kuacha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Bill Gates na Mark Zuckbereg walikuwa matajiri walipoamua kuacha masomo, kijana usifuate kila unachoambiwa na motivational speakers, Utaangukia pua.

    Mark Zuckbereg - Facebook, Whatsapp, Instagram, n.k. Bill Gates - Microsoft Tayari walikuwa wametengeneza pesa, wana wafadhili wa projects zao...Wewe kijana unaetaka kuacha masomo kitu pekee unachomiliki kilaptop na simu unataka kuwaiga fikiria mara mbili, do your research. Sio hivyo tu, hawa...
  2. Bonsipele69

    Napenda kuacha pale mpenzi anapokosea mara kwa mara. Hali hii inanigharimu kwenye mahusiano yangu

    Hey folks, Mimi ni mwanaume mpole, mwenye hisia sana na ninaejali kupitiliza. Nimekuwa na tabia hii huwa nakereka sana na tabia ya mpenzi kurudia kosa moja mara kwa mara hali hii hupelekea kutamka neno tuachane mara kwa mara japo haimaanishi kuwa nimetamka kwakuwa simpendi wala kumuhitaji...
  3. mdukuzi

    Aliyemuoa mtoto wa Rais Hussein Mwinyi ndio kaoa,sie wengine tulioa ili mradi tusije kufa bila kuacha watoto

    Mwanamke anakupa stress ukienda kwao mlango wa jikoni ukiupiga teke unadondoka. Choo mlangoni wameweka gunia au khanga Kanyumba kenyewe ka slope sebuleni ndio stoo ya kutunza udaga. Ukimleta mjini akaanza kutakata anaanza maringo bila kujali umemsitiri. Huyu mwamba wa Arusha aliyeoa mtoto wa...
  4. M

    Safari yangu ya kuacha punyeto.

    Jamani hamjambo? Mimi Mimiamadiwenani, nilianza maisha yangu yangu ya punyeto rasmi nikiwa kidato cha sita. Hii ilikuwa ni kwa ushawishi wa rafiki zangu wa karibu, ukizingatia shule niliyosoma ni ya wavulana tupu. Unaweza uka imagine hapo. Nilianza mdogo mdogo kwa ila nilianza kuwa addicted as...
  5. H

    Vijana wa kitanzania tupunguze na kuacha haya mambo Kwa sisi tunao jitafuta

    Vijana wengi tz tunajitafuta huku tukiwa hatujui ni lini tutajipata kuwa na maisha Bora ya Leo n kesho za watoto wetu. Viko vitu Kwa vijana wengi huvifanya kama njia za kuona watafanikiwa zaidi wao baadhi kumbe ndio wanaji tokotesha jumla jumla. Vitu vifuatavyo tukiacha vijana wa kitz...
  6. N

    MEDITATION imenisaidia kuacha pombe

    Helloow!!Ladies and gentlemens i hope mko poa sio mwandishi mzuri ila nitaandika hivo hivo cha msingi muelewe Kama kichwa cha habari kinavojieleza Nilianza unywaji wa pombe toka nikiwa kidato cha sita sasa hivi nina miaka 26. Nilikua nakunywa sana pombe tena mda wote kiasi kwamba hata nikiamka...
  7. T

    Msaada! Jinsi ya kuacha ngono iliokithiri

    Wakuu naombeni ushuri wenu Wakuu naona nazidi kumkosea mungu kwa Haya ninayoyafanya na pia napoteza pesa nyingi Sana kwenye kula mbususu Wakuu natamani kuacha ila sijui nitaanzia wapi aisee Naombeni msaada Wakuu
  8. S

    Sababu za kwanini binadamu wanapenda sana dunia na mambo yake, ingawa wanajua kwamba mwisho wa yote watakufa na kuacha kila kitu

    Asili ya Kibinadamu: Binadamu wana asili ya kupenda maisha na kutafuta furaha na raha. Kutafuta mali, hadhi, na mafanikio ni sehemu ya asili hii. Kwa njia hii, wanajenga maisha yenye maana na kuridhika. Hofu ya Kifo: Kwa kuwa kifo ni kitu kisichojulikana na chenye kutia hofu, watu wengi...
  9. Camilo Cienfuegos

    Ronaldinho Gaucho atangaza kuacha kushabikia timu yake ya taifa ya Brazil

    🇧🇷 Ronaldinho: “That’s it guys, I will not watch any Brazil game at the Copa América nor celebrate any victory”. “I’ve had enough. It’s a sad moment for those who love Brazilian football. It’s hard now to find the spirit to watch the games”. “It’s one of the worst teams in the recent years, no...
  10. Mturutumbi255

    Njia 7 za Kuongeza Kipato Chako Bila Kuacha Kazi Yako ya Sasa.

    Katika dunia ya sasa, ambapo gharama za maisha zinapanda kila siku, ni muhimu kutafuta njia za ziada za kuingiza kipato bila kuacha kazi yako ya sasa. Hapa kuna njia 7 rahisi ambazo unaweza kujaribu: 1. Kufanya Kazi za Freelance: Ikiwa una ujuzi kama vile kuandika, kutafsiri, kubuni tovuti, au...
  11. Hypersonic WMD

    Nawezaje kuacha uvivu?

    Nawezaje nikaacha uvivu katika majukumu ya kazi na shughul nyingine?
  12. JOHNGERVAS

    Pre GE2025 Morogoro Das awataka vijana kuacha kujipendekeza kwa Viongozi

    Katibu Tawala wa Wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro Said Nguya amekemea tabia iliyoanza kujengeka miongoni mwa vijana nchini ya kusifiana sifa za uongo wakiwa ana kwa ana ama kusemana vibaya. Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na vijana wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Chuo Kikuu...
  13. Fundi manyumba

    Maisha 2070: Una nini cha kuacha kama kumbu kumbu hapa JamiiForums

    Habari zenu wana Jamii Forums, hususani jukwaa hili la "ChitChat". Ni tumaini langu wote ni wazima. Huu uzi yawezekana ukawa mrefu kuusoma, ila naamini kuna mtu utamsaidia sana endapo atausoma mpaka mwisho. Kuna vitu vingi vinatokea katika maisha tunavichukulia kawaida but Ushawahi kujiuliza...
  14. Victor Mlaki

    Mzunguko wa lawama: Uwanda wa kujiliwaza na kuacha kuwajibika

    Mchezo wa lawama "blame game" ni kama mzunguko wa umasikini "vicious cycle of poverty" Mtoto anamlaumu Baba, Baba anamlaumu Babu, Babu anawalaumu Wahenga, Wahenga wanailaumu Mizimu n.k. Ukiuangalia mkururo wa lawama "blame chain" hakuna anayebaki salama ndiyo maana katika mzunguko wa umasikini...
  15. GENTAMYCINE

    Ewe Mwenyezi Mungu hujawahi Kuacha Kusikia na Kutendea Kazi Maombi yangu basi na leo tena hili Ombi langu Ulikubali na litokee kama nitakavyo

    "Ewe Baba Mwenyezi Mungu naomba fanya kila uwezalo Klabu yangu ya Simba SC isiishie kabisa katika Nafasi ya Tatu bali ishie nafasi ya ama ya Tano au ya Saba ili sasa Sisi Mashabiki na Wanachama Kwanza tuanze Kupigana wenyewe kwa wenyewe kisha Hasira zetu tuzihamishie kwa Viongozi wetu na baadae...
  16. Chizi Maarifa

    Kuna uhuni Mkubwa, Dawa ya kumsaidia mtu kuacha kupiga Punyeto? imekaaje?

    Wale jamaa wanaojichukulia sheria mkononi, wanaopenda kucheza Pool. wanaopiga punyeto. kuna dawa eti inazuia mtu asifanye hilo jambo. maswali yangu 1. Punyeto ni ugonjwa gani? 2. Nini kinasababisha mtu aoige punyeto? 3. Inaenda kutibu nini hiyo dawa? Kuna wauzaji wa dawa hizi za supplement wana...
  17. Tlaatlaah

    Ulianzaje na ukafanikiwa kujizuia, kupunguza na hatimae kuacha kabisa uzinifu na uchepukaji?

    Lakini pia ulitumia mbinu gani na zilizokufanikisha kuacha umalaya, usagaji, nyeto, uasherati na udangaji, hadi sasaivi unaonekana umetakata, una afya njema, unavutia, nadhifu, unaaminika na kuheshimika mbele ya jamii?🐒 Maana madhara ya uchafu huo ni bayana, yameathiri pakubwa jamii nzima ya...
  18. K

    DP World kuanza mchakato wa kuajiri, Wafanyakazi wa TPA wadaiwa kutakiwa kuchagua kwenda DPW au kubaki TPA

    Wale waliokuwa wakitetea kuwa DP World wakija hawatapunguza watu kazi njooni hapa mtueleze. Jamaa ndio wameishauziwa taratibu wanaanza kuondoa watu. Kiko wapi? --- Tarehe 22 Oktoba, 2023 Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) iliingia Mkataba na Kampuni ya DP World ya Falme ya Dubai...
  19. Suley2019

    Biteko awataka Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati kuacha kufanya kazi kwa mazoea

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewataka watendaji Wizara ya Nishati, Tanesco na REA kuacha mazoea na kutatua kero za wananchi. Dk Biteko ameyasema hayo leo Alhamisi, Machi 14, 2024 wakati akizindua mradi wa umeme jua utakaozalisha megawati 150 katika Kijiji cha Ngunga...
  20. R

    Sina furaha na ajira yangu, natamani kuacha. Je, nitaachaje?

    Wadau, kusema za ukweli sina hisia na furaha kwenye ajira yangu japo nipo muda mchache tokea nimeajiriwa ila hisia na ile furaha ya ajira haipo tena yaani nafanya kazi tu ili siku ziende tu nachukia kufanya kazi labda ni sababu ni wilaya niliyokuwepo. Nilikuwa kwenye shirika x mkoa x baada ya...
Back
Top Bottom