Amani kwenu Wakuu.
Elimu ya mahusiano ni kubwa na watu wengi wamekuwa wakielezea mambo kadha wa kadha, kwa upande wangu naomba kujikita katika muktadha tofauti kidogo kwa namna yake japo kwa ujumla wake mambo yanaweza kuwa yaleyale kama ambavyo huelezwa na watu wengine.
Bila shaka utakubaliana...
Wengi wetu mara nyingi huwa tunafikiri kukosa mafanikio ni matokeo ya kukosa bahati katika maisha. Fikra hizo mara nyingi, huwazuia wengi katika kufanikiwa na kujikuta wakiishia kuwa watu wa kulaumu na kushindwa kila siku.
Kimsingi kitu kikubwa kinachochangia kuzuia mafanikio yetu ni baadhi ya...
Wakati mwingine tumekuwa tukijiuliza kwanini bank inapata faida kubwa kuliko sisi?
Je ni mbinu gani bank wanazotumia kupata faida kubwa?
Uhalisia ni kwamba hakuna mbinu kubwa, mafanikio yao yanatokana na wao kuthamini shilingi pamoja na kuwa makini katika mahesabu.
Tizama tofauti ya mahesabu...
Kuna muda huwa nashindwa hata kuelewa kama hawa ni wenzetu.
Sizungumzii waarabu original wale wa Oman, Dubai, n.k ni hawa waarabu wa hapa hapa bongo wengi wakiwa machotara waliochanganyikana kabisa na wabantu, wengi wapo Sikonge, Igunga, Ngega, Tinde, Itobo, n.k
Yani wao ni ndani tu mda wote...
Huwa nikikaa na kufikiri ni namna gani binadamu aliweza kubuni ndege, meli kubwa hasa za mizigo, gari na vitu vinginevyo na badae kuja kuwa msaada mkubwa katika dunia yetu ya siku leo hata kurahisisha maisha katika eneo fulani lililokuwa na ugumu kwetu, basi nauona uwezo wa Mungu aliouweka ndani...
Habari wana Jamvi.
Leo nimejifikiria kuhusu Biashara ya tofali naamini kila mtu kwa nafasi yake ameshiriki katika biashara hii. Leo ningependa tuelezane mambo kadha wa kadha kuhusu biashara hii, jinsi yakufanikiwa zaidi na zaidi, uendeshaji na maono yako kwa mfanyabiashara baada ya miaka...
Taswira kwa hisani ya Google
Utangulizi.
Vijana wengi (siyo wote) sehemu nyingi za dunia wako kwy mkwamo wa maisha pasina kujali wamesoma au la madhali wote wako kwy kundi la ujana. Vikwazo vinavyowakabili vijana wasipate maisha bora viko katika sura mbili, moja vikwazo vya kimfumo na pili ni...
Hakuna njia panya ya kwenda mahali pa thamani.
Ndugu zangu sikuzote mafanikio yanakuja kwa kujituma kwa bidii sana unatakiwa ujitoe ili ufanikiwe Mafanikio ni kutembeakutoka kutofaulu hadi kutofaulu bilakupoteza shauku.
Ndoto zetu zote zinawezakutimia ikiwa tuna ujasiriwa kuzifuata,na siku...
Wakuu habari zenu,
Baada ya kupigwa pesa zangu kwenye forex nimeamua na mimi nije kushare jinsi forex ilivyopelekea mpaka nime break up na gf wangu, lakini yote maisha nimejua wanawake almost wote ni lowkey gold diggers, kwa nini nasema hivyo nimepigwa $3200, $1000 zilikuwa ni za kwangu...
CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!
Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii
Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua...
Mafanikio ni maendeleo ya kutoka hatua Moja ya maisha kwenda hatua nyingine, mafanikio hayo yanaweza kuwa katika nyanja mbalimbili ikiweno kiuchumi, kijamii na kisiasa.
Watu wengi sana Tanzania na Duniani kwa ujumla wamekuwa wakiwaza na kutafakari kwa namba gani unaweza kufanikiwa kiuchumi...
THE SUICIDE NOTE THAT NO ONE READ
“I am trying to be strong and fight these demons but no matter how hard I try, their voices are stronger and my pace is nothing compared to theirs. Why do I feel so empty so lost, I am tired of holding onto broken pieces of a mirror that used to mirage my life...
"Kijana tafuta pesa" ndio kauli utasikia vijana wengi wakishauriana....
Na pia wanawake mkiona nyuzi humu vijana wanapigizana kelele watafute pesa ili wawapate mnajiona mpo juu....lakini ukweli ni kwamba.... Wanaume wenye pesa wengi wao wanatumia nguvu ya pesa na wanakinai papuchi haraka...
Heshima kwenu wasomaji na wapiga kura.
Leo nataka niwape vijana fursa ambayo kwa miaka imedharaulika.
Biashara ya maduka ya vyakula inaweza kumtoa mtu yeyote yule lakini inategemea na eneo na moyo wako wa kuifanya.
UMUHIMU WA KUFANYA UTAFITI KWANZA
Kuna maeneo yanayotifautina sana...
Naitwa Teju ni kijana wa kitanzania nilisoma shule ya sekondari Ivumwe Secondary school nilipata ufaulu wa Diraja II (Division Two) na ALevel Mbalizi Secondary school nilipata ufaulu wa Daraja I (Division One) na baadaye nilijiunga chuo kikuu cha Mzumbe Course ya Usimamizi wa Biashara katika...
Rafiki yangu mpendwa,
Kauli huwa zinaumba.
Kauli zinaumba kwa sababu zinatokana na mtazamo na imani zilizo ndani yetu.
Kauli tunazotumia zinatokana na kile tunachoamini.
Unaweza kujiambia ni kauli ya kawaida tu, ila kama unaitumia, jua ina nguvu kubwa sana kwako.
Kuna kauli kumi ambazo kama...
Bila utayari wa CCM kwenye katiba mpya sio rahisi CHADEMA kufanikiwa harakati zao.
Leo nimeona nifafanue hili suala la katiba mpya ili angalau wafuasi wa CHADEMA waelewe kwamba wanachofanya kwa sasa ni ndoto za mchana. Ni sawa na kupiga ngumi ukuta. Ni kweli kunahitajika marekebisho kwenye...
Wadau naomba kuuliza kuhusu hii kanuni,
Je, ni kufanya kazi kwa bidii au connection ndivyo vinavyomsaidia mtu kupanda ngazi, kuna mmoja kaniambia hapa kama hard work pays basi punda wote watakuwa matajiri.
Na pia akaniambia unawaona paka hawafanyi kazi lakini wanaishi kama wafalme, akaongeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.