kufikiri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Uwezo wa watu kufikiri na kutenda; Je, huwa unaendana na nchi aliyopo?

    Je, Uwezo wa mtu kufikiri na kutenda, unaendana na nchi aliyopo? Kuna mambo ukiyatafakari saana, unaweza kuona kwamba, uhusiano kati ya mtu uwezo wake wa kufikiri na kutenda kunatokana na nchi aliyopo,kuna nchi zina watu wasomi, ambapo mambo yao huendeshwa kitaalamu na kiuweledi wa kutosha...
  2. Mr Chromium

    Kwanini waafrika na watu weusi wana uwezo mdogo sana wa kufikiri na kustaarabika?

    Sorry kwa watakao feel offended Africa kuna nchi 54. Nje ya Africa nchi ambazo zina jamii ya watu weusi Ni za visiwa vya Careebian kama Jamaika , Haiti Buhamas. Lakini zooteee hizo hamna hata nchi ambayo ni developed nation hata moja!! Matatizo ya Tanzania , Zimbabwe Congo Namibia sijui...
  3. BabaMorgan

    Kumchukia mtu kutokana na mafanikio yake ni kufilisika kwa uwezo wa kufikiri

    Kufanikiwa kumekuwa moja wapo ya sababu ya kufanya maadui waongezeke kwani kadri neema zinavyoongezeka ndivyo hivyo hivyo maadui wanaongezeka. Swali kubwa ni kuwa Kuna mantiki yoyote kumchukia mtu aliyefanikiwa? Iko wazi chuki ni miongoni mwa vitu vinavyosababisha msongo wa mawazo. Kumchukia...
Back
Top Bottom