Hello wakuu,
Kuna tetesi nimezipata kuwa Utumishi ,hawatawafanyisha usahili walimu, badala yake wame wamechagua selection criteria, nazo ni mwenye GPA kubwa atapata ajira.
Na tetesi zinasema kuwa below 3.0, unaweza husi chaguliwe.
Je, yanaukweli hayo? Na ni kweli mwenye GPA ya 4.0 anaweza...