kufuga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. my name is my name

    Diamond Platnumz amuiga Rick Ross kufuga ndevu

    Huyu bwana wa kuiga iga hakimpiti kitu 😂 ati na yeye ameamua kudunduliza vindevu vyake ili awe kama Rick Ross ( rich forever). Basi kwa vile anafuga vindevu mda si mrefu ataanza kujitangaza amekua tajiri zaidi ya Bill Gates 👀 Picha ya chini ni Diamond Platnumz akiwa na muonekano mpya wa kirich...
  2. Red Giant

    Wahaya mmeshindwa kabisa kufuga senene?

    Wandugu ina maana mmeshindwa kabisa kufuga senene tule mwaka mzima? Wamarekani wanakula mdudu mmoja anafanana na senene anaitwa Cricket kwa Kiswahili nyenje au nyenze. Wameanza kumfuga na ni biashara kubwa sana. Fanyeni mambo tupate senene mwaka mzima. Dunia inakoenda wadudu watakuwa ni source...
  3. M

    Mtaalam na mzoefu wa kufuga kuku na kuwahudumia

    Habari watu makini. Nieandaa project au mapango wa kufuga kuku inarange 10m to 15m, kwasasa niko Dar lkn huu mpango naenda kuufanyia Tarime cz ndo naishi huko. Nahitaji Mtu ambae atasimamia huu mradi wangu kama General manager, atakaa kwangu hadi atakapoamua kupanga au la. Mshahara...
  4. D

    Nauza nguruwe watoto na wakubwa kwa wanaohitaji wa kufuga

    Habari wakuu, Mimi ni mfugaji wa nguruwe napatikana Mwanza, nauza nguruwe watoto na wakubwa kwa wanaohitaji nguruwe wa kufuga, mbegu bora kabisa. Karibuni sana 0719832015
  5. IZENGOB

    MSAADA: Kati ya kulima au kufuga nianze na kipi?

    Ndugu zangu nimekopa mil 5 sasa nilikua nataka kuingiza kwenye kilimo au ufugaji, hivyo naomba ushauri wenu kama ni kilimo nilime nini, kama ufugaji nifuge nini ili niweze kupata pesa ya haraka nimudu marejesho ya mkopo.
  6. S

    Natafuta kanga 20 wa kufuga nipo Mwanza

    NATAFUTA KANGA 20 WA KUFUGA MWANZA Wawe bado wadogo jike 15 na jogoo 5 weka bei hapa na mahala wa kuwapata
  7. B

    Watuhumiwa waliokuwa wanatuhumiwa kukutwa na ndege TAUSI waachiwa huru, je kufuga Tausi ni halalli?

    Nadhani makosa yaliyotunguliwa na Biswalo Mganga dhidi ya watu mbalimbali kinyume Cha haki na bila upelelezi kukamilika kwa miaka kadhaa yanatia kichefuchefu na kujiuliza amepandishwaje kuwa Jaji? Mfano mdogo, watuhumiwa wanadaiwa kukutwa na nyara za serikali( ndege aina ya Tausi) na wanawekwa...
  8. kavulata

    Kufuga wamachinga mijini ni sawa na mradi wa kutengeneza mabomu

    Iko siku hao tunaowaita machinga watakuja kulikataa hilo jina Na kudai wapewe jina lingine Na wanasiasa. Sasa hivi neno wamachinga linatumika fuko kuukuu kubwa la kuwafichia vijana wasiokuwa Na ajira, wasiokuwa Na pembejeo za kilimo, wasiokuwa na zana za kuvulia wala maeneo ya kuchungia Mifugo...
  9. Nafaka

    Hivi Tanzania kufuga farasi inahitajika kuwa na kibali?

    Hivi mtu akitaka kufuga farasi anahitaji kibali au tu unafuga tu kama unavyofuga mbuzi?
  10. bukerebe alex

    Nataka kufuga Bata wa nyama

    Habari wana jukwaa la ufugaji, Nataka kufuga Bata wa nyama. Hivyo naomba ushauri wenu wadau ili niweze kutimiza lengo langu. Asanteni. Zaidi soma>>Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara
Back
Top Bottom