kufanya mapenzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

    Hello, Kuna ile situation unajikuta tu tayari kishaumana na mtu ambae hukumhisia kuwa na tabia za kikubwa may be kutokana na cheo/wadhifa ama umri alionao [emoji4][emoji4] Yaani ambaye ulidhani hata kama mngefungiwa chumba kimoja usiku kucha kisingetokea kitu. Au mtu ambae kutokana na status...
  2. Boss Man

    Mwanaume hachagui mwanamke wa kufanya nae Mapenzi lakini anachagua Mwanamke wa kumuoa

    Je ni kweli kwamba Mwanaume huwa hachagui mwanamke wa kufanya nae Mapenzi na Mwanamke anafanya Mapenzi na Mwanaume anayempenda? Lakini mambo ni tofauti linapokuja swala la ndoa. Mwanaume akitaka kuoa anaoa mwanamke anaye mtaka tofauti na Mwanamke yeye anaolewa na Mwanaume anayempata...
  3. infinix2020

    MSAADA: Kila siku naota ndoto nafanya mapenzi na wadada mbalimbali licha ya kuwa nimeoa

    Kila siku naota ndoto nafanya mapenzi na wadada mbalimbali naowafahamu, licha yq kuwa nimeoa mke mzuri tu na nafanya nae mapenzi mara 4 kwa wiki. Je, hii shida nini chanzo chake na matibabu yake ni yapi. Naomba kuwasilisha kwenu na mnisaidie.
  4. Forrest Gump

    Mawazo na Msaada juu ya hali ya mpenzi wangu

    Habarini, Tangu mwanzo nilipomtoa bikra, its one year and a half. Tunapofanya romance naye kabla ya sex (kushikana, kissing) anapata hisia kubwa tu, lakini tunapofanya penetration mara nyingi (sio mara zote) tukimaliza ananiambia huwa hapati hisia yoyote au ya kutosha. Nikimuuliza kuwa awe...
  5. Frumence M Kyauke

    Ndege ya Las Vegas yatoa huduma ya kufanya mapenzi kwa gharama ya sh million mbili

    Kampuni ya ndege binafsi ya nchini Marekani ya Love Cloud imeanza kutoa huduma kwa wapenzi wanaohitaji kushiriki tendo la ndoa kwenye anga la Las Vegas wakiwa kwenye ndege za kampuni hiyo. Kwa mujibu wa Kampuni ya Love Cloud, huduma hiyo itachukua dakika 45 ambapo wapenzi wanaoshiriki tendo la...
  6. Frumence M Kyauke

    Je ni sahihi kufanya mapenzi na mwenza kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa?

    Katika mahusiano kumekuwa na tabia ya kufanya mapenzi kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa na hii inahusisha jinsia zote mbili. Mwanaume wakati mwingine anajaribu kujiridhisha kama mwanamke anaendana na vigezo vyake hali kadhalika kwa wanawake pia. Vijana wengi wamekuwa wakitumia...
  7. Dr. Wansegamila

    Muhudumu wa afya na mwanafunzi wa udaktari (intern) hospitali ya wilaya Kaliua, mkoani Tabora wasimamishwa kazi kwa kufanya mapenzi wodini

    Mkuu wa wilaya ya Kaliua, Paul Chacha amewasimaisha kazi watumishi wawili wa hospitali ya wilaya hiyo kwa tuhuma za kushiriki mapenzi hovyo wodini. Chacha amesema awali ulifanyika uchunguzi baada ya wagonjwa kulalamikia vitendo vya wauguzi hao kufanya mapenzi wodini wakiwa zamu za usiku. Mmoja...
  8. Unique Flower

    Ni vizuri kufanya mapenzi kabla ya ndoa au baada kipi ni kipi? Ushauri tafadhali

    Wajumbe hawajamuacha mtu salama kauli hii ni enzi hizo. Wadau tuchambueni maada hii kwanu nipo njia mbaya sijui chakufanya. Before or after ndio poa.
  9. sky soldier

    Kichaa ana hisia za kupenda? Je, anaweza kuafanya mapenzi?

    Leo nimekaa sehemu, ghafla akapita kichaa mara acheke cheke, aokote vipande vya mkaa na kuchora visivyoeleweka kwenye ukuta, n.k kiufupi akili haijakaa sawa, sasa nikawa najiuliza haya maswali. a) Je, wana hisia za kuweza kumpenda mtu kimapenzii? b) Je, wana uwezo wa kushiriki kufanya...
  10. Anna Nkya

    Waume zetu msiache kufanya mapenzi na sisi tukiwa wajawazito

    Katika hoja hii natamani wajuzi katika sekta ya afya waje watupe majibu zaidi. Lakini kwa uelewa wangu, ni vyema waume zetu wakaendelea kufanya mapenzi nasi tukiwa na ujauzito. Mimi sio mtaalamu sana lakini nina hakika na sababu mbili: 1. Inatusaidia kwenye kuongeza kujiamini kwa sababu ukiwa...
  11. Zero IQ

    Kwanini wanawake wanaamini wanaume hatuna haki ya kukataa kufanya nao mapenzi?

    Nitoe mfano mdogo tu kwangu mimi. "hapa nyumbani shemeji yenu naishi nae vizuri tu lakini kuna swala hili moja, kuna kipindi nikimuhitaji kimapenzi yuko huru kuniomba excuse kama siku hiyo hatokuwa tayari kwa sababu mbali mbali inaweza kuwa kuchoka au kutokuwa na hamu tu. Lakini ikija kwangu...
  12. Kinkunti El Perdedo

    Wakati wa kufanya mapenzi ni kero gani huwa unakutana nayo?

    Wanajamvi tupeane uzoefu kidogo muda wa kuichakata mbususu na kuliwa mbususu huwa unakutana na kero gani?
  13. Ben Zen Tarot

    Utafiti: Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi

    Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi, jambo ambalo ni ngumu kwa mwanamke. Mwanamke akiishi zaidi ya miezi mwili, ataanza kuongea mambo yasiyo eleweka (Pumba) na kucheka cheka mara kwa mara. Aidha, upo uwezekano mkubwa wa kupata madhara ya kiakili.
  14. S

    Siku ya kwanza kufanya mapenzi nili-sex na wanawake wawili

    Kisa hiki ni cha kweli kilinitokea nikiwa safarini kuelekea shuleni. Hadi namaliza masomo yangu ya O-level sikuwa nimewahi kusikia shule inayoitwa Ihungo ambayo ndiyo hiyo niliyochaguliwa kujiunga na masomo ya A - level. Shule hiyo ipo mkoani Kagera. Baada ya kupata joining instruction...
  15. sky soldier

    Nina miaka 32, nishaanza kupuuza kufanya mapenzi. Je, hii ni kawaida?

    Kwanza nitie msisitizo nguvu bado ninazo na moto napeleka fresh tu. Nina miaka 32, Nmeajiriwa serikalini, Mshahara 2.x take home, ni mfanyabiashara pia, nina mke na watoto wawili wa kiume, Hivi karibuni nmekuwa mdau sana wa maendeleo. Tatizo ni kwamba, zamani nilikuwa napenda sana kufanya hii...
  16. DeepPond

    Unapata wapi ujasiri wa kufanya mapenzi juu ya kaburi?

    Aisee, Dunia ina mambo. Wiki iliyopita Jumamosi mtaani kwetu mida ya saa 7 usiku, gari ya polisi ilisimama wakaweka roadblock kuwakamata wazururaji. Ukikamatwa unakaguliwa, unajieleza kama maelezo hayatoshelezi unapigwa pingu ukaeleze zaidi kituoni Na mgambo wakawa wanazagaa sehem tofaut...
  17. Yudatade Edesi Shayo

    Tukutane hapa tuliowahi kufanya mapenzi na binamu au ndugu zetu wa karibu

    Kuna msemo maarufu kuwa "binamu nyama ya hamu" ijapokuwa haijahalalishwa ila kuna matukio tu mengi ya watu kutembea na binamu zao au ndugu zao either kwa bahati mbaya au mazingira tu!! Binafsi yangu nimewahi kuwatafuna kama wawili 1. Huyu wa kwanza nilikuwa O-level form 3 home kwetu katika...
  18. my name is my name

    Kwanini wanaume wanapenda kufanya hivi wakati wa ku-sex?

    Hivi kwanini wanaume wakati wa ku-sex wanapenda kuangalia machoni. Wanakuwa wanafanya huku wanaangalia mwanamke machoni direct, hawaangalii pembeni. Halafu wakiwa wanafanya hivyo wanaongeza na speed ya ku sex. Kwanini huwa mnapenda kuangalia machoni? Kuna sababu gani ya kufanya hivi?
  19. Deejay nasmile

    Kama ulikuwa hujui hizi ndio sheria 10 za kufanya mapenzi kwa baadhi ya nchi

    1.Usaliti nchini China inaruhusiwa kwa mwanamke aliyesalitiwa na mume wake kumuua mume wake,lakini sharti amuue kwa mkono wake 2.Kwa sheria za Nervada ni kosa kubwa sana kisheria kama utakutwa una urembo wowote katika uume wako(mwanaume) 3.In Bahrain,daktari wa kiume anaruhusiwa kumtibu...
  20. Nyani Ngabu

    Nimefanya mapenzi na Mwanamke wa JF!

    Sabalkheri wana JF wenzangu. Natumaini wote mlikuwa na wikiendi njema kabisa na mmeamka Jumatatu hii wenye nishati nyingi za kutosha kuweza kuendeleza libeneke la kusukuma gurudumu la maendeleo la hii nchi yetu pendwa. Baada ya takribani miaka minne na nusu hatimaye Jumamosi hii iliyopita...
Back
Top Bottom