Naomba ushauri ulio serious, hili jambo ni serious, sio Drama.
Ichukulie kama ni wewe.
Unauhakika wa kupata 20M cash,
Kwa ufupi ni kufanya maamuzi tu ila unasubiriwa wewe tuu.
Una vyombo na kitanda tuu,
Kwa ufupi, ni vitu vya kukufanya upike na ulale...
Risk ni kwamba ukichukua umechukua...