Iko hivi wadau, kuna Manzi mimi nilikua namuimba..
Karuka, na kudai tuwe marafiki.
Nikaforce sana huo urafiki badae nikakata tamaa alikua anakwepa tusionane.
Zilipopita kama week tatu, nikampandia hewani tena, kubembeleza, nikaona respond ipo kidogo
Sasa Leo nimeenda kwake Manzi, na...