Mmetoka wote chuo, halafu unataka ukute kijana uliyekuwa unadate naye chuoni awe ana kila kitu kama nyumba, gari na kazi nzuri, mbona wewe huna?
Kwani unataka kuolewa na baba yako? Angalieni Dream, Vision, ethics na discpline na mkaanze kupigana pamoja kujenga maisha yenu.
Hao ambao mnawaona...