kucheka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Nimeyakumbuka madera ya yanga nikabaki kucheka

    Kuna msimu yanga kila mechi walikuwa na jezi yake yaani mpaka msimu unaisha haijulikani jezi rasmi ni ipi,na sio mbali ni kama miaka mitatu au minne tu hivi,simba tukawafundisha ustaarabu. Ghafla designer wao akaja na madera ,wanazi wakayatetea ila rohoni ilikuwa inachoma. Nakumbuka yule...
  2. H

    Kumtegemea mtu kama Haji Manara ili mpira wetu usonge mbele ni kujitekenya wenyewe na kisha kucheka sana

    Kwa miaka ya hivi karibuni hapa nchi katika septa ya michezo kumekua na porojo sana kuliko uhalisia wa mwelekeo wa mchezo wetu wa mpira wa miguu tumekua, tukiweka nguvu kubwa katika kuwahamasisha washabiki na kuwaaminisha kuwa uwepo wao uwanjani na upigaji kelele ndio chanzo kutuletea ushindi...
  3. F

    Watumishi wa Umma kucheka au kulia

    Waswahili walisema usiku wa deni haukawii kucha. Zimebaki siku chache ili watumishi wa umma nchini waweze kupokea mshahara wao mpya wa mwaka wa fedha 2022-2023. Kufuatia nyongeza ya 23.3% iliyotangazwa na Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan siku ya Mei Mosi...
  4. Zee Korofi

    Mzee wangu ameniharibu!

    Good afternoon brothers. Majukumu ya malezi yanakwendaje? Uhusiano wangu na jamii; Tangu nazaliwa na kuanza kujitambua, mzee wangu amenilea malezi ambayo naona magumu yake na athari zake muda huu. Nina 'traits' za kushangaza ila naomba mjikite kwenye kutoa ushauri na ufafanuzi tafadhali...
  5. CK Allan

    Je, wafanyakazi kucheka baada ya Hekaya za miaka 7??

    Kama tujuavyo enzi za Simba wa Yuda nyongeza ya mishahara, kupanda madaraja na marupu rupu mengine ya wafanyakazi yalisimama, Na hata mshahara huu wanaopata watumishi ni ule alioacha Jakaya Mrisho Kikwete.. Kumekua na Hekaya nyingi na ahadi nyingi! Lakini kwa ujasiri MAMA katika mei Mosi ya...
  6. T

    Kweli utoto kazi leo nimelog in JF baada ya miaka mingi nimesoma post zangu nimeishia kucheka tu

    Habari wakuu Imepita takriba miaka kadhaaa toka niachane na JF kutokana na majukumu mbalimbali, Sasa leo nmelog in ila nimejikuta naona aibu mwenyewe kwa nyuzi nilizokuwa na post sijui utoto dah ya nimechek mwenyewe. Maisha ya utoto raha sana!
  7. M

    360 mawingu wameidadavua faini ya Musiba Tsh bilioni 6 kisheria, inashangaza kwa tusiojua sheria tunaweza kucheka

    Leo nilipata wasaa wa kusikiliza kipindi cha 360 Mawingu ambapo alialikwa mwanasharia nguli na mwanasharia msomi mama Gloria Kahaya kutoka kituo kimoja cha kutoa haki za kisheria hapa nchini. Walikuwa wakijadili mambo ya ndoa na taraka lakini baadae bila ya kutegemea wakatumbukia katika hukumu...
  8. Umuzukuru

    Mke wangu akiwa nami 'full kununa' ila tukiwa na rafiki zangu anatabasamu na kucheka sana

    Yaani iko hivi Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu. Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake. Yaani ni kucheka mwanzo mwisho. Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh...
Back
Top Bottom