Salamu kwa mkeo ,kwangu sio kipaumbele .
Nawasalimu wote wanaonijua na wanaonipenda ,endeleeni kufurahia na kufanya yapendezayo moyo wenu .
Kwaheri watanzania ,kwaheri marafiki ,kwaheri ma_ex ,kwaheri warembo ,kwaheri mashababi na kwaheri majobless pro max .
Nawapenda Sana Ila mwisho na sio...