kuandaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Wachambuzi bongo hakuna tena, wanatumia artificial intelligence kuandaa makala za mchongo

    GOLI KIPA ILI AWEZE KUWA BORA ANAHITAJI KUWA NA VITU VIFUATAVYO⚽ . 1. Uokoaji: Hii inahusu jinsi golikipa anavyoweza kuokoa michomo inayoelekezwa kwenye lango lake. Uokoaji mzuri unahitaji muda wa mwitikio, uamuzi sahihi, na ufundi katika kukabiliana na mipira inayoingia. 2. Mawasiliano...
  2. I

    Viongozi wa dini nawasihi kuandaa siku maalum kuliombea taifa.

    Naomba kuwasihi viongozi wote wa dini nchi Tanzania kuandaa siku maalum kuliombea taifa na kuwashtaki kwa Mungu wahusika wote kwenye ubinafsishaji huu utakaolitumbukiza taifa shimoni hadi vizazi vijavyo. Kwa waislam zisomwe albadir na kwa wakristo zigongwe kengele mara3 kuashiria msiba na...
  3. S

    Yaya Toure akosoa uwepo wa Fainali 2 kwenye Michuano ya Afrika

    Ujumbe wa nyota wa zamani wa Barcelona na Man City, Yaya TOURE juu ya uwepo wa fainali mbili kwenye michuano ya Afrika. Wakati umefika kwa mashabiki wa soka wa nchi zetu barani Afrika kudai HAKI YA MICHEZO kwa kuitaka CAF kuwa na mechi moja pekee ya fainali kwenye uwanja wa usiofungamana na...
  4. Kidagaa kimemwozea

    Tanzania kuruhusiwa kuandaa AfCON?

    Vigezo hivi hapa
  5. S

    Jinsi Bakhmut na Kherson zinavyo andaa mashambulizi yajayo (counteroffensives) ya Ukraine

    Msimu huu wa kiangazi, kuna harufu ya counteroffensive inanukia nchini Ukraine, kwani matukio yanayotokea Kherson na Bakhmut yanatazamiwa kusambaa kote nchini na kuunda mkondo wa mashambulizi yajayo. Askari wa Ukraine wakati wa mafunzo kwenye mstari wa mbele katika eneo la Donetsk, Ukraine...
  6. Edsger wybe Dijkstra

    Utaratibu wa kuandaa mitihani ya taifa upoje?

    Wakuu habari zenu . Ivi utaratibu wa kuandaa mitihani ya necta upoje kuanzia utungaji wa maswali, uchapaji wa mitihani, kuhifadhi mitihani mpaka kufikia kuisambaza katika vituo vya mitihani.mchakato huwa unakuaje wadau, nna hamu sana ya kujua na inshaallah mungu akijalia nije nifanye kazi huko...
  7. JanguKamaJangu

    Tanzania, Kenya, Uganda zaomba kuandaa AFCON 2027 kwa ushirikiano

    Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limepokea maombi kutoka nchi sita zinazowania uenyeji wa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 ikiwemo Tanzania. Jumla ya waombaji sita wamefanikiwa kuwasilisha maombi yao ambao ni Algeria, Botswana na Misri huku Kenya, Uganda na Tanzania...
  8. DR HAYA LAND

    Wazazi hawana budi kuandaa kesho bora ya mtoto wao

    Kama umezaliwa umekuta wazazi wako wapo well financially, huwezi kulalamika kukosa ajira zetu hizi za laki Saba kwa mwezi. Mzazi/wazazi usifanye Mambo ya kuzaa tu ebu fikiria huyo unayemzaa umemuandaaje kuja kuishi vvizui. Binafsi mambo ya umasikini tunasema tumerogwa lakini Hakuna uchawi...
  9. Stephano Mgendanyi

    Ridhiwani Kikwete amezitaka Taasisi za TPSC na Uongozi kuandaa programu za mafunzo zitakazoboresha utendaji kazi kwa Watumishi na Viongozi

    TPSC NA TAASISI YA UONGOZI ZATAKIWA KUANDAA PROGRAMU ZA MAFUNZO ZITAKAZOBORESHA UTENDAJI KAZI WA WATUMISHI WA UMMA NA VIONGOZI. Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amekitaka Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) na Taasisi ya...
  10. L

    Waislamu mjini Beijing waanza kukaribisha mwezi wa Ramadhani kwa kuandaa vyakula mbalimbali halali vya Beijing

    Na Pili Mwinyi Kuanzia Machi 23 yaani siku ya Jumatano, Waislamu kote duniani wanaanza kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani. Katika kipindi hiki Waislamu huwa wanajiegemeza zaidi kwenye sala na ibada ikiwemo kujizuia mambo yote yaliyokatazwa yakiwa ni pamoja na kula na kunywa wakati wa...
  11. Pang Fung Mi

    Tulioandaa na waliotayari kuandaa sherehe baada ya Mwigulu kutumbuliwa tujuane mapema

    Wasalaam JF Tangu mwezi huu wa pili uanze nafsi yangu inaamini Mwigulu Madelu Mburundi Nchemba atatumbuliwa na tayari nimejipanga kukesha kwa bajeti ya laki6 na siku hio ntapiga threesome matata sana na bia kama zote, ajipange sana huyo Mburundi wa hiari. Mwigulu out out In shaa Allah hio...
  12. S

    Hatua ya Pili ya Mchakato wa Ajira ni Kuandaa Tangazo la Kazi

    - Tangazo la kazi huandaliwa kwa kuzingatia sifa kwa mujibu wa Muundo wa kada husika uliowasilishwa na Mamlaka ya ajira husika. - Tangazo pia huzingatia masharti ya jumla yanayotolewa na Sekretarieti ya Ajira ambayo yanatafsiri Sera, Sheria Kanuni na Miongozi mbalimbali inayohusu michakato ya...
  13. Dr. Zaganza

    Jinsi ya kuandaa Business Plan kwa urahisi

    Kwa maneno machache mno , Business plan ni andiko la kibiashara ambalo unaelezea wapi uliko kwa sasa, na wapi unataka kwenda (Future),ukielezea mikakati (strategies) utakayotumia kufika huko kwenye malengo (Goals) uliyojiwekea. Business plan ya biashara moja hupishana na ya mwingine kulingana...
  14. T

    Naomba kujua jinsi ya kuandaa script nzuri

    Habari wanajamii forums, Mimi ni kijana ninayependa masuala ya utangazaji, na kutokana na nafasi iliyotangazwa na wasafi media ya mashindano ya kutafuta watu wenye kipaji cha utangazaji, nikaona ni vyema nikajaribu bahati yangu. Hivyo lengo la kuja kwenu ni msaada wa jinsi ya kuandaa script...
  15. Aliko Musa

    Jinsi unavyoweza kuandaa fomu za Ukaguzi wa viwanja na ukaguzi wa nyumba kabla hujanunua

    Ukaguzi wa nyumba ni sehemu muhimu sana kwenye mchakato wa kununua kiwanja au kununua nyumba. Fomu ya ukaguzi wa kiwanja au nyumba inatakiwa kuwa na vipengele vifuatavyo;- ✓ Taarifa za nakala za umiliki wa ardhi au umiliki wa nyumba. ✓ Taarifa za usalama wa mazingira ya kiwanja au nyumba. ✓...
  16. Carlos The Jackal

    Tetesi :Walamba Asali kuandaa makongamano, maandamo ya makundi mbalimbali , ikiwemo ya kigeni Rasimi, ili mgeni Rasimi amchambe Dkt Bashiru

    Wakuu, Msiombe Mwanafamilia kusimama aseme Ukweli na kukemea maovu yanayoendelea ndani ya familia Unaambiwa utaitwa Kila jina, mchawi wewe, huna shukran wewe, msaliti wewee n.k !! Ndiyo hayo anayopitia Mh na Dkt Bashiru !! Dkt Bashiru kaamua kutumia sauti yake kufikisha ujumbe wa...
  17. Replica

    Je, wajua? Pesa iliyotoa Qatar kuandaa Kombe la Dunia ni pato la Taifa Tanzania kwa miaka 3.5

    Qatar nchi yenye km za mraba 11,000 na watu wapatao milioni 3 imeandaa Kombe la Dunia lililotumia gharama zaidi tangu Dunia iumbwe. Zaidi ya dola bilioni 220 zimetumika kwenye maandalizi mpaka kufanikisha Kombe la Dunia huku mapato ya kiuchumi yakitarajiwa dola bilioni 7.5 pekee mpaka kuisha...
  18. E

    Tujenge shule za michezo kila mkoa tuachane na kuandaa AFCON

    Nawashauri Watanzania tuwekeze katika kujenga shule za michezo kila mkoa. Kila tunapofanya mashindano yale ya shule za msingi tunawachukua wale best students katika kila mchezo na kuwahamishia katika shule hizi za mikoa za michezo. Hapo wawekewe facilities zote, na walimu. Kila mwaka shule...
  19. figganigga

    Tundu Lissu: Baada ya kauli ya Serikali kututaka turudi, mimi na wenzangu tunajiandaa kurudi

    Salaam Wakuu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yupo njiani anarudi Hapa chini nimeweka nukuu alipokuwa anaongea na EATV "Nimeambiwa niandike barua ili kudai gharama za matibabu, nimekusanya nyaraka zote zilizotumika kwenye matibabu kuanzia Dodoma, Nairobi hadi Ubelgiji, matibabu...
  20. J

    Tanzania yajiweka mguu sawa Kuandaa Tuzo za MTV Afrika mwaka 2023

    Tanzania yajiweka Mguu Sawa Kuandaa Tuzo za MTV Afrika Mwaka 2023 Na Shamimu Nyaki - WUSM, Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu leo Mei 09, 2022 jijini Dodoma ameongoza kikao cha awali kati ya Wizara na Wawakilishi wa Waandaaji wa Tuzo za MTV...
Back
Top Bottom