Ndugu, poleni na hekaheka za kupambana na huyu kiumbe Corona.
Niende moja kwa moja kwenye mada, nikita form two miaka ileeeee, kulikua na jamama tumezoeana sana kiasi kwamba ilikua lazima tukae tupige story kila siku jioni. Huyu mama alikua mke wa mtu japo walikua wametengana na mumewe ambae...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ninaishi na mwanamke ambae tumepanga kuoana na kufunga ndoa. Nilipokutana na mwezangu nilikuwa nafanya kazi serikalini kwa mkataba. Kipindi chote hicho tuliishi vizuri tu japo palikuwa na changamoto mija ikiwa mimi tayali nina watoto wawili amboa mwanzoni...
Binafsi mimi nimewahi kufumaniwa kama mara mbili hivi, mara ya kwanza niliopoa kadem kalikokuwa kanasoma chuo. Sasa siku moja ya Jumamosi wife yeye akiwa ameenda ofisini kwake nikakaita kaje nyumbani, alivyokuja nikamgegedea kwenye chumba cha housegirl, yeye pia hakuwepo.
Mara paap! nasikia...
Wote tumekuwa katika mapenzi. Kwa bahati mbaya mapenzi huwa yanaumiza na watu tunaumia sana hadi baadaye ndio hayo maumive yanatupa mafundisho. Tusaidiane kwa kuandika visa mbalimbali vya tulivyoumizwa na wapenzi wetu.
Mimi Nitaanza:
Mwaka juzi nilimpenda sana mdada mmoja Arusha. Tukawa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.