

    Mara chache kukuta mwanamke anayependa music from Congo But some of them have an interest, Bolingo 1.Nzele- Madilu 2.Bandeko- Madulu 3.Ton Ton -Madilu 4.Sydiegi-Madilu 5.Associe - Fally Pupa 6.Faulta de Jon -Koffi 7.Papaa- Ngwasuma 8.Loi- Koffi I real like Congo Music
  8. Suley2019

    Raia wa Uganda auawa na kundi la watu wa Kongo

    Inaelezwa kuwa Mganda mmoja amefariki na wengine kujeruhiwa katika shambulizi lililofanywa na raia wa Kongo kwa watu wa Uganda. Shambulio hilo lilitokea katika Soko la Nziapande, ambalo lipo takribani kilomita tano kutoka mpaka wa Uganda-DR Kongo ya Busunga wilayani Bundibugyo. Taarifa...
  9. Suley2019

    Uganda na Jamhuri ya Demokrasia Kongo zafikia makubaliano ya kuboresha miundombinu baina ya nchi zao ili kurahisisha biashara

    Uganda na Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo zimesaini mkataba wa kufanya maboresho ya miundombinu hasa barabara zinazounganisha nchi hizo mbili katika kipindi cha ndani ya miezi 24 kwa lengo la kukuza biashara na uwekezaji ndani ya nchi hizo mbili. Rais wa Uganda Mh. Yoweri Museven na Rais wa...
  10. bahati93

    'Yo pe by innos' maana ya mashairi

    O timbi na timbeli yo! Ukiniheshimu ntakuheshimu Yuma no kaka ts ( INNNOSS) Mpuuzi wako ( innos) Zoba no kaka ts Ujinga wako Hein yuma no kaka ts Kwa ujinga uliopitiliza Djizo! djizo O telemi no na coin Umesimama kwa kona O Sali no eloko teee Ufanyi kazi kabisa O toki no kutu teee...
Back
Top Bottom